Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Usalama wa rais uko wapi kama rais anaionesha dunia silaha anayotumia na mahala anapohifadhi silaha hiyo.
Hivi washauri wa kiusalama wa huyu mtu wamelala usingizi au ndo jamaa hashauriki?
 
Magufuli ni dikteta na kila siku zinavyozidi ndivyo anavyozidi kujidhihirisha.

Hapo ujumbe ni kwamba "ukijifanya mjanja cha moto utakiona".


Idi+Amin+%26+Janani+Luwum.jpg
 
Mkuu wa Mkoa ameomba wenye silaha wote mkoa wa Dar wazihakiki silaha zao. Raisi Magufuli ni mwenyeji wa Dar ni haki yake kufanya hivyo..


Lakini pia Kuna kanuni nyingi za kuzingatia ili mwananchi au asiye mwananchi kumiliki silaha. Raisi kama mwananchi yeyote yule najua fika ametimiza vigezo vyote.


Lakini pia sheria inaruhusu msajili mkuu wa silaha kumpa Mkuu wa nchi silaha ya dharura akiwa ndani ya mipaka ya Tanzania kama huyo mkuu wa nchi atakuwa hana hati ya kumiliki silaha.


Naomba utafute makala ya jinsi Raisi wa DRC Congo Mzee Kabila alivyouwawa na body guard wake halafu relate na kasi ya Raisi Magufuli serikalini na ndani ya CCM.


Kwa jinsi Raisi Magufuli anavyoyatumbua majipu ni haki na salama kwake kuwa na silaha binafsi.


Nimeona pia kwenye ITV alivyokuwa mwangalifu na silaha yake kuhakikisha kwenye chember hapakuwa na risasi. Raisi Magufuli anaonekana sio mgeni kwenye matumizi ya silaha.


BIG UP MAGUFULI. NI HAKI HAKO KIKATIBA NA KISHERIA.
 
Watanzania tuache ushamba.. Marais wote duniani hiyo kitu lazima awe nacho
Kua nayo ni kitu cha kawaida sawa coz anaweza akawa anamiliki toka enzi izo sawa ila toka uone marais wa nchi za ki democracy ni rais yupi ameonyesha hata magazine tu au risasi kwa mkono wake toka kwenye mwil wake najua tanzania sio nchi ya demo cracy tena kisa maana yake people power ambayo ni slogan ya chadema mbona hao wengine awajafanya kama ye napata shaka ata kisa cha ye kuvaa gwanda dalili nyingine hii
 
Kuwa na bastola yuko sawa,kutumia media ni kuwapa wananchi taarifa ya nini kinaendelea,one of the role of media is to inform audience what is happening in world,
So be free man
 
Usalama wa rais uko wapi kama rais anaionesha dunia silaha anayotumia na mahala anapohifadhi silaha hiyo.
Hivi washauri wa kiusalama wa huyu mtu wamelala usingizi au ndo jamaa hashauriki?

Kwani ni wapi anapoihifadhi hiyo silaha?
 
Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Wacwac ndo akili
 
Wadau naomba kujuzwa kitendo cha Rais wetu kumiliki bunduki na ilihali anawalinzi kibao.
 
Kwani kaanza lini kumiliki hizo silaha?

Kama alikuwa nazo tokea zamani je?

Ndo aache kuzimiliki sasa hivi akiwa rais?

Halafu kwani huwa anazibeba kila aendako?
 
Kama mnavyomwona Mzee Magu akiwa na vyombo vyake..usimchezee eti.
 

Attachments

  • 1458583277141.jpg
    1458583277141.jpg
    8.5 KB · Views: 30
  • 1458583312222.jpg
    1458583312222.jpg
    7.7 KB · Views: 22
  • 1458583328275.jpg
    1458583328275.jpg
    9.2 KB · Views: 23
utaratibu wa kuhakiki silaha upoje? unaenda kituo chochote cha polisi kwa uhakiki au?
 
Mkuu wa Mkoa ameomba wenye silaha wote mkoa wa Dar wazihakiki silaha zao. Raisi Magufuli ni mwenyeji wa Dar ni haki yake kufanya hivyo..


Lakini pia Kuna kanuni nyingi za kuzingatia ili mwananchi au asiye mwananchi kumiliki silaha. Raisi kama mwananchi yeyote yule najua fika ametimiza vigezo vyote.


Lakini pia sheria inaruhusu msajili mkuu wa silaha kumpa Mkuu wa nchi silaha ya dharura akiwa ndani ya mipaka ya Tanzania kama huyo mkuu wa nchi atakuwa hana hati ya kumiliki silaha.


Naomba utafute makala ya jinsi Raisi wa DRC Congo Mzee Kabila alivyouwawa na body guard wake halafu relate na kasi ya Raisi Magufuli serikalini na ndani ya CCM.


Kwa jinsi Raisi Magufuli anavyoyatumbua majipu ni haki na salama kwake kuwa na silaha binafsi.


Nimeona pia kwenye ITV alivyokuwa mwangalifu na silaha yake kuhakikisha kwenye chember hapakuwa na risasi. Raisi Magufuli anaonekana sio mgeni kwenye matumizi ya silaha.


BIG UP MAGUFULI. NI HAKI HAKO KIKATIBA NA KISHERIA.
Unachosema ni kweli katika wakati huu wa kutumbua majipu ni muhimu kuweka tahadhari, mzee karume aliuliwa na mlinzi wake tena aliyekuwa akimwamini, mzee kabila aliuliwa na mlinzi wake tena aliyekuwa anamwamini, kuchukua tahadhari ni jambo la msingi sana.
 
Alichofanya ni kutoa mfano tu jinsi gani zoezi la kuhakiki silaha lilivo muhimu ili kukabiliana na ujambazi,wanaomkosoa nazani hayajawahi kuwakuta,this is not a big brother society ni nchi inayofuata sheria sasa wewe kaa na silaha yako ya kimagumashi uone kitakacho kukuta kama ikiwa mkuu wa nchi kapeleka yake sijui mwenzangu namiye
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Mheshimiwa Rais Magufuli anawatumbuwa Majipu lazima atakuwa na Maaduwi wengi ambao hawamtakii mema ndio maana lazima awe nayo silaha ya kujilinda.
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Umejuaje huwa anatembea nayo. Labda huicha home kwa ajili ya kujilinda ndani kwake na Labda anayo hata kabla hajawa rais
 
Back
Top Bottom