Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko mada zenyewe! Hivi umemtaja Zitto na Makamba mara ngapi kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadali mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likijengwa, katu "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!! Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
Wewe JF Great thinker kabisa. Ahsante sana
 
Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!

Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!

Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
Atakae kupinga aje na hoja kama hivi, sio blah blah. Binafsi nimepata darasa na uelewa kuhusiana na mradi huu.
 
Hivi alisemaje kuhusu tatizo la umeme na baada ya kifo chake si yakejirudia? Alikuwa mkweli ila mafisadi mnayaamini nyie wapuuzi, bisha
 
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Zitto alikuwa anasema jamani tukikataa tutakuwa tumepoteza bahati kubwa na wanakwenda kujenga sehemu nyingine. Mimi nilidhani walishakwenda huko kwingine zamani lakini kila nikisikia bado wanapambana kwa nguvu zote ili ''watusaidie'' ndipo nabaki hoi.

Bado wanapambana kutusaidia😂😂😂 zitto msanii sana
 
Huhitaji kuona mkataba ili ujue madhara ya kuipa nchi nyingine bandari (lango kuu) la nchi yako walimiliki. Huhitaji kuona mkataba ili ujue kuwa hiyo bandari siyo muhimu kwa sababu tayari tuna bandari ambazo tunaweza kuziendeleza kwa gharama ndogo, iliyo kwenye uwezo wetu, na zikakidhi mahitaji yetu.
Mi naomba kwanza muweke mikata ya bwawa la Nyerere na SGR hapa kama mmewahi kuiona.Maana ni upuuzi kung'ang'ania kuona mkataba wa bandari tu ili hali mikataba mingine pia haijawahi oneshwa.
 
pu......Basi ngoja ninyqmaze!! Bwawa la mwal.nyerere ambalo lilikuwa ndo mwalobaini wa umeme hapa nchini liko wapi ,nalo linasuasua ,juz wazyiri wenu akasema hakuna mtambo wa kuinulia mifuniko ya bwawa kuupachika mahala pake,si majibu ya kiwendawazimu haya,yaani wazyri mzma anaongea pumba utadhani kanywa mbege! hii nchi sijui ikoje ,imejaa mijitu ya hovyo na milafi Kama ww.mijitu inafikilia maisha ya miaka 2 au 3,haifikilia vizazi vijavyo vitakuwaje !! Kama sisi tusipojenga Sasa na kutengeneza Nani atafanya !?, wakati mwngine unaweza kumlaumu muumba ,anachukua viongozi wa maana anatuachia majanga !!daaah, halafu mijitu hii inaishi kweli
Unakaa kanyagwa wewe.
 
1.Mkuu wewe Umeusoma?
2.Unajua Nikupe mfano mdogo tuu,Kampuni hata kwenye mambo ya Tenda kama Kampuni inayoomba tenda ina Historia Mbaya,Hata Kama Ina uwezo wa Kushinda tenda Inapigwa chini!(Ethics) sasa Binafsi Nimefanya Kazi kwa Waarabu,Wahindi,Wazungu na Wachina!
Aiseee Wachina duuu acha tuuu sema Umaskininwetu na Kuhitaji hela na Sio UTU!
MUNGU atusaidie...Mi Nimeanza Kupiga Goti tuu sio tuu Kuomba Mvua,Hapana Pamoja na Mambo mengine ya Nchi kama hilo la Uwekezaji ili Maingilie kati afanye Kama Itakavyompendeza Mna Sio Mimi!
Sio Busara Kupinga Kitu Usichokijua Nakubaliana na wewe 100%!
Ndio Maana Mimi sijapinga Mkuu Ila Nimeeleza Upande wa pili Kaka!
Bandari inaelezwa itajengwa na mataifa mawili yaani China na Mwarabu.Huku China ikidili na utalamu na mwarabu akitoa pesa.
Sasa kwa nini watu mnalazimisha tuamini mradi huu wamepewa wa China pekee?.
 
Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!

Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!

Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
Mkuu Chige!Kuanzia sasa ntahakikisha nafuatilia kila bandiko lako.Wewe unamadini yenye thamani sana katika ubongo wangu.
 
Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!

Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!

Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
@Sampuli06
 
Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!

Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!

Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
Sampul06
 
Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!

Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!

Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!

Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:

Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!

Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!

That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-


Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!

Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!

Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!

And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!

But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872

Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!

Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892

So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!

Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?

the University of Berkeley kwamba:-


Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!

Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?

Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!

Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!

Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!
Hili la ''mazungumzo'' (soma udalali) kuendelea wala huhitaji kuwa graduate kuelewa. Infact kila kitu kilishamalizika na mradi ulishapitishwa tangu siku ile Magufuli alipofariki. Mbona Samia alisema kabisa kuwa ni lazima hiyo bandari itajengwa? Ni suala la muda tu lakini mambo yataanza. Tunachofanya sisi ni kuweka tu kumbukumbu ili vizazi vijavyo visione kuwa ni watanzania wote walikuwa wapumbavu kiasi cha kukubali kuunga mkono mkataba wa kijinga namna hii. Tunajua Zitto ana role kubwa sana kwenye serikali ya sasa na amekuwa kama ni technical director na msemaji wa serikali asiye rasmi.
 
Hili la ''mazungumzo'' (soma udalali) kuendelea wala huhitaji kuwa graduate kuelewa. Infact kila kitu kilishamalizika na mradi ulishapitishwa tangu siku ile Magufuli alipofariki.
Sasa hayo mazungumzo yalikuwa yanaendeshwa na nani kama sio serikali ya huyo unayesema maamuzi yalipitishwa baada ya kufa?
Mbona Samia alisema kabisa kuwa ni lazima hiyo bandari itajengwa? Ni suala la muda tu lakini mambo yataanza.
Na kumbe Magufuli alisemaje kwenye hiyo video niliyokuwekea?
Tunachofanya sisi ni kuweka tu kumbukumbu ili vizazi vijavyo visione kuwa ni watanzania wote walikuwa wapumbavu kiasi cha kukubali kuunga mkono mkataba wa kijinga namna hii.
The problem, hujawahi kutoa hoja yoyote kuhusu ubaya wa huu mradi!! Kila siku, the same old story... mara kuna upigaji, mara vile!! Mara Kikwete, mara Zitto... jadili faida na hasara za mradi!

Hakuna asiyefahamu kwamba nchi hii kuna upigaji!! Hoja hapa ni faida na hasara za mradi, na namna gani mradi unaweza kufanywa kwa maslahi ya nchi.

Hicho ndicho unachotakiwa kujadili! Na ndicho mara zote nimekuwa nikijadili!!!

Au unataka kusema upigaji utakuwa kwenye Bandari ya Bagamoyo tu, na kwingine kote hakuna upigaji?! Au ndo yale yale ya kutuaminisha mwizi mkubwa nchi hii ni Acaccia na makinikia yake, wakati kampuni zote za madini ni wale wale tu??!
Tunajua Zitto ana role kubwa sana kwenye serikali ya sasa na amekuwa kama ni technical director na msemaji wa serikali asiye rasmi.
Hiyo obsession yako na akina Zitto, nakuachia mwenyewe!!
 
Hoja hujibiwa kwa hoja!

He unaona masharti hayo kwa dunia ya Sasa Yana umaana wowote wa kunufaisha hili taifa saiz Kama dunia kijiji.

Kwa miaka 99 tusikusanye chochote hao wenzetu walipewa 50yrs kutokana na maelezo yako but kulikuwa na condition za kubadilika hayo maandiko nasio hili la Tanzania hata iweje haiwezekani kubadilika hvyo ukuaji wa teknolojia, mawasiliano in next 10yrs unafikiri tutadhindwa sisi wenyewe kuanzia?

Kama sisi wenyewe hatunufaiki kwa lolote bado gharama za kulipa huo mradi xipo pale pale na faida juu, Nani anaumia kwenye huu mradi Kama sio Mimi, mwanangu, mjukuu wangu na kitukuu changu na wakimaliza sio wanakuwa mbele ndo wanarudi pale walipoishia 2021 wakati huo n 2120.

Je una akili wewe?
Nishasema sana hapa, na nitarudia...

Hizo habari za miaka 99 tusikusanye chochote ni UONGO unaonezwa na Wapingaji wa mradi kwa sababu zao binafsi!! Hakuna kitu kama hicho sehemu yoyote duniani!!

Huo ni uongo kama ule uliokuwa unaenezwa kwamba China imepora Bandari ya Sri Lanka ili kulipia deni lao!!!

Ukweli ni kwamba, Mchina; kama alivyo mwekezaji yeyote yule; LAZIMA ataomba msamaha wa kodi!!

Lakini lazima mfahamu kuna aina mbalimbali za kodi, na nyingine zinasameheka kwa mujibu wa sheria zetu wenyewe!!!

Kwa kawaida, ukiondoa ile grace period ambayo sio jambo geni, Mchina huwa anaomba aondolewa INCOME TAX!

What's income tax!

Kwa mfano wewe ukipitisha mzigo pale Bandari ya Dar es salaam, na ukachelewa kuuchukua, Mamlaka ya Bandari (sio TRA) watakuchaji tozo ya kukuhifadhia mzigo wako!

Hiyo Tozo ndio moja ya Income za Mamlaka ya Bandari!! Na kwa sheria zetu, TPA watalazimika kulipa Income Tax kwa TRA kutokana na mapato wanayoingiza kupitia tozo mbalimbali!!

Sasa basi, tukichukua mfano huo huo tukaupeleka Bandari ya Bagamoyo...

Kama umepitisha shehena pale, assuming ni bandari ya kawaida, basi utalipa Import Tax, Stamp Duty, na VAT...

Hizo kodi always ni MALI YA SERIKALI!

NI mali ya serikali kwa sababu anayelipa sie "Mmiliki/Mwendeshaji wa Bandari" bali Mtumiaji wa Bandari!!!

Lakini kama nilivyotoa mfano wa Bandari ya Dar es salaam, wewe utalazimika kutumia huduma za Mchina hapo bandarini.

Kwa mfano, utalazimika kumlipa gharama za kupakia na kupakua mzigo! Utalazimika kumlipa gharama za kuhifadhi mizigo kwa muda utakaowekwa!!

Hizo pesa unazolipa ni za Mchina na sio TRA!! Lakini kwavile unapokuwa umemlipa Mchina inamaanisha anakuwa ameingiza INCOME, hapo ndipo TRA atapiga hodi kuitaka Income Tax!!

Hii Income Tax hailipwi na Mtumiaji wa Bandari bali ni Mwendeshaji/Mmiliki wa Bandari!!

Sasa kwavile Mwendeshaji ni Mchina, kwa kawaida, Mchina huwa anaomba kufutiwa hiyo Income Tax! Kama ulimlipa TZS 100M ili kukuhifadhia mizigo yako, Mchina ataomba hiyo 100M isikatwe kodi (Income Tax)!

Lakini kwamba eti anataka miaka 99 tusikusanye chochote, ni HABARI ZA UONGO!!

Na hata kwenye hiyo 99, watu wanachanganya madesa....

Kumbuka sheria zetu za umiliki wa ardhi ni miaka 33 (renewable), miaka 66 (renewable), na miaka 99!!

Kilichopo ni kwamba, Mchina anataka AMILIKISHWE ARDHI kwa miaka 99, wakati anatarajiwa ku-operate bandari at the maximum of 40 years!!

Sasa hapo ndipo inapokuja hoja kwamba: Kama atapewa mkataba wa miaka 30 au 40 ya kuendesha bandari, kwanini atake kumiliki ardhi kwa miaka 99!!

Kwanini asimilikishwe 33 years (renewable), na kama itaonekana mkataba unaendelea, akamilikishwa kwa miaka mingine 33!!

Kwangu mimi sioni tatizo hapo... ni jambo linalozungumzika!

Hata hilo la msamaha wa baadhi ya kodi, nalo linazungumzika!!!
 
Niliwashangaa sana Chadema kutetea huu mradi, isijekuwa wabunge wa hiki chama walirubuniwa. Nina mashaka sana na Zito kwa sasa. Maana aliutetea sana huu mradi.
Hahahahaa! utaiweka wapi sura yako chief?
 
Nishasema sana hapa, na nitarudia...

Hizo habari za miaka 99 tusikusanye chochote ni UONGO unaonezwa na Wapingaji wa mradi kwa sababu zao binafsi!! Hakuna kitu kama hicho sehemu yoyote duniani!!

Huo ni uongo kama ule uliokuwa unaenezwa kwamba China imepora Bandari ya Sri Lanka ili kulipia deni lao!!!

Ukweli ni kwamba, Mchina; kama alivyo mwekezaji yeyote yule; LAZIMA ataomba msamaha wa kodi!!

Lakini lazima mfahamu kuna aina mbalimbali za kodi, na nyingine zinasameheka kwa mujibu wa sheria zetu wenyewe!!!

Kwa kawaida, ukiondoa ile grace period ambayo sio jambo geni, Mchina huwa anaomba aondolewa INCOME TAX!

What's income tax!

Kwa mfano wewe ukipitisha mzigo pale Bandari ya Dar es salaam, na ukachelewa kuuchukua, Mamlaka ya Bandari (sio TRA) watakuchaji tozo ya kukuhifadhia mzigo wako!

Hiyo Tozo ndio moja ya Income za Mamlaka ya Bandari!! Na kwa sheria zetu, TPA watalazimika kulipa Income Tax kwa TRA kutokana na mapato wanayoingiza kupitia tozo mbalimbali!!

Sasa basi, tukichukua mfano huo huo tukaupeleka Bandari ya Bagamoyo...

Kama umepitisha shehena pale, assuming ni bandari ya kawaida, basi utalipa Import Tax, Stamp Duty, na VAT...

Hizo kodi always ni MALI YA SERIKALI!

NI mali ya serikali kwa sababu anayelipa sie "Mmiliki/Mwendeshaji wa Bandari" bali Mtumiaji wa Bandari!!!

Lakini kama nilivyotoa mfano wa Bandari ya Dar es salaam, wewe utalazimika kutumia huduma za Mchina hapo bandarini.

Kwa mfano, utalazimika kumlipa gharama za kupakia na kupakua mzigo! Utalazimika kumlipa gharama za kuhifadhi mizigo kwa muda utakaowekwa!!

Hizo pesa unazolipa ni za Mchina na sio TRA!! Lakini kwavile unapokuwa umemlipa Mchina inamaanisha anakuwa ameingiza INCOME, hapo ndipo TRA atapiga hodi kuitaka Income Tax!!

Hii Income Tax hailipwi na Mtumiaji wa Bandari bali ni Mwendeshaji/Mmiliki wa Bandari!!

Sasa kwavile Mwendeshaji ni Mchina, kwa kawaida, Mchina huwa anaomba kufutiwa hiyo Income Tax! Kama ulimlipa TZS 100M ili kukuhifadhia mizigo yako, Mchina ataomba hiyo 100M isikatwe kodi (Income Tax)!

Lakini kwamba eti anataka miaka 99 tusikusanye chochote, ni HABARI ZA UONGO!!

Na hata kwenye hiyo 99, watu wanachanganya madesa....

Kumbuka sheria zetu za umiliki wa ardhi ni miaka 33 (renewable), miaka 66 (renewable), na miaka 99!!

Kilichopo ni kwamba, Mchina anataka AMILIKISHWE ARDHI kwa miaka 99, wakati anatarajiwa ku-operate bandari at the maximum of 40 years!!

Sasa hapo ndipo inapokuja hoja kwamba: Kama atapewa mkataba wa miaka 30 au 40 ya kuendesha bandari, kwanini atake kumiliki ardhi kwa miaka 99!!

Kwanini asimilikishwe 33 years (renewable), na kama itaonekana mkataba unaendelea, akamilikishwa kwa miaka mingine 33!!

Kwangu mimi sioni tatizo hapo... ni jambo linalozungumzika!

Hata hilo la msamaha wa baadhi ya kodi, nalo linazungumzika!!!
Ikiwa kila kitu kilikua sawa, na sasa hivi mnahitaji bandari ya bagamoyo kwa nini msiendelee pale mlipoishia? Mazungumzo ya nini tena ikiwa hakukua na shida yoyote?
 
Ikiwa kila kitu kilikua sawa, na sasa hivi mnahitaji bandari ya bagamoyo kwa nini msiendelee pale mlipoishia? Mazungumzo ya nini tena ikiwa hakukua na shida yoyote?
Hivi una habari hadi JK anaondoka madarakani ambacho kilikuwa kimesainiwa ni Initial Framework Agreement na MoU?!

Na hivi una habari kwamba Framework Agreement na MoU sio MKATABA?!

Na hivi una habari, kutokana na framework iliyowekwa, negotiation ilikuwa ifanyike na rais ambae angemfuatia JK?!

Na hivi una habari ni baada ya hayo majadiliano ndipo ungesainiwa mkataba wa ujenzi?!

OH... let me guess!!!

Uliambiwa Awamu ya IV walisaini Mkataba wa Kifisadi, na alipoingia Magu akaupiga chini ule mkataba wa kinyonyaji?!

Hebu jiulize: Hivi unaamini kabisa kwamba mkataba unaweza kupigwa chini kirahisi rahisi namna hiyo?!

Yaani mmeshakubaliana, mmesaini mkataba, halafu bado mnaendelea na mazungumzo?!

Hivi ikiwa issue ya makinikia ya Acaccia tu, nchi iliwaka moto... kila hatua tunaoneshwa ma-Live TV Coverage; kungekuwa na mkataba uliovunjwa mngekosa kuona hizo mbwembwe?!
 
Bagamoyo ikijengwa bandari ya dar ndo itakuwa By By iwe kwa lazima au kwa hilari
Ninaamini eneo hili la dunia litakuwa na mizigo ya kutosha kabisa kukidhi mahitaji ya bandari zote mbili, na hata zaidi. Usione haya ya leo ukadhani ndiyo yatakuwa ya kesho. Omba tu Mungu akupe uhai ushuhudie itakavyokuwa miaka 10 hadi 20 ijayo.
 
Back
Top Bottom