Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Sasa si kaenda nyumbani kuchukua silaha yake ,ulitaka nani ambebee ?? ADC au ?? Mimi nasuburi kuona Malima akijitokeza na SMG yake kwa ajili ya uhakiki
Hahahaah hivi Malima kapotelea wapi aisee??
 
Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?

Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?

Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
Vitu vingine muwe mnawaza nje ya box, hiyo ni silaha anayoimiliki kihalali, ni yake, kwa hiyo shida ni kupiga picha na misifa anayoitaka?

Isiwe shida, acha yapite maana hata jeb bush alitupia chuma chake instagram dunia nzima ikasimama lakini kuna wenye mtazamo positive ambao walitoa tafsiri ya vile jeb alivyo,tabia zake na wakaona ni poa tu.
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?

Anaapenda sana kutumia media kwa kila kitu, why media?

Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?


Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?


Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.

UPINZANI NI ROHO, UKIWA NA ROHO YA UPINZANI KILA KITU UTAKITIZAMA KWA JINSI HIYO.
 
mkuu naona kama anakasilaha kadogo nadhani hako kakanunua mwenyewe,.. ,.. na ujue silaha ni mali ya mtu binafsi kama gari ..

Miss Chagga huyu anaenda kulindwa maisha yake yote yaliyobaki hakupaswa kuwa na silaha,vinginevyo aikabidhishe polisi mwanae akifika miaka kumi na nane airithi
 
Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?

Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?

Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
Mimi ni mpinzani wa Magufuli ila hili la kupiga picha sioni tatizo lake ,nadhani amefanya hivyo ili kesho au keshokutwa atakapo hitajika waziri fulani ama Jakaya ama Kova alete silaha zake isiwe tatizo
 
Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?

Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?

Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.

Amesembaza yeye au waandishi wa habari! Inamaana magu afanye kazi ya kukimbia waandishi?

Yeye kama kiongozi wa nchi lazima awe kwenye media kwa jambo lolote lile.. Waandishi wapo wanasubiri tu!
 
Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?

Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?

Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
luwasa-jpg.331157

MAPOVU IACHIE FOMA GOLD!
 
Mimi namiliki pinde mbili na mishale ya sumu, nina mikuki miwili na panga moja. Je nizisalimishe kituo gani? Je mkubwa anaweza kuja kwangu tabata kunifanyia uhakiki wa silaha zangu? Lakini ajue mishale ya sumu ni zaidi ya risasi!
 
Anaapenda sana kutumia media kwa kila kitu, why media?
Why not media?! Rais sio raia wa kawaida kama wewe tom & jerry; he is a public good; kila anachokifanya public ina interest ya kujua na yeye kupeleka ujumbe mahsusi kwa wananchi kupitia tukio husika kama hili la silaha. Rais wa marekani husafiri with a plane load of media crew kwa sababu hiyo hiyo; for the consumption of US citizens and the world at large and likewise kila media house kubwa hapa duniani ina white house correspondent wa kudumu pale Washington na muda huu tunapolumbana wote wako Cuba with Obama!
 
Ni mwendo wa maigizo ya bongo movies hata mimi nawasubiri waje ofisini kwangu kuhakiki wenyewe
 
Watu wengine bana hawajui hata protocol... Raisi kama amir jeshi mkuu lazima awe na hizo za ikibidi ya kila aina ...

Kuhusu kutumia true anaweza kwenda mbugani kulenga shabaha...
Nk ...
 
Amefanya vizuri japo hiyo kazi ingeweza kufanywa na msaidizi wake wa karibu;
sasa kuonyesha kibindo chako si vema.
 
Back
Top Bottom