Rais Magufuli ana huruma, wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua
 
Huu uzi mkuu unatonesha kidonda, Watanzania wengi walikuwa na akili uwezo, tatizo nafasi fursa masomo zilikuwa adimu , wengi walikariri madarasa ikabidi hata badili majina watimize ndoto.
 
Blessed are the poor in spirit: for theirs is the kingdom of heaven.

Blessed are they that mourn: for they shall be comforted.

Blessed are the meek: for they shall inherit the earth.

Blessed are they which do hunger and thirst after righteousness: for they shall be filled.

Blessed are the merciful: for they shall obtain mercy.

Blessed are the pure in heart: for they shall see God.

Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God.

Blessed are they which are persecuted for righteousness' sake: for theirs is the kingdom of heaven.

Blessed are ye, when men shall revile you, and persecute you, and shall say all manner of evil against you falsely, for my sake.

Rejoice, and be exceeding glad: for great is your reward in heaven: for so persecuted they the prophets which were before you.
 
Rubbish kabisa,wewe takataka unaota kuwa Rais?
Siku nikishika uraisi wenye vyeti feki hata kama mumefariki nitafukua maiti nitaichomoa kwenye jeneza nipige mnada jeneza ni 're cover pesa za serikali mlizolipwa mkiwa kazini na vyeti feki ambayo hamkuirudisha kabla ya kufa
 
Huu uzi mkuu unatonesha kidonda, Watanzania wengi walikuwa na akili uwezo, tatizo nafasi fursa masomo zilikuwa adimu , wengi walikariri madarasa ikabidi hata badili majina watimize ndoto.
Kubadili jina sio shida waweza badili majina upendavyo lakini ukasoma ukapata cheti halali hilo sio tatizo tatizo ni cheti feki!!!
 
Sioni kama hiyo ni huruma, serikali ilikua imelala mpaka ikaajiri wafanyakazi wenye vyeti feki? Huoni kama makosa ni ya serikali na serikali ilitakiwa iwajibike kwa uzembe na sio hao wafanyakazi

Mtu yupo kwenye ajira zaidi ya miaka ishirini au 30 leo unakuja kumwambia kwamba ana vyeti feki, unamwachisha kazi, ana familia na wategemezi, mbaya zaidi yupo katika age ya kustaafu

Kama Magufuli na washauri wake wangekua makini, wangeweka mkakati wa kuwaendeleza wale wafanyakazi ambao hawakua na vyeti kwa sababu tayari wana uzoefu mkubwa kazini na pengine wanafanya kazi vizuri kuliko hata wenye vyeti halali, na kwa wale ambao walifika umri wa kukaribia kustaafu wangewaacha wamalize muda wao.
 
Hapa ndiyo unazidi kumharibia kabisa. Kwann aliajiriwa wakati ana vyeti feki? Watendaji wa serikali waliowaajiri watu hawa wao wamepewa kesi gani?
Angeenda huko kuna ukoo mzima au kabila nzima au familia wagefukuzwa kazi au kwenda jela

Haio wengi waliingizwa kikabila,kingono,kindugu na kifamilia hasa angesogea tu mjomba,sijui baba mkubwa nk wangeingia matatani wote waliokushika mkono kuwa kaa hapa na cheti chako feki wa wangekiona cha mtema kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…