Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Kwangu mimi sishangai rais kumiliki siraha ..ata pope anamiliki siraha wakati anamtegemea Mungu kama siraha yake
 
bd7b3008feca96a774d4097bf6da5697.jpg

huyu naye kumbe anatembea na bastola kiunoni kama Rage na Ditopile?
 
Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
 
I wish siku moja hiyo bastola imlipukie, Kesho nikienda kazini, namimi nitabeba yangu
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
How aisee??me naona sawa tu maana ana vita kubwa sanaaaa na mabepari wengi hawamtaki hâta kumuona maana kaharibu deal nyingi sana na anaendelea kuharibu,so self defense sio mbaya kwake kama ikitokea baadhi ya mlinzi kazingua anaitumia tu,kumbuka Sokoine Ilikuwaje...
 
Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Kennedy alikufa kwa ajili ya kujiamini sanaaaaa na walinzi wake na CIA wanaomlinda lakini mwisho wa siku aliuliwa na hao hao kwa manufaa ya mabepari walikuwa katika serikali ambao walikuwa wanaona Kennedy anazingua na mifumo yake,so kwa Magu me naona poa tu,self defense ni muhimu kwake
 
Hakutakiwa kuhakiki,alitakiwa kurudisha.Na alitakiwa kurudisha kabla hata ya kuingia Ikulu.Hivi akipata hasira yupo chumbani akammaliza mtu humo ndani inakuwaje??

Hujaniconvince bado,inakuwaje RAIS amiliki silaha.
Kweni kabla hajawa rais kwa nini hakupata hyo hasira aje aipate ghafla sasa hv?yani waTZ bwana dah!
 
Wakuu,
kutembea na silaha na kumiliki silaha mnavichanganya. JPM amewakilisha silaha anazomiliki zihakikiwe na ndiyo agizo la RC kwa wakazi wa Salidarama

Kwa hiyo ina maana marais waote walikuwa wanamiliki silaha.Tatizo sijawahi kuwaona wakijionyesha publically,labda ndiyo ujinga wangu unapofikiria
 
Rais yuko juu ya sheria, sasa yee kaenda kutii sheria ipi?
Hata hivyo sidhani kama kulikuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo.
Hasa kitendo cha kuonesha silaha hadharani na mapicha juu juu

Naomba nikusahihishe,RAIS hayuko juu ya sheria,ndiyo sababu kaapa kuilinda japo wanaivunja makusudi kwa matakwa yao ya kichama
 
Kwa hiyo atakayealiza ndo muhimu sana zaidi yake? Ue ndo rais! Kama atamaliza mtu huko ila ye atabaki poa tu!

Jokes aside: Nina uhakika kabla ya kupewa silaha lazima wajiridhishe kuwa una akili timamu.

Uzuri sikuwa na chekesha watu ninamaana yangu ya kuuliza.Tatizo unadhani Magufuli kwa URAIS walionao ubindamu wake unatoweka.Pole kwa mawazo hayo
 
Manaake na walinzi wake wakahakiki silaha pia, this is silly,serikali kuu inacheza michezo ya sanaa,mkuu wa mkoa kwa rais? Mkutugenzi wa tiss akahakiki, cos lazima anayo, igp, general,judge mkuu, manake wote wakazi wa dar.

Siku akija kustuka miaka mitano tayari,cha maana ni sinema za akina Raymond za kunywa maji mengi ya carolite
 
Wewe tu ndio unapata shida kuelewa, lakini mimi na walinzi wake walaaa! Yaani utasema umeanza kumjua magufuli baada ya kuwa rais.

Simjui Magufuli,ninamfahamu tu kwamba ndiyo Rais ,na kabla ya hapo nilikuwa namfahamu tu kama Waziri wa Barabara,mengine ni Maisha yake sina tabia ya kuyafuatilia maisha ya wanasiasa wala ya binadamu mwingine.

Hongera kwa kumjua😕😕😕
 
acha ushamba kijana kwan halo cha ajab no kipi?

Kuuliza si ujinga.Na kila aulizaye ataka kujua.Sasa Mshamba ni wewe maana huna unachokijua.Wanaojua wanamuelimisha mkosoaji au muulizaji.Siku njema
 
Kennedy alikufa kwa ajili ya kujiamini sanaaaaa na walinzi wake na CIA wanaomlinda lakini mwisho wa siku aliuliwa na hao hao kwa manufaa ya mabepari walikuwa katika serikali ambao walikuwa wanaona Kennedy anazingua na mifumo yake,so kwa Magu me naona poa tu,self defense ni muhimu kwake

Unauhakika yuko fast kuliko wanaomlinda.Hiyo tu.
 
Back
Top Bottom