Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Erythrocyte OKW BOBAN SUNZUHuyu wamnyan'ganye silaha maana haaminiki asije akauwa watu bule akidhani majipu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erythrocyte OKW BOBAN SUNZUHuyu wamnyan'ganye silaha maana haaminiki asije akauwa watu bule akidhani majipu
Soma tena kitabu 😭😭I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Hi sio Justification, kuna shida gani Rais kuwa na SilahaSoma tena kitabu 😭😭
Hajafanya hivyoErick Kabendera kailipia picha na kapata ruhusa za mwenye copyright kuitumia kwenye cover la kitabu chake?
Unahakikishaje hilo?Hajafanya hivyo
Kwenye kitabu chake hajaonesha copyright ya photograph alizotumiaUnahakikishaje hilo?
Kutoonesha haina maana hana ruhusa.Kwenye kitabu chake hajaonesha copyright ya photograph alizotumia
Rais Magufuli leo atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa la kuwasilisha silaha jeshi la Polisi kwa ajili ya ukaguzi.
Amewataka wananchi wote wanaomiliki silaha katika jiji la Dar kujitokeza kuhakiki silaha zao kama alivyoagiza mkuu wa mkoa.
View attachment 331523 View attachment 331522
View attachment 331524 View attachment 331525 View attachment 331526
Hamna shida..shida ni kumpa mtu unpredictable, mbabe, na mwenye quick temper silaha ya moto...mkipishana tu kauli ni pah pah pah...huko tulipokua tunaenda jiwe angekuja kufyatua watu mbele ya Camera...imagine watu wanakwambia watu wa aina flani hawapaswi kuishi...the Man alijiona Mungu mtu...the good thing ni funza wanamla saivi.Hi sio Justification, kuna shida gani Rais kuwa na Silaha
Kitabu ni misleading