Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee anataka zaidi wasukuma hizo sifa nyengine hana haja nazo ..ref cdfWawe wanachagua angalau mtu mwenye idea na hiyo kitu. Sio mradi tu!
unaongea ki layman sana. Tatizo mnjajifanya ma expert wa kila ishu kumbe weupe vichwaniMzee anataka zaidi wasukuma hizo sifa nyengine hana haja nazo ..ref cdf
Narudia tena sifa kubwa kwake ilikuwa ni msukuma hizo nyengine sio za maana kwake..ref cdf lete Hoja zako ili twende pamojaunaongea ki layman sana. Tatizo mnjajifanya ma expert wa kila ishu kumbe weupe vichwani
Rais Magufuli amewateua Dkt. Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu, Robert Msalika Naibu Mkurugenzi Idara ya Usalama wa Taifa.
- Anaapaishwa leo mchana.
Alikuwa anafanya kazi NIDA kama Mkurugenzi mkuu.
View attachment 386820
Kila rais anayeingia humchagua director amtakaye ,refer Obama na saizi TrumpNajiuliza nini maana ya TISS kama sielewi nchi inakuwa kama ya ajabu hivi NIDA kuna shushu alie bobea wa kuhack taarifa on sport au kegezo kipi kimetumika maana kuna vitengo vya umuhimu uzoefu katika kazi unaitajika hujawahi sikia CIA M16 au mossad nchi wahusika wanafanya changes Mara Mara kwa usalama zaid
Narudia tena sifa kubwa kwake ilikuwa ni msukuma hizo nyengine sio za maana kwake..ref cdf lete Hoja zako ili twende pamoja
Wasukuma hii ni enzi yenu
Najiuliza nini maana ya TISS kama sielewi nchi inakuwa kama ya ajabu hivi NIDA kuna shushu alie bobea wa kuhack taarifa on sport au kegezo kipi kimetumika maana kuna vitengo vya umuhimu uzoefu katika kazi unaitajika hujawahi sikia CIA M16 au mossad nchi wahusika wanafanya changes Mara Mara kwa usalama zaid
Sio mchezo.....
Kila rais anayeingia humchagua director amtakaye ,refer Obama na saizi Trump