Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Hongera yake mzee wa masuti!
pic+ids+agency.jpg
 
Wanavyosambazwa mwishoni wataisha kabisa

Duuuh basi kazi tunayo.
Lakini naskia zile kazi zinahitaji vijana wenye uwezo mkubwa na nchi inabidi itoe fungu kubwa ili kuwapika.
Sasa kwa hali ilivyo sasa TZ wataweza kweli??
 
Mhhh Tanzania kwa sasa HAKUNA CHOCHOTE afanyacho Mh.Rais bila kuwa CRITICISED. ..Hivi tunakwenda wapi kama nchi????
Yote anakosea tangu aapishwe!!!!!! Mhhhh kweli!!!????
Kuna tatizo mahali!!
 
Huyu mzee Kipilimba ni muadilifu nadhani na mtu mmoja mkimya sana na wa ibada,anastahili kabisa kwa nafasi nyeti kama hiyo.Go Dr.

Na alipoteuliwa dakika ya 90+3 kwenda pale NEC ilikuwa ni kwa malengo gani? Uadilifu + Ibada anayejua ni Mungu na si mwanadamu.
 
Tujikumbushe tu kwamba upande fulani walishawahi mlalamikia. Angalia article hii ya mwaka jana wakati wa vuguvugu la kura.

MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA

* NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA

* ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.

Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".

Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....

* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...

Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo alifukuzwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.

Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt.

Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT. Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.

Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...

NB:.. Baada la hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...

Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo....

SIASA LEO TZ: MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA

Mkuu, inaelekea huna taarifa kamili.

Kwanza huelewi kwamba BOT pengine ni lazima iwe na watu kutoka idara mbalimbali za serikalini khasa serikali kuu.

Pili, unaonyesha bado huna habari ya kutosha kuhusu Dr Kipilimba na sababu za kuzungukazunguka kati ya BOT, NEC, NIDA na sasa TISS.

Kuna jamaa mmoja wa IT pale NEC anaitwa Madaha nae ni mtalaam ila kuna baadhi ya matatizo ya ujazo wa Data, yalijitokeza katika mfumo mzima wa uwasilishwaji wa matokeo "bottlenecks" labda ndio Dr Kipilimba akaombwa aende pale.

Dr Kipilimba hata humu JF ni active member na anawasoma wale "people of interest" kwa ukaribu, na sidhani kama atachukulia hii "seriously".

Hata hivyo kama hufahamu kuna kitu kinaitwa "baadhi yao" hiki ni muhimu sana kukielewa, sanasana tutaishia kuambiwa hadithi za hapa na pale tu.
 
Watu wengi wanaofanya kazi ubalozini ni Usalama wa Taifa (Hassy Kitine,Augustine Mahiga,Benard Membe na Othman ) hao wote ni Usalama wa Taifa na walikuwa mabalozi
Othman hakuwahi kuwa balozi
 
Nenda kaulize kwenye kumbi za Muziki na redio kama Ma DJ wanapata kazi au hawapati kazi. Hata hivyo kazi za ushushu siyo za kuteuana kwa misingi ya usomi bali weledi, na ulimbukeni huo wa kujali hadhi za usomi dhidi ya ufanisi upo zaidi huku Afrika . Waziri wa Fedha ana shahada ya Uzamivu kwenye mambo ya uchumi lakini alishindwa kutofautisha kati ya "Corporate tax" na "VAT" lakini wapo darasa la saba walimwambia kodi kwenye miamala ya kifedha itatozwa kwa mteja, na yeye kwa usomi wake akabisha ingawa sasa hivi ndicho kinachotokea.

Kwa hiyo.....
 
Mkuu, inaelekea huna taarifa kamili.

Kwanza huelewi kwamba BOT pengine ni lazima iwe na watu kutoka idara mbalimbali za serikalini khasa serikali kuu.

Pili, unaonyesha bado huna habari ya kutosha kuhusu Dr Kipilimba na sababu za kuzungukazunguka kati ya BOT, NEC, NIDA na sasa TISS.

Kuna jamaa mmoja wa IT pale NEC anaitwa Madaha nae ni mtalaam ila kuna baadhi ya matatizo ya ujazo wa Data, yalijitokeza katika mfumo mzima wa uwasilishwaji wa matokeo "bottlenecks" labda ndio Dr Kipilimba akaombwa aende pale.

Dr Kipilimba hata humu JF ni active member na anawasoma wale "people of interest" kwa ukaribu, na sidhani kama atachukulia hii "seriously".

Hata hivyo kama hufahamu kuna kitu kinaitwa "baadhi yao" hiki ni muhimu sana kukielewa, sanasana tutaishia kuambiwa hadithi za hapa na pale tu.
Mtu anayepaswa kushika ukuu wa idara nyeti moyo wa nchi kama TISS hawezi kuwa kipilimba ambaye amehusishwa na kuiba kura na kuiibia umma na jeshi la polisi fedha za Lugumi haiwezekani yeye mwenyewe ajiuzuru kwa sababu ataleta madhara makubwa nchi hii kama kiongozi huyo hana intergrity na watu wengi wanajuwa maovu yake watakosa imani na chombo chao
 
Ina maana Magufuli did not go with recommendation from Rashid Othman??


If so why?

Halafu what about nafasi ya Apson in post JK era????
 
Mkuu, inaelekea huna taarifa kamili.

Kwanza huelewi kwamba BOT pengine ni lazima iwe na watu kutoka idara mbalimbali za serikalini khasa serikali kuu.

Pili, unaonyesha bado huna habari ya kutosha kuhusu Dr Kipilimba na sababu za kuzungukazunguka kati ya BOT, NEC, NIDA na sasa TISS.

Kuna jamaa mmoja wa IT pale NEC anaitwa Madaha nae ni mtalaam ila kuna baadhi ya matatizo ya ujazo wa Data, yalijitokeza katika mfumo mzima wa uwasilishwaji wa matokeo "bottlenecks" labda ndio Dr Kipilimba akaombwa aende pale.

Dr Kipilimba hata humu JF ni active member na anawasoma wale "people of interest" kwa ukaribu, na sidhani kama atachukulia hii "seriously".

Hata hivyo kama hufahamu kuna kitu kinaitwa "baadhi yao" hiki ni muhimu sana kukielewa, sanasana tutaishia kuambiwa hadithi za hapa na pale tu.
Kwa hiyo hakufukuzwa kazi BOT???
 
Usalama wa Taifa?, mtu anatoka kokote kule! Kumbe hata huko Teuzi ni za kisaisa not weledi ..

Ajab la 8, Dunian lipatakikana TZ
kwani waajiriwa wote wa TISS unawajua? uteuzi huo unamaanisha alikuwa huko ikimyakimya! mjini hapa!
 
Hivi ukikutana mwehu barabarani akakuita wewe jambazi basi inakuwa ni kweli kuwa wewe ni Jambazi???
Hiyo si kweli lakini huyu tuhuma zake za kweli alicheza na matokeo na ni mshirika wa kampuni ya lugumi mtu huyu iweje atuongozee idara nyeti kama hiyo huyu ni written off just at the beginning
 
Hivi kuliepusha taifa kutoangukia ktk mikono ya mafisadi nao ni wizi wa kura[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Unalolinena hata hulijui....
Ndio unathibitisha uwizi wake yaani ndio maana nchi imeaangukia kwenye mikono ya mafisadi wa barabara meli za wachina, MV Dar, Nyumba kumbe naye ni sehemu yao ukichanganya na Lugumi
 
Back
Top Bottom