Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Majaliwa duh huyu si ndio badi bakule wa tamtam ya muumini
 
.........mimi sijafurahishwa na uteuzi wake.......maana sioni akiendana na kasi ya kazi tu....
Ulitaka jina unalolijua? Mwakyembe, Makamba, Muhongo....kwani unaujua uwezo wake wa utendaji?
 
Whaaaaaaaaaat?,mbona simfahamu huyu?
uploadfromtaptalk1447915286182.jpg
Mhhhhhhhhhhhhh

Simfahamu kabisa aisee, Majaliwa? Ndio nani?
 
Tofauti na matarajio ya watanzani,safi sn mh.rais ni matumaini yangu ataendana na kasi ya mr.presdent
 
ccm kwa ma suprise wanatisha... full drama mambo yao.. ndio maana wanatawala miaka 50. wana zengwe hatari

surprise ipi mtu alishatajwa kila kona! Hebu acheni ulimbukeni bwana ungefwatilia uchambuzi wa itv kabla ya bunge kuanza asubuhi y leo
 
Anaesubilia jipya kutoka kwa hii serikali ya ccm inabidi akapimwe akili,serikali ni ileile, rais ni kama walewale waliopita kwenye chama kilekile.
 
Back
Top Bottom