Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Lango kuu la ukumbi wa bunge linafunguliwa....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi hatuna mpango na waziri Mkuu wa ccm, tunataka maalim Seif ahudhurie Bunge Hilo kama RAIS halali wa Zanzibar.
Aaah anatoka kanda ya kati trust me
Waziri mkuu ni mulyambange
Thubutu ! Unacheza na MaguMuhongo anafaa sana lakıni uteuzi wake utamfanya Magufuli aanze kuandamwa na media mapema sana tena wakiongozwa na Mengi.