papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 503
Waziri ananusurika vipi ? Hii ni mwendelezo wa double standard .
Uwezi kusema mchuzi una chumvi nyingi alafu nyama isiwe na chumvi wakati vyote vimepikwa kwenye chungu kimoja.
Hakukosea. Kile kikao Mh. Rais ndiyo alibeba kofia ya Uenyekiti. Ni sahihi. Hivyo pale alikuwa na kofia mbili ya Urais na Uenyekiti.Mkurugenzi hata protocol hajui. Uko viunga vya ikulu halafu rais unamuita mwenyekiti. Pmbafu kabisa Dr wa kuchonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo kanuni zilitungwa na Irene au wataalam wa wizarani?
Wataalam au niseme mwanasheria wa Wizara akishirikiana wadau huandaa kanuni. Sheria ni ya Wizara. Na mamlaka ni mdau wa kanuni na sheria. Kifupi Majukumu ya Wizara ni kuandaa sera, sheria, kanuni, miongozo, WARAKA n.k. Hapa sijui Mh. Waziri anakwepa vipi.Hizo kanuni zilitungwa na Irene au wataalam wa wizarani?
Hotuba yake yote analalamika uwekezaji wa Dege Beach... Dege Beach..... Dege Beach
Amwite nyumbani Ramadhani Dau amweke lupango aliyejenga Dege Beach kama yeye mwanamme kweli asiye na mchezo na ufisadi...
Kuna mahali nimeshauri wamtumie David Mattaka ambaye ndiye "Acturual" wa kwanza Tanzania kwa ushauri wa hayo mambo. Maamuzi mengine tutakwenda kutumia kodi kulipa mafao ya wastaafu badala ya michango yaoHizo kanuni ni copy and pest kutoka mfuko wa PPF wao walikuwa wana zitumia toka enzi ya Nyerere.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini wasiamue kuwa kuanzia sasa wale wa PPF wapandishwe kufanana na mifuko mengine? Watupe tu mafao yetu tukanunue koroshow
Mbuzi wa kafara, no way kwa serikli hii uamuzi mkubwa kama huu ukafanywa at thta levelNieleweshe kosa la Irene Kisaka ni lipi?
vyama vya wafanyakazi vya tanzania havijawahi kusimamia hata mara moja maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania, kwenye swala la kikotoo walishirikishwa mwanzo mwisho sema baada ya kusikia kelel za wafanyakazi ndio na wao wakaibuka ningewaelewa kama wangepiga kelele toka mwanzo lakini iliwachukua muda mrefu kueleza misimamo yao kwa kifupi hawana tofauti na wanasiasa hata matumizi mabovu ya mifuko ya hifadhi ya jamii katika hiyo mifuko kuna wawakilishi wa wafanyakazi kwenye bodi ya hiyo mifuko lakini jiulize kwanini bado mifuko inafuja pesa za wafanyakazi.Watu wote walishirikishwa vyama vya wafanyakazi vilishirikishwa? Unajua waliomponza mpaka zigo likamuangukia ni akina nani? Ogopa workers unions Ktk masala ya maamuzi kuhusu maslahi yao hali ya hewa inaweza ikachafuka maramoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeachaje wakati alitumwa kupima upepoSanaaaa! Nilijiuliza anawezaje kujitokezana kutetea kitu kama kile
Mkuu kama uko karibu na kwa Mangivyama vya wafanyakazi vya tanzania havijawahi kusimamia hata mara moja maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania, kwenye swala la kikotoo walishirikishwa mwanzo mwisho sema baada ya kusikia kelel za wafanyakazi ndio na wao wakaibuka ningewaelewa kama wangepiga kelele toka mwanzo lakini iliwachukua muda mrefu kueleza misimamo yao kwa kifupi hawana tofauti na wanasiasa hata matumizi mabovu ya mifuko ya hifadhi ya jamii katika hiyo mifuko kuna wawakilishi wa wafanyakazi kwenye bodi ya hiyo mifuko lakini jiulize kwanini bado mifuko inafuja pesa za wafanyakazi.
Hiyo miradi anayolalamikia rais mingi ilifanyika wakati mkurugenzi mkuu wa NSSF akiwa Ramadhani dau lakini rais amempa ubalozi, tumia kichwa chako kuchambua mambo usisubiri kuchambuliwa
Mbona taarifa zinasema atapangiwa kazi nyingineRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka.
Mapema leo Rais Magufuli alifanya kikao cha wazi na Viongozi waTUCTA, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA) kujadili masuala yahusuyo Mafao ya wafanyakazi hususani KIKOKOTOO na Rais Magufuli alifikia hitimisho kwamba Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika).
Pia soma
> Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika) - JamiiForums
Irene Charles Isaka, Director General, Social Security Regulatory Authority - JamiiForums
Baada ya kikao Rais alibaini kuwa walio kuwa wanamshauri akiwemo huyu Irene kuhusu Kikokotoo walikuwa wanampotosha sasa alipata ukweli kutoka kwa wahusika ndio maana aliamua kumtengua maana alipata ukweli halisiNieleweshe kosa la Irene Kisaka ni lipi?
Tengeneza tatizo kisha litafutie ufumbuziBaada ya kikao Rais alibaini kuwa walio kuwa wanamshauri akiwemo huyu Irene kuhusu Kikokotoo walikuwa wanampotosha sasa alipata ukweli kutoka kwa wahusika ndio maana aliamua kumtengua maana alipata ukweli halisi
Inategemeana Mkataba mumeufunga vipi, kwa mfano kama mulikubaliana baada ya kumaliza kazi Nyumba litakuwa chini ya uangalizi wake kwa muda wa miezi 6 na Ubovu wowote utakaotokea utakuwa juu ya Fundi yaani arekebishe, na Fundi atawajika ndani ya kipindi hiko tu baada ya kipindi hiko cha miezi 6 kuosha hapo Mwenye nyumba utahusika.Kama unapata shida kuona kosa lake ngoja nikupe mfano huu: Umempa mkandarasi mkataba wa kujenga nyumba. Baadae ukakabidhiwa nyumba yako na kuichukua. Baada ya siku mbili nyumba ikapasuka ufa! Je mkandarasi hatawajibika kwa sababu tu wewe ulikubali kuipokea ile nyumba?