Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Wafanyakazi wa mifuko kama NSSF wanajilipa allowance za kutosha yaani kufuja tu ela za mifuko, ila wanachama njaa Kali sana, huyu Irene na wenzie wanatakiwa washitakiwe kabisa huu ulikuwa ufisadi asee
 
Nadhani mkandarasi aliyeelimika na kujua majukumu yake hawezi kukubali amri za kijinga hata kama zimetolewa na mwenye mali! Hilo ndilo jambo la kujifunza.
 
Wewe unaumwa. Waziri anasain regulations yeye hazitengenezi. Regulations zinatengenezwa na idara wenye sheria. Mfano, Sheria ya ardhi ikitungwa, regulations zake zinatengenezwa na Kamishana wa Ardhi hivyo waziri wa ardhi huperekewa kusain tu.
Kati ya hao wawili anayesaini na aliyezitunga nani kisheria huhesabika ndiye kazitunga hizo "Regulations"
 

Mfano irrelevant. Wapinzani walipiga kelele toka mwanzo. Unapokea nyumba mbovu, tena baada ya wataalamu (bunge) wako kupitia ubora wa nyumba na kusema wameridhika na ubora, wakati huo huo kuna wataalamu wengine (wapinzani) wanasema hiyo nyumba haina ubora, kwakuwa unaongozwa na upofu wa itikadi unaamua kuwasikiliza na kukubali kwa kuweka saini kwakuwa unawakubali hao wengi wajinga. Matokeo yake siku chache aibu inakukuta kwamba hiyo nyumba(sheria) kweli ni mbovu. Hapa wakulaumiwa ni rais na wabunge wa ccm. Ni sheria nyingi mbovu hupitishwa na wabunge wengi wajinga wa ccm.
 
mfano huo ni irrelevant

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafanyakazi wa mifuko kama NSSF wanajilipa allowance za kutosha yaani kufuja tu ela za mifuko, ila wanachama njaa Kali sana, huyu Irene na wenzie wanatakiwa washitakiwe kabisa huu ulikuwa ufisadi asee
Umeambiwa atapangiwa kazi nyingine, maana yake aliyofanya AlitumwA afanye ila imeshindikana. Hayakuwa maamuzi yake
 
Kuna waziri nahisi atakua amepata tumbo la kuharisha anarefresh App zake kila baada ya dakika moja kuona kama kuna jipya.. Sleepless night, lonely night.
 
Jenista Mhagama hapa anappnajee! Nilitegemea na yeye afyekwe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…