Tatizo uelewa wako ni mdogo Sana. Mtumishi wa uma anapanda cheo/ daraja Kila baada ya miaka mitatu. Sasa kwa Mara ya mwisho mtumishi aliyepanda cheo 2013 anatakiwa apande Tena lini? JK angeaweza kumpandisha huyo 2016? Bila shaka haiwezekani. Lakini Jpm alipoingia tu Kuna waliobakisha mwaka moja kupanda lakin hajapasha so ikafika Kuna miaka 7 Kuna miaka 6 Kuna 5 Kuna 4 wote Bila Bila. Hiyo ya % najua huelewi chochote Cha msingi ni kwamba package inayoongezwa ni kubwa na ni Kila mwaka imagine mtu alianza kazi na mshahara 532,000/- hapo ni 2013 mpaka kufikia 2015 nyongeza imemfikishia 716,000/. lakin kwa Jpm ndani miaka 5 kutoka 716,00/ mpaka 733,000/ miaka 5 ameongeza only 17000/ very big shame. Now make comparison btn them.