Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Kweli tumevuka mipaka na kukubuhu kwenye mambo ya kienyeji na uongozi usio na kanuni. Tunapenda sana kufanya mambo bila utaratibu na miongozo ndio maana mambo mengi tunashindwa halafu tunashangaa kwanini tunashindwa. Sio viwanda au michezo tunaboronga bila kujua kwamba ni kwasababu ya kutashika kanunu na taratibu husika.

Huku Namibia ikimchamba rais wao kwa kutokuvaa barakoa, hapa kwetu spika anashutumiwa na boss wake kwa kuvaa barakoa.

Inashangaza.

Ukitaka kuvaa barakoa kashone yako, mbona ni rahisi tu, barakoa mbona imekaa kama titi moja la Mtu mmoja hivi limekatwa upande mmoja, weka huku kama... aaah samahani Mh.Waziri nimesema hapa, nilikuwa nachomekea tu kidogo”

Juzi nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari kuna group linaitwa Magufuli Forum wala silijui, ila sishangai Mtu kujiita Magufuli hata akijiita fisi ni hiyari yake, lakini walikuwa wanagawa barakoa wala hazijulikani zinatoka wapi, tutaumia kwa kukosa maarifa


Njia nyingine ambayo inaweza kutumika ni kuletewa vifaa vya corona vyenye corona, anapokuletea Mtu barakoa hujui ameitoa wapi kataa, mwambie kavae wewe na Mke wako na Watoto wako nyumbani, tutaumizwa
 
Kweli tumevuka mipaka na kukubuhu kwenye mambo ya kienyeji na uongozi usio na kanuni. Tunapenda sana kufanya mambo bila utaratibu na miongozo ndio maana mambo mengi tunashindwa halafu tunashangaa kwanini tunashindwa. Sio viwanda au michezo tunaboronga bila kujua kwamba ni kwasababu ya kutashika kanunu na taratibu husika.

Huku Namibia ikimchamba rais wao kwa kutokuvaa barakoa, hapa kwetu spika anashutumiwa na boss wake kwa kuvaa barakoa. Inashangaza.
Mkuu hivi ni kweli rais ni bosi wa spika kwa mujibu wa katiba yetu? Maana najua ni mihimili miwili tofauti hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi ni kweli rais ni bosi wa spika kwa mujibu wa katiba yetu? Maana najua ni mihimili miwili tofauti hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni nadharia tuu,

Hujiulizi kwanini Chief Justice anachaguliwa na Rais?

Hujiulizi kwanini nani ni mwenyekiti wa chama anachotoka spika?

Hujiulizi nani anamteua mkuu wa majeshi ?

Rais ni kiongozi wa mihimili yote, separation of power ni nadharia tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua mzee alijisahau tu, ila inafikirisha kuvaa barakoa hata ukiwa peke yako.
Mkuu @stroke,kongole kwa kuandika hivyo,ila napenda nikwambie Mh. JPM anaharibiwa na nyinyi wapiga mapambio.
Kwa nini hammwambii ukweli panapohitajika!?
Hilo la kuvaa barakoa umeandika sahihi,lakini unaweza kumwambia yeye ukiwa naye!?
 
Hizo ni nadharia tuu,

Hujiulizi kwanini Chief Justice anachaguliwa na Rais?

Hujiulizi kwanini nani ni mwenyekiti wa chama anachotoka spika?

Hujiulizi nani anamteua mkuu wa majeshi ?

Rais ni kiongozi wa mihimili yote, separation of power ni nadharia tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bandiko lako Unataka kutuambia Katiba yoooote ya Tanzania ni NADHARIA TU??Huo Ni wendawazimu na pengine ndiyo maana Awamu ya Jiwe kuna UKIUKAJI NA UVUNJAJI ULIO KITHIRI WA KATIBA NA SHERIA ZA TANZANIA....!!So sad!
 
Hizo ni nadharia tuu,

Hujiulizi kwanini Chief Justice anachaguliwa na Rais?

Hujiulizi kwanini nani ni mwenyekiti wa chama anachotoka spika?

Hujiulizi nani anamteua mkuu wa majeshi ?

Rais ni kiongozi wa mihimili yote, separation of power ni nadharia tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli kabisa hayo mambo ya kusema kuna mihimili mitatu ni porojo tu za kwenye katiba lakini si katika uhalisia.
 
Hizo ni nadharia tuu,

Hujiulizi kwanini Chief Justice anachaguliwa na Rais?

Hujiulizi kwanini nani ni mwenyekiti wa chama anachotoka spika?

Hujiulizi nani anamteua mkuu wa majeshi ?

Rais ni kiongozi wa mihimili yote, separation of power ni nadharia tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima tukubali elimu haijamkomboa mwafrika bado
 
Kwa bandiko lako Unataka kutuambia Katiba yoooote ya Tanzania ni NADHARIA TU??Huo Ni wendawazimu na pengine ndiyo maana Awamu ya Jiwe kuna UKIUKAJI NA UVUNJAJI ULIO KITHIRI WA KATIBA NA SHERIA ZA TANZANIA....!!So sad!
Tuna mtaji mkubwa sana wa wajinga, swala la kujiuliza hao wengine wamewezaje
 
Dont take it seriously,wana utani hao
Tafute hoja ngumu ngumu,tushasahau kama kuna corona
 
Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.

Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli


Maendeleo hayana vyama!
Hivi mtukufu Jiwe anajua hali za afya za hawa wazee wenzie kweli manake, yarabi nafsi wenzie washakaa wodini india pancha mwili mzima bora wachukue tahadhari.
 
Lazima tukubali elimu haijamkomboa mwafrika bado

Watu wamesoma kwa kukariri ili wapate ajira za maofisini tu, the so called White collar job!!
Unakuta jitu limesoma hadi u-professorial lakini linafanyia kaxi ushauri wa CLASS 7!
Angalia Bunge letu, ni aibu na vichekesho maana hoja zinazofanyiwa kazi ni za watu kina Mhe.Msukuma na Kibajaji....!!
 
Kikombe cha Madagascar kinawapa watu kiburi

Hivi bado wanafanya utafiti wa Kikombe cha DJ Rajeolina? Au ndo wanakula dose taartibu huku wakiendelea kuwadanganya Wadanganyika Covid-19 imekwisha Tanzania?
 
Kwa bandiko lako Unataka kutuambia Katiba yoooote ya Tanzania ni NADHARIA TU??Huo Ni wendawazimu na pengine ndiyo maana Awamu ya Jiwe kuna UKIUKAJI NA UVUNJAJI ULIO KITHIRI WA KATIBA NA SHERIA ZA TANZANIA....!!So sad!
Kwani mamlaka ya Rais kumteua chief justice hayapo kikatiba ?

Katiba inamtaja nani kama Amiri Jeshi mkuu ?

Mamlaka ya Raisi kulivunja bunge hayapo kikatiba?

Ni hiyohiyo katiba ndiyo imempa Rais nguvu dhidi ya mihimili mingine, ndio maana nasema separation of power ni nadharia tuu ya kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mamlaka ya Rais kumteua chief justice hayapo kikatiba ?

Katiba inamtaja nani kama Amiri Jeshi mkuu ?

Mamlaka ya Raisi kulivunja bunge hayapo kikatiba?

Ni hiyohiyo katiba ndiyo imempa Rais nguvu dhidi ya mihimili mingine, ndio maana nasema separation of power ni nadharia tuu ya kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaonekana ndugu Mwalimu wako alipata taabu Sana kukufundisha mpaka kuelewa.
Neno SEPARATION ni KUTENGANISHA kabisa...a total separation of Powers kiasi kwamba hii Mihimili 3 haingiliani au kugongana kwa namna yoyote ilr.
Serikali, Bunge na Mahakama hazitakiwi kuingiliana hata kidogo.

Mfano hai: Hivi Juzi Rais Magufuli akiwa Chato alitoa maagizo kwa Spika wa Bunge asitoe Posho kwa Wabunge wa CHADEMA walioamua kujitenga kuangalia kutokana Covid-19! Hilo lilikuwa kosa kubwa Sana Kikatiba...!!inasikitisha sana!
 


Nimemsikiliza mara nyingi akipongeza watu wasiovaa barakoa. Tangia siku ile Chato kanisani,akaja Dodoma na hata jana wakati anahutubia walimu

Hii ina maana nyingine zaidi ya kupiga kampeni ya kutokuvaa barakoa?Naomba maoni yako
 
Back
Top Bottom