Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.

Tatizo la wabongo ni ujuaji unaopitiliza. Hata tofauti ya kumiliki na kutembea na silaha hujui.
 
Japokuwa huwa sikubaliani na mambo mengi ya Jpm ila sioni shida kwa kutokea katika picha na huo mkwaju. Raisi ni kiongozi wetu ambaye anatuonyesha mfano wa kutii mamlaka za serikali na bastola inakaa kiunoni na sio mfukoni au kwenye mkoba!!!
Na mwisho kuipeleka silaha yake kukaguliwa haina maana kwamba anatembea nayo kila siku au hana imani na wanaomlinda,inawezekana alishaimiliki kabla hata hajakuwa presidaa.

NB, pelekeni mikwaju yenu kwa ukaguzi ndugu.
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Halafu waandishi wa habari wa nini sasa huyu bwana anaanza kuniboa kwa kupenda publicity waii!
 
Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Kwa hiyo ukiwa na walinz ndio haupaswi kumiliki silaha?
 
Walinzi wa jamaa lazima watakuwa na tumbo joto ukute hawakujua Raisi anatembea na yake ili kitachhotokea atumie
Ngoja nikumegee kidogo,hakuna rais asiyekuwa na silaha.
Tena yake huwa kali kuliko hata za walinzi wake.
Naomba niishie hapo,sitaki maswali.
 
Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?

Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?

Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.

ONDOA UPUMBAVU HAPO WEWE MBONA UNAVUKA MIPAKA SASA HAAAA UMEKUSUDIA???????????????????!!!!!!!
 
jua huyo ni Rais wa nchi sasa inakuaje unatoa mapovu ya njano hovyo hovyo tuuu pumbavu sana
 
ceefoqcw0aahhva-jpg.331525

Handling ya silaha kwa namna hii ni DANGEROUS/HATARI!!!!
Angalia mtutu wa pisto ulivyoelekezwa kwako, hapa naandika tu nakwepa kiania risasi ikitoka kwa bahati mbaya!!!!
 
Hata Kama Ni Kutii Sheria Bila Shuruti! Lkn Kwa Mtu Kama Yeye Kwa Nafasi Yake Hakutakiwa Kujionyesha Hadharani Kuwa, Eti Anatembea Na Bastola Kiunoni, Kweli Ana Haki Ya Kumiliki Sliaha Hiyo, Lkn Hilo La Kujitangaza Hadharani Sio Sahihi Bhana!! Mbona Viongozi, Wafanyabiashara Na Raia Wengine Wengi Wanamiliki Silaha, Lkn Hawajitangazi Hadharani!!?? Alafu Hilo Zoezi La KUHAKIKI Silaha, Sio KUUTANGAZIA Umma Kuwa Unamiliki Silaha!!!! Kwanza Watu Wenyewe Wamefuata Nyumbani, Kulikuwa Na Haja Gani KUUTANGAZIA Umma!!!!?? Sio Kila Kitu Cha RAIS Kiwekwe Hadharani!!!
 
Naona wardrobe manager anaelekea kufaulu, president amependeza hakupendeza????????
 
Niliwahi kusema, kama unataka uwe mpinzani kwenye serikali ya Rais Magufuli lazima kwanza uvae ujinga ili uwe kama kituko kifikra au uwe mpumbavu.

Kuna baadhi ya watu hawafahamu kuwa vyombo vya habari vimekuwa embedded Ikulu na kwa maana hiyo kila anachokifanya Rais kwenye public kinakuwa kwenye media. Hii ni age ya Information technology na wananchi wanapaswa kuhabarishwa anachokifanya Rais kama citizen number one and public figure.

Kuna wengine hawafahamu kuwa ni marufuku kisheria kubeba silaha ya mtu mwingine au kumpa mtu mwingine akubebee silaha yako.

Baadhi ya watu wamekosa madhaifu ya Rais Magufuli na wanachokifanya kwa sasa ni kupiga kelele za kijinga to stay irrelevant!
 
Magufuli hii imezidi... Unatumia nguvu sana kubaki kwenye media....

Vipi majipu yameisha? Too much aisee.
Hili ndilo kosa litakalompa taabu ktk utendaji. Kila wakati, kila kitendo, kila sifa unataka iwe yako! Sasa tutamuona ni mtu regular na hata akitoa amri itakuwa ni mazoea tu. Hili yabidi ashauliwe. Hatuhitaji kujua kama amehamia ikulu na bunduki mbili.

Lowas alipopanda daladala ikaonekana anatafuta sifa za bure, sasa huyu na ikulu ina taabu sana!
 
Huyu jamaa ana mapenzi binafsi na mkuu wa mkoa.amerijeshi mkuu anakaguliwa silaa wapi na wapi?in short najua ni mkwara tu
 
Back
Top Bottom