Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu wa k.ke kwani wewe unapungukiwa na nini?Anaapenda sana kutumia media kwa kila kitu, why media?
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Hivi si vitu vya kuvifanya rais, tegemea mawaziri wake wote, wakurugenzi, na wengineo, waite media wafanye kama yeye, then what?, absurd, angalau ningetegemea aseme wakuu wa mikoa wote watoe maagizo kama makonda walau ningemuelewa,ila hiki anachofanya?, ni cha kustaajabisha fikra.Kabisa mkuu, watu wanashabikia tu ila hii tabia inashusha mno hadhi ya urais!!!
jamaa amekariri et ni hapo kiunoni yaye anujua akimvamia kesho ataikuta hapohapo alikochomekea leoKwani ni wapi anapoihifadhi hiyo silaha?
Mkuu,I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Mkuu,Mkuu fikiria kidogo, silaha zinakaa nyumbani tu hapo amezileta kwaajiri ya uhakiki tu
People Dont even trust their own shadows...sembuse walinzi..Nadhani silaha alikuwa nazo tangu kabla hajawa rais. Suala ni kuwa kuna umuhimu wa kuendelea kutembea nazo hadi kipindi hiki ambapo kazungukwa Na walinzi kila kona??
Ulishawahi kuwa hata kiranja shuleni??? Kaonesha mfano jombaa ninyi vipi?Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?
Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?
Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
Mimi ni mpinzani wa Magufuli ila hili la kupiga picha sioni tatizo lake ,nadhani amefanya hivyo ili kesho au keshokutwa atakapo hitajika waziri fulani ama Jakaya ama Kova alete silaha zake isiwe tatizo
Ndugu yangu acha tu nadhani tutaelekezana tu hivi hivi tutafika ,Kesho au keshokutwa Magufuli akitumia Public washroom nayo itakua habari kwanini kafanya hivyoKaka,
Sisi watanzania ni wagumu sana kuelewa, na tumejaa ujuaji.
What Magufuli did is merely a political metaphor; he's just trying to show an example.
Elimu Elimu Elimu! Ina maana hujui kwa nini leo ndo kaionesha na kwa nini??Kua nayo ni kitu cha kawaida sawa coz anaweza akawa anamiliki toka enzi izo sawa ila toka uone marais wa nchi za ki democracy ni rais yupi ameonyesha hata magazine tu au risasi kwa mkono wake toka kwenye mwil wake najua tanzania sio nchi ya demo cracy tena kisa maana yake people power ambayo ni slogan ya chadema mbona hao wengine awajafanya kama ye napata shaka ata kisa cha ye kuvaa gwanda dalili nyingine hii
Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Hao marais unaowaonyesha silaha kwao zinanunuliwa kama unavyonunua hindi la 100,unaulizwa tu una akili timamu, umetimiza miaka 18?,then unapewa silaha hapo hapo, tz sasa, silaha unanua kibali kupewa na serikali eheheh vituko, sasa rais sijui anataka kutueleza kitu gani wallah, obama peke yake amethubutu kubadilisha sheria za matumizj ya silaha marekani, na amepata upinzani mkubwa sana kwa makampuni yanayouza silaha, rais wa marekani, china, russia, popote pale dunia zilizoendelea akishika silaha hivyo na media,anatangazia hiyo silaha ubora wake, sasa magu anashika short gun na glock 26 alafu watu wako hawatengenezi hata silaha,absurdView attachment 331626
View attachment 331624 View attachment 331625 View attachment 331626 View attachment 331627 Hawa ni Maraisi wa Marekani.
The Richest Empire on the Planet.
View attachment 331624 View attachment 331625
CC: UncleBen