Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Usalama wa Taifa?, mtu anatoka kokote kule! Kumbe hata huko Teuzi ni za kisaisa not weledi ..

Ajab la 8, Dunian lipatakikana TZ

Nani kakwambia hakuwa usalama kabla ya uteuzi?

Acha kuropoka
 
Kamteua au katangaza uteuzi wake? Nadhani wao mashushu wanafahamiana wenyewe ki weledi na uzoefu katika shughuli zao na uongozi.

GM aliekuwa anakaimu ndio alikuwa best shoot hapo... Ila kaachwa. Ingekuwa ni 'MTU' tu anaenda kuteua boss pale basi GM angeteuliwa.
Inaeleka unamfaham sana GM.. Tupe basi 'manyuzi'
 
Hakuwahi kuwa balozi lakini amefanya kazi ubalozini nafikiri US,Tafuta kuna mada hapa JF wakati RO ameteuliwa na JK 2006
Rashid Othman hakuwahi kuwa balozi kokote kule lakini Alifanya kazi ubalozini
I stand to be corrected
 
Kwa hiyo hakufukuzwa kazi BOT???
Kuna watu huwa wanafukuzwa makusudi ili kutuliza upepo baada
e kukitulia anarudishwa. Wakati wa scandal ya matokeo ya mitihani ya waislamu Mkurugenzi aliyehusika ilionekana kafukuzwa kutuliza ile pressure nae akaenda kusoma PhD baadae akarudishwa palepale NECTA
 
Na kabla ya kupelekwa NIDA alikuwa Mkurugezi wa kitego cha Risk Management Benki Kuu ya Tanzania

Dr. Modestus Kipilimba on Implementing a Robust GRC Solution at the Bank of Tanzania
Published on 16 Dec 2014
In an exclusive interview with Michael Rasmussen, Chief GRC Pundit at GRC 20/20 Research on the sidelines of the MetricStream GRC Summit Europe 2014, Dr. Modestus Kipilimba, Director of Risk Management at Bank of Tanzania identifies the key GRC challenges faced by the banking sector. Dr. Modestus also shares his thoughts around the enabling role of technology in building successful governance, risk management, and compliance programs.



Source: MetricStream

by watching this clip, I think we have got a serious man in office!
 
* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...

Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo alifukuzwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.

Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt.

Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT. Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.

Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...

NB:.. Baada la hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...

Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo....

Source: MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA | SIASA LEO TZ
Syestem imefanya kazi. Muda wote huo hatukujua kuwa jamaa ni sisimizi
 
Things to consider....

1. Alifukuzwa kazi BOT (based on hiyo barua iliyotaka hapo juu)

2. Alichakachua matokeo ya uchaguzi ( in my opinion CCM did not need him to win in any way shape or form. Katiba ya 1977 inawatosha)


3. Gaps kwenye maisha yake nchemba ya nchi


4. Uhusiano wake na Saidi Lugumi (this is a point of interest)


4. Role yake NIDA ( How did he deal.na akina Jack Gotham, Ramadhani Mwikalo et al)
Too late.mtayari keshateuliwa na sasa ameshaapishwa. Subirini mtakavyoshughulikiwa. Kuweni na tahadhari na si kuropoka tu. syetem at work
 
Rashid Othman hakuwahi kuwa balozi kokote kule lakini Alifanya kazi ubalozini
I stand to be corrected
You are right, kuna mtu aliuliza why balozi anachaguliwa kuwa Naibu Mkurugenzi wa TISS nikamweleza wafanyakazi wengi ubalozini ni maafisa usalama nikampa hiyo mifano
 
Nenda BRELA ndio uje hapa jamvini na vitu vya kueleweka.

Narudia tena acha kutoka povu. IKIUMA ..................
BRELA nako wamejaa mafisadi tu, hakuna utofauti wala maana ya kwenda huko.
 
Aliye kuwepo kabla nani?! jee kahamishiwa wapi?!
 
Nenda kaulize kwenye kumbi za Muziki na redio kama Ma DJ wanapata kazi au hawapati kazi. Hata hivyo kazi za ushushu siyo za kuteuana kwa misingi ya usomi bali weledi, na ulimbukeni huo wa kujali hadhi za usomi dhidi ya ufanisi upo zaidi huku Afrika . Waziri wa Fedha ana shahada ya Uzamivu kwenye mambo ya uchumi lakini alishindwa kutofautisha kati ya "Corporate tax" na "VAT" lakini wapo darasa la saba walimwambia kodi kwenye miamala ya kifedha itatozwa kwa mteja, na yeye kwa usomi wake akabisha ingawa sasa hivi ndicho kinachotokea.
Wewe unatia aibu. Hayo mambo ya VAT na Corporate Taxes tumeyajadili kwenye Uzi mwingine
You are so wrong. Usithubutu kutoa knowledge ya taxation.
I swear to devil, you are wrong!
 
by watching this clip, I think we have got a serious man in office!
Yeah Man,
Gathering massive amounts of data, making sense out of the data, produce reports, managing risk not ''problems''
NIDA Vitambulisho vya Taifa Vitakuwa na Saini mbili

Source: Focus Media Pro Ltd Tanzania
 
by watching this clip, I think we have got a serious man in office!

Serious man, au kufikirika tu.

Huyu si alikuwa Mkurugenzi wa Risk Management BOT? Kwani mihela ya EPA ilipopigwa pale BOT yeye alikuwa ana manage Risk gani sasa, na alitoa mapendekezo gani?

Au ndio kusema kati ya wote, bora huyu
 
Huyu ni jipu lenye usaha w a kilo mia mtu si msafi kabisa mtuhumiwa kwa kiwango kikubwa kama cha huyu mtu hawezi pewa idara nyeti kama hiyo hana intergrity katuhumiwa kuiba kura katuhumiwa kufanya biashara ovu na akina Lugumi halafu unampa kitengo nyeti kama hicho halafu Magufuli anadanganya umma eti anatetea watu anyone kweli serikali ya CCM ni ya mafisadi mwendo mzima

Subiri atakae teuliwa na serikali ya chadema mwaka 3000
 
Back
Top Bottom