Ndo unavyojidanganya kwamba wanapambana, sio?!
Hivi una habari pamoja na porooooooojo zote wanazopiga mbele ya kamera lakini behind the curtain wanaendelea na mazungumzo?!
Yaani sawa sawa na wanavyopiga porojo mbele ya kamera kuhusu gesi ili waonekane ni wapambania maslahi kumbe behind the curtain wanaendelea na maandalizi!
Ambacho kilitokea ni kitu kimoja:
Gesi na Bandari vilikuwa priority kwa JK but not to JPM!
Lakini kutokuwa priority sio kwamba eti walikuwa hawaendelei na mazungumzo!
That's one but two, kama unadhani wanashindwa kujenga hizo sehemu zingine kwa sababu wanabembeleza Bagamoyo, look here:-
Je, baada ya hapo Mchina ametulia kuisubiria your "Blessed Tanzanian Land" kama unavyojidanganya?! Jibu wanalo The Diplomat kwamba:-
Na hiyo bandari Mmarekani na Mfaransa waliipinga kweli kweli huku wakitumia Western Media kusambaza propaganda zao! Hapa ndipo walipoanza kusambaza propaganda kwa njia ya kutisha kwamba Mchina anataka kutumia bandari za Afrika kwa masuala ya kijeshi!
Wakaanza kuwaasa Wazalendo wa Kiafrika aina yenu kwamba wawe makini na mpango huo wa Wachina kwa sababu itakuwa ni hatari sana kiusalama kwenye nchi zao!!
Mkameza hizo propaganda na kuzihamishia Bagamoyo!
And YES. Mchina akaweka military base pale Djibout!!
But the question is: Ni kweli concern ya US na France ni usalama wetu or something else? Jibu wanalo The New York Times:-
View attachment 2016872
Yaani Mchina alivyo fala, akaenda kujenga military base pua na mdomo na ilipo US Military Base!! Na kwavile US wanajiona ni yeye na Wazungu wenzao wa West ndio wenye haki ya kujenga military bases thousands of miles from their own lands, basi wakiona mwingine anataka kufanya kama anavyofanya yeye kwa miongo kadhaa sasa... nongwa ndo inaanza!
Again, endelea kujidanganya kwamba you're BLESSED LAND na watu hawana alternatives!! Media ya Kibeberu, tena ya Serikali, yaani Deutsche Welle, wanakujuza Mr. Blessed Land, who'll always people beg to you kwamba:-
View attachment 2016892
So, you're NOT that special! U-special wako ni kwavile tu upo kwenye strategic position!!!
Ikiwa China ameamua kujenga reli kutoka China hadi Pakistan ili kupunguza utegemezi wa Mfereji wa Malaca ambao USA wana ushawishi wao pale (Singapore), hivi unaamini kabisa atashindwa kuiunganisha Bandari ya Djibouti kwa reli kutoka Ethiopia (ambayo Mchina kajenga) hadi Kenya kisha kuja kutokeza Central Corridor na hatimae mizigo ya East and Central Africa ikawa inashushwa Djibouti Port na kusafirishwa kwa the said possible railway route?
the University of Berkeley kwamba:-
Endeleeni kupiga porojo huku ukijikita kwenye kutaja watu kila wakati... mara Zitto, mara January! Like you've more of personal stuff kuliko issues zenyewe!
Hivi ni mara ngapi umemtaja Zitto na Makamba kila tunapokutana kwenye hii mijadala?
Man, jadili mada badala ya watu, especially kama watu wenyewe hawapo kwenye nafasi ya kufanya maamuzi!! Bandari au Gas Projects vikijengwa, au Bwawa la Nyerere likipigwa chini, KATU "adui" yako hatakuwa Zitto wala January Makamba kwa sababu wote hao hawana uwezo wa kufanya jambo ambalo Rais wa nchi HATAKI!!!
Binafsi huwa namtaja sana JPM kwa sababu yeye ndo alikuwa Alpha na Omega!! He was at the center of everything... alichotaka kilifanyika, na ambacho hakutaka hakikufanyika!!
Na huyo ndo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... AMEPEWA MAGUVU YOTE!!!