Rais Magufuli ana huruma, wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Mtu yupo kwenye ajira zaidi ya miaka ishirini au 30 leo unakuja kumwambia kwamba ana vyeti feki, unamwachisha kazi, ana familia na wategemezi, mbaya zaidi yupo katika age ya kustaafu
Kwa hiyo.mwizi aliyekuwa akiiba mazao yako shambani unamzawadia kiiunua mgongo?
 
Na wengi wapo sekta binafsi
Ni kweli sekta binafsi nayo ishirikiane na serikali kuhakiki vyeti

Tatizo la ajira lingine linasababishwa na hao wenye vyeti feki Wanabana nafasi za vijana wenye vyeti halali

Sekta binafsi ianze kuhakiki

Uzalushaji na ufanisi sekta binafsi unakuwa Chini sababu ya hao wenye vyeti feki
 
And u support it?
Huu uzi mkuu unatonesha kidonda, Watanzania wengi walikuwa na akili uwezo, tatizo nafasi fursa masomo zilikuwa adimu , wengi walikariri madarasa ikabidi hata badili majina watimize ndoto.
 

Si kosa lako. Mwezi mchanga. Uliandama juzi.
 
Hugging criminals
 
Wenye vyeti feki tunatoa tamko kwa pamoja kulaani neno lako
 
Vyeti fake ni kwenye Walimu tu Taasisi nyingine hamna kma wizara ya mambo ya ndani n.k Kuna mda inabidi tuache kuwa na ushabiki wa kijinga huruma kwenye haki na wajibu kama ni haki na utaratibu ufanyike kwenye Taasisi zote sio ushabiki wa kijinga kijinga. na kusifia kinafiki tu mazuri tuseme na mabaya tuseme.
 
Watamlipa fadhira kwa huruma yake
 
Kwani huruma inaelezewa kwa maneno yako au huonekana?
 
Ukiwa kwenye system ndiyo utatambua kuna mambo hayawezekani hata uweje...


Cc: mahondaw
 
Mbona bashite hakuachishwa kazi?
 
Kwenye majeshi mmeshahakiki?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…