johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli leo ametembelea msikiti mkuu wa waislamu wote nchini uliopo kinondoni jijini Dsm.
Rais Magufuli amepokelewa na Mufti mkuu Zubery Aboubakar
Rais Magufuli ameahidi kumuandikia barua mfalme wa Morocco aje nchini kuuzindua msikiti huo kama alivyoahidi.
Chanzo: Ikulu, Dsm.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amepokelewa na Mufti mkuu Zubery Aboubakar
Rais Magufuli ameahidi kumuandikia barua mfalme wa Morocco aje nchini kuuzindua msikiti huo kama alivyoahidi.
Chanzo: Ikulu, Dsm.
Maendeleo hayana vyama!