Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni usalam wake kama Rais tafuta mfalme ambaye hakutembea n panga na mshale ukonect dot na rais wetu na wengine wote duianRais John Magufuli amekwenda kuhakiki silaha zake kwa Jeshi LA Polisi. Akiwa mbele ya Kamanda Simon Siro alichomoa bastola yake kiunoni na kuweka mezani.
Hiki ni kituko cha mwaka, Rais ambaye ni raia namba moja mwenye ulinzi mkali kuliko wananchi wote bado anatembea na bastola kiunoni!?
Je, hawaamini walinzi wake? Sasa sisi wananchi wa chini huku tunahakikishiwaje usalama wetu ikiwa rais wetu hana uhakika?
Inawezekana alitaka kutoa mfano kwa watu wengine, lakini hii imemharibia.
Issue hiyo angewapa wasaidizi wake tu wakamsaidia kuhakiki.
Ndio tabia za vijana siku hizi wakinunua bastola wanaringishiana wakiwa bar. Ni ushamba tu.
Inadhihirisha pia tabia ya watawala was CCM kuamini katika mabavu tu. Hata kule bungeni wapinzani wakitoa hoja na kutaka majibu ya serikali, Spika anaita Polisi ndani kuwapiga. Kwenye uchaguzi wanategemea nguvu zabkijeshi tu, sio mapenzi ya wananchi.
Mwisho sasa nchi inageuka kuwa ya kibabe tu.
Ile nchi tuliyokuwa tukiita kisiwa cha amani haipo tena, watu waliishi kwa kuaminiana na kupendana. Sasa ni mwendo was bastola tu.
Ni kinyume cha sheria kumkambidhi mtu mwingine silaha isiyo muhusu!Rais John Magufuli amekwenda kuhakiki silaha zake kwa Jeshi LA Polisi. Akiwa mbele ya Kamanda Simon Siro alichomoa bastola yake kiunoni na kuweka mezani.
Issue hiyo angewapa wasaidizi wake tu wakamsaidia
.
Kwani inakatwaza?Rais John Magufuli amekwenda kuhakiki silaha zake kwa Jeshi LA Polisi. Akiwa mbele ya Kamanda Simon Siro alichomoa bastola yake kiunoni na kuweka mezani.
Hiki ni kituko cha mwaka, Rais ambaye ni raia namba moja mwenye ulinzi mkali kuliko wananchi wote bado anatembea na bastola kiunoni!?
Je, hawaamini walinzi wake? Sasa sisi wananchi wa chini huku tunahakikishiwaje usalama wetu ikiwa rais wetu hana uhakika?
Inawezekana alitaka kutoa mfano kwa watu wengine, lakini hii imemharibia.
Issue hiyo angewapa wasaidizi wake tu wakamsaidia kuhakiki.
Ndio tabia za vijana siku hizi wakinunua bastola wanaringishiana wakiwa bar. Ni ushamba tu.
Inadhihirisha pia tabia ya watawala was CCM kuamini katika mabavu tu. Hata kule bungeni wapinzani wakitoa hoja na kutaka majibu ya serikali, Spika anaita Polisi ndani kuwapiga. Kwenye uchaguzi wanategemea nguvu zabkijeshi tu, sio mapenzi ya wananchi.
Mwisho sasa nchi inageuka kuwa ya kibabe tu.
Ile nchi tuliyokuwa tukiita kisiwa cha amani haipo tena, watu waliishi kwa kuaminiana na kupendana. Sasa ni mwendo was bastola tu.
Magufuli ni dikteta na kila siku zinavyozidi ndivyo anavyozidi kujidhihirisha.
Hapo ujumbe ni kwamba "ukijifanya mjanja cha moto utakiona".
Na bado anataka aombeweRais John Magufuli amekwenda kuhakiki silaha zake kwa Jeshi LA Polisi. Akiwa mbele ya Kamanda Simon Siro alichomoa bastola yake kiunoni na kuweka mezani.
Hiki ni kituko cha mwaka, Rais ambaye ni raia namba moja mwenye ulinzi mkali kuliko wananchi wote bado anatembea na bastola kiunoni!?
Je, hawaamini walinzi wake? Sasa sisi wananchi wa chini huku tunahakikishiwaje usalama wetu ikiwa rais wetu hana uhakika?
Inawezekana alitaka kutoa mfano kwa watu wengine, lakini hii imemharibia.
Issue hiyo angewapa wasaidizi wake tu wakamsaidia kuhakiki.
Ndio tabia za vijana siku hizi wakinunua bastola wanaringishiana wakiwa bar. Ni ushamba tu.
Inadhihirisha pia tabia ya watawala was CCM kuamini katika mabavu tu. Hata kule bungeni wapinzani wakitoa hoja na kutaka majibu ya serikali, Spika anaita Polisi ndani kuwapiga. Kwenye uchaguzi wanategemea nguvu zabkijeshi tu, sio mapenzi ya wananchi.
Mwisho sasa nchi inageuka kuwa ya kibabe tu.
Ile nchi tuliyokuwa tukiita kisiwa cha amani haipo tena, watu waliishi kwa kuaminiana na kupendana. Sasa ni mwendo was bastola tu.
Tueleze vichwa ngumuHivi hiyo silaha iliyo kaguliwa ni ya nani ?? Nani mwingine alipaswa kubeba silaha yenye usajili wa mtu mwingine ??
Kutembea na silaha na kumiliki silaha ni jambo moja ??
Bastola inatakiwa ikae wapi kama tatizo ni yeye kuichomeka kiunoni ??
Hilo zoezi la uhakiki likiisha mnajuaje kwamba ataendelea kukaa na silaha kiunoni ? Au atarudisha panapotakiwa iwepo ??
Ze komediRais Magufuli leo atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa la kuwasilisha silaha jeshi la Polisi kwa ajili ya ukaguzi.
Amewataka wananchi wote wanaomiliki silaha katika jiji la Dar kujitokeza kuhakiki silaha zao kama alivyoagiza mkuu wa mkoa.
View attachment 331523 View attachment 331522
View attachment 331524 View attachment 331525 View attachment 331526
Nafikiri wewe ni mzito kuelewa, nani kakwambia kuwa Rais anatembea na silaha?Na mimi nimejiuliza iweje atembee na silaha wakati analindwa na walinzi kibao?
Sasa nikueleze nini ?Tueleze vichwa ngumu
Hapo ndiyo sijui kwa nini kaamua kufanya hivyoRais yuko juu ya sheria, sasa yee kaenda kutii sheria ipi?
Hata hivyo sidhani kama kulikuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo.
Hasa kitendo cha kuonesha silaha hadharani na mapicha juu juu