Rais Magufuli ana huruma, wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Rais Magufuli ana huruma, wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Kabudi alipeleka cha form four??double standards
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua
Dikteta uchwara.
 
sawa umepata...

Magu 98%... wengine watagawana 2%

Heil JPM
Hapo sio kurekebisha bali kuwaadhibu wahusika, nadhani kwa sababu mmekiri kosa, basi mngeweka mkakati wa kudhibiti hayo makosa going foward na sio kukiri makosa kwa kuwaadhibu watu mngejiadhibu ntie kwanza
 
Nchi ilikuwa na hali duni ,utendaji kazi maofisini ulikuwa umedorora ukienda ofisi za serikali huduma zilikuwa duni ,
Ufaulu wa wanafunzi ulikuwa mdogo yote sababu kubwa ilikuwa wenye vyeti feki

Baada ya kuondolewa vyeti yote hayo yamebadilika
Huna hoja kijana wa ccm. Kama utendaji ulikua duni kusingekua na maendeleo. Kajipange tena
 
Siku nikishika uraisi wenye vyeti feki hata kama mumefariki nitafukua maiti nitaichomoa kwenye jeneza nipige mnada jeneza ni 're cover pesa za serikali mlizolipwa mkiwa kazini na vyeti feki ambayo hamkuirudisha kabla ya kufa
huo urais utaushika kwa mikono ewe TAGA?
 
Na vipi kuhusu majukumu ya kazi walizopewa na kutekeleza yalikuwa batili?
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua

Angalianza kulipa yeye na mwanawe Bashite
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua

Wewe mwenyewe ni feki.
Kama ulifundishwa na mwalimu mwenye cheti feki, pia wewe ni feki x 2
Kama ulitibiwa na daktari feki ukapona, basi kupona kwako ni feki x 2

Tatizo watu wamekuwa wanaangalia vyeti badala ya kuangalia uwezo na utendaji kazi wa mtu.
Kama mtu alitumia jina la mtu kwenda shule, aliye kuwa darasani ni yule mtu na si jina/cheti. Sasa kama mtu amekaa darasani kwa jina feki lakinia akafaulu mitihani yote kwa jina feki, je huyo mtu anatatizo gani?
 
Na vipi kuhusu majukumu ya kazi walizopewa na kutekeleza yalikuwa batili?
Yalifanywa hovyo mfano mwalimu mwenye cheti feki alikuwa akifundusha nini kama sio ubabaishaji? Ndio maana watoto walikuwa wakimaliza shule ya msingi hawajui kusoma wala kuandika
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua
Alipaswa kwanza awashughulikie wale waliowaajiri wenye vyeti feki.
 
Wewe mwenyewe ni feki.
Kama ulifundishwa na mwalimu mwenye cheti feki, pia wewe ni feki x 2
Kama ulitibiwa na daktari feki ukapona, basi kupona kwako ni feki x 2

Tatizo watu wamekuwa wanaangalia vyeti badala ya kuangalia uwezo na utendaji kazi wa mtu.
Kama mtu alitumia jina la mtu kwenda shule, aliye kuwa darasani ni yule mtu na si jina/cheti. Sasa kama mtu amekaa darasani kwa jina feki lakinia akafaulu mitihani yote kwa jina feki, je huyo mtu anatatizo gani?
Kwa hiyo unataka mtu asiye na cheti apelekwe muhimbili akaonyeshe uwezo wake wa kufanya operation?

Mtu ambaye ana cheti feki cha ualimu aajiriwe kufundisha?
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua
Lakini pia seriousi muadilifu kwa sababu aliwafukuza wote wenye vyeti feki akamuacha mmoja tu
 
Kufanya kazi kwa kutumia vyeti feki na kulipwa mshahara ni uhujumu uchumi

Rais Magufuli ana huruma wenye vyeti feki walitakiwa walipe pesa zote walizolipwa miaka yote au wawe jela kawaachisha kazi tu

Angekuwa mkali sasa hivi magereza yangekuwa yamejaa hadi kushindwa kumudu

Pia walitakiwa warudishe pesa zote walizowahi kulipwa muda wote waliokuwa makazini warudishe serikalini

Ningekuwa Rais wangenikoma washukuru Rais ni Magufuli ila siku nikibahatika kuwa Rais hiyo kesi nitaifufua
Rais ndiye mwajiri mkuu.Mwajiri mkuu aliyeshindwa kuweka mfumo wa kugundua vyeti feki mpaka watu wakatumikia miaka yote hiyo.In short mfumo ulichangia na lilikuwa ni kosa kubebesha lawama upande mmoja.Watu wangapi wa utumishi na uajiri walifukuzwa? (Hii ni kwa serikali zote za CCM na si Magufuli peke yake)
Huu ni mjadala mpana sana ambao tukiufuatilia kuna hata hukumu inabidi zibatilishwe na hata watu wanaweza kudai fidia serikali kwa mfano kwa kutibiwa na daktari ambaye hakustahili.
 
Rais ndiye mwajiri mkuu.Mwajiri mkuu aliyeshindwa kuweka mfumo wa kugundua vyeti feki mpaka watu wakatumikia miaka yote hiyo.In short mfumo ulichangia na lilikuwa ni kosa kubebesha lawama upande mmoja.Watu wangapi wa utumishi na uajiri walifukuzwa? (Hii ni kwa serikali zote za CCM na si Magufuli peke yake)
Huu ni mjadala mpana sana ambao tukiufuatilia kuna hata hukumu inabidi zibatilishwe na hata watu wanaweza kudai fidia serikali kwa mfano kwa kutibiwa na daktari ambaye hakustahili.
Anayeshikwa na Mali ya wizi ndie mwizi. Aliyekutwa na cheti feki ndie mwizi mwenyewe.Wewe ndie umekutwa na cheti feki utamsukumiaje mtu mwingine?

Hilo zigo la kwako
 
Kwa hiyo unataka mtu asiye na cheti apelekwe muhimbili akaonyeshe uwezo wake wa kufanya operation?

Mtu ambaye ana cheti feki cha ualimu aajiriwe kufundisha?

Ndiyo, kama wanauwezo wa kufanya hayo kwa ufanisi bila tatizo, basi waruhusiwe, kuliko kuweka watu wenye vyeti lakini hawana uwezo wa kufanya hizo kazi.
 
Ndiyo, kama wanauwezo wa kufanya hayo kwa ufanisi bila tatizo, basi waruhusiwe, kuliko kuweka watu wenye vyeti lakini hawana uwezo wa kufanya hizo kazi.
Mmmmmm mtu anapimwa kwanza anakosomea kupata cheti halali sio wodini.
 
Mbona Bashite anavyeti feki lkn ndo kipenzi cha mfalme mbona Kuna mtu ana phd feki lkn bado tupo na watz wanamlipa mshahara alipochunguzwa kidogo tu mtu wa watu akapotezwa mazima.....🤔🤔

Acheni double standards 😏😏
 
Makonda aliachishwa au ndio Mkuki kwa Nguruwe....
 
Umenena! Unakuta jitu lilikung'uta 0 form six lakini ana kazi nzuri kuliko aliyefaulu. Namshukuru JPM ameondoka nao kwa speed ya light
 
Mmmmmm mtu anapimwa kwanza anakosomea kupata cheti halali sio wodini.

Watu wanavyeti vya nadharia tu, lakini kivitedo ni ziro kabisa. Je kati ya hao wewe uko upande gani?
 
Back
Top Bottom