Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
nadhani gizi alinunua kabla ya kuwa raisi,, sasa katimiza wajibu tu wakwenda kuzihakiki kama agizo la mkuu wa mkoa alivyotangaza ,....
 
Nadhani silaha alikuwa nazo tangu kabla hajawa rais. Suala ni kuwa kuna umuhimu wa kuendelea kutembea nazo hadi kipindi hiki ambapo kazungukwa Na walinzi kila kona??

Uko sahihi, ndio maana nimeuliza na kueleza kuwa "he's fully protected now, the President'. Why media show off?
 
nadhani gizi alinunua kabla ya kuwa raisi,, sasa katimiza wajibu tu wakwenda kuzihakiki kama agizo la mkuu wa mkoa alivyotangaza ,....

Hakutakiwa kuhakiki,alitakiwa kurudisha.Na alitakiwa kurudisha kabla hata ya kuingia Ikulu.Hivi akipata hasira yupo chumbani akammaliza mtu humo ndani inakuwaje??

Hujaniconvince bado,inakuwaje RAIS amiliki silaha.
 
Na mimi nimejiuliza iweje atembee na silaha wakati analindwa na walinzi kibao?
Sasa si kaenda nyumbani kuchukua silaha yake ,ulitaka nani ambebee ?? ADC au ?? Mimi nasuburi kuona Malima akijitokeza na SMG yake kwa ajili ya uhakiki
 
Hakutakiwa kuhakiki,alitakiwa kurudisha.Na alitakiwa kurudisha kabla hata ya kuingia Ikulu.Hivi akipata hasira yupo chumbani akammaliza mtu humo ndani inakuwaje??

Hujaniconvince bado,inakuwaje RAIS amiliki silaha.
mkuu naona kama anakasilaha kadogo nadhani hako kakanunua mwenyewe,.. ,.. na ujue silaha ni mali ya mtu binafsi kama gari ..
 
I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?

ni sawa..lazima awe nayo....na ni hivyo kwa marais wote
 
Mkuu, hizo silaha mjomba MAGU alikuwa nazo toka akiwa waziri nadhani. Kwa hiyo alichofanya ni sawia kabisa. Akistaafu urais ataendelea kuzitumia tu.

Hata mimi najua viongozi wengi wanazo silaha, lkn He's the President who is extremely protected. Kwanini aonyeshe silaha hadharani....if was bunduki ya kuwindia na yeye ni mwindaji..that could be cool and amazing.

What is I think ni kwamba kitendo chake "kinataka kuhalalisha nguvu atakayotumia mkuu wa mkoa ktk kuhakikisha wanaomiliki silaha wanalazimisha kupeleka silaha zao for ukaguzi" by telling em kuwa "Rais ametoa silaha, and who are you kukataa agizo la Rais"
 
24DEVIL2-popup.jpg
 
Mkuu, kabla sijaandika nilifikiria sana na wala sio kidogo, hiyo silaha ametoa kiunoni kwake........begs for questions. Hata hivyo, it is self defence kit, so, we don't have to shout louder.

Be cool#Rich Paul
Mbona its okay....ni kawaida sana hili...nani amekwambia marais wengine hawana hizo kiunoni?
 
Hata mimi najua viongozi wengi wanazo silaha, lkn He's the President who is extremely protected. Kwanini aonyeshe silaha hadharani....if was bunduki ya kuwindia na yeye ni mwindaji..that could be cool and amazing.

What is I think ni kwamba kitendo chake "kinataka kuhalalisha nguvu atakayotumia mkuu wa mkoa ktk kuhakikisha wanaomiliki silaha wanalazimisha kupeleka silaha zao for ukaguzi" by telling em kuwa "Rais ametoa silaha, and who are you kukataa agizo la Rais"

haoneshi hadharani...amezipeleka zikakaguliwe
 
Back
Top Bottom