Green Bird
Senior Member
- Jan 26, 2016
- 101
- 81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dkt. Modestus Francis Kipilimba aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).Who is kipilimba
Na akiulizwa ushahidi hana.Swali zuri...inaelekea huyo ndugu anawafahamu watu wote wa TISS...duh, Watanzania bwana, this is too much now!!! yaani Watanzania wanajifanya wanajua kila kitu, duh....
Nchi sio ya mama yako ni mtanzania na lazima nikemee kwenye ubovu hatutaki mafisadi kuongoza TISSSubiri serikali ya chadema 2090 ndiyo utaona dira yake maana itakuhusu wewe mwanachama wake
Things to consider....Hiyo si kweli lakini huyu tuhuma zake za kweli alicheza na matokeo na ni mshirika wa kampuni ya lugumi mtu huyu iweje atuongozee idara nyeti kama hiyo huyu ni written off just at the beginning
Nadhani ni kule kwenye senene wengiAtakuwa anatokea Iringa ama Njombe.
Nani mjuaji mkuu? Mkifeli mnasema NECTA inawahujumu.Kapalimba ndio naniiiiii
Hata unayemjadili humjui...ujuaji tu unakusumbua.
Who is kipilimba
Yaani ile kazi mnainona kama muda wa kunywa juisi siyo?Kwahiyo mbatia hakukosea kutangaza pale jangwani Kuna watu wa kazi maalum katika kurekebisha kura za mamvi
Karudishiwa fadhila baada ya mission ya October 25 ??
SidhaniAna stadi za kazi hiyo au ndiyo muendelezo wa kujaribu na kurekebisha?
Tatizo la kutosoma vizuri wengi huwa mnafeli. Unadhani hapa ukionesha uko upande wa serikali au upinzani utateuliwa?Umeongea hewa tupu
Na kabla ya kupelekwa NIDA alikuwa Mkurugezi wa kitego cha Risk Management Benki Kuu ya TanzaniaMkuu, hivi unaelewa ulichokiandika? Huyu Kipilimba ameenda kule mwaka huu wakati tayari akina Mwaimu wameshatumbuliwa
Kaka kama umesoma kweli comment yangu usingesema sina taarifa kamili.Mkuu, inaelekea huna taarifa kamili.
Kwanza huelewi kwamba BOT pengine ni lazima iwe na watu kutoka idara mbalimbali za serikalini khasa serikali kuu.
Pili, unaonyesha bado huna habari ya kutosha kuhusu Dr Kipilimba na sababu za kuzungukazunguka kati ya BOT, NEC, NIDA na sasa TISS.
Kuna jamaa mmoja wa IT pale NEC anaitwa Madaha nae ni mtalaam ila kuna baadhi ya matatizo ya ujazo wa Data, yalijitokeza katika mfumo mzima wa uwasilishwaji wa matokeo "bottlenecks" labda ndio Dr Kipilimba akaombwa aende pale.
Dr Kipilimba hata humu JF ni active member na anawasoma wale "people of interest" kwa ukaribu, na sidhani kama atachukulia hii "seriously".
Hata hivyo kama hufahamu kuna kitu kinaitwa "baadhi yao" hiki ni muhimu sana kukielewa, sanasana tutaishia kuambiwa hadithi za hapa na pale tu.
Lakini kama mimi sijui kitu kuna mtu atakuwa anajua. Alimradi wanaofanya haya maamuzi ni binadamu. Usipojua taarifa fulani, usidhani wote hawatajua. Tumo wengi humu, hatufanani.Swali zuri...inaelekea huyo ndugu anawafahamu watu wote wa TISS...duh, Watanzania bwana, this is too much now!!! yaani Watanzania wanajifanya wanajua kila kitu, duh....
Hakuwahi kuwa balozi lakini amefanya kazi ubalozini nafikiri US,Tafuta kuna mada hapa JF wakati RO ameteuliwa na JK 2006Othman hakuwahi kuwa balozi
Now he's coming to fix you too😛😛Ok ok! huyu jamaa ni miongoni mwa walioteuliwa pale NEC at the Eleventh hour, last year..Possibly to manipulate (fix) things right!
Hongera mteuliwa,
Mmmh haya mashirika nyeti ya umma yana watu wa tiss wengi, kumbe huyu mzee alikuwa tiss, wapiga dili wamekwisha