MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Sasa mimi sielewi nini?Tatzo lako huelewi...limetilewa tangazo kwamba silaha zote lazma zihakikiwe UPYA ndani ya siku 90 sasa raisi amefanya loss gani kuhakiki silaha zake
Inawezekana unachokiandika kina maana ile ile ya kile nilichokiandika.
Ingekuwa vizuri kama ungesoma kwanza mtiririko wa mawazo yangu kimantiki katika comment zangu!