Hakuna sababu nyingine yoyote ya kwa nini ni Kasim Majaliwa!. Sababu ni zile zile kama nilizozieleza humu kwa nini rais ni John Pombe Magufuli!.
[h=3]Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John [/h]Kama rais ni Joni, it is very fair waziri mkuu akiwa Juma ...Kasimu au Ali!.