Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Maslahi yake binafsi kwenye jambo hili ni yapi!?Kutetea unyanyasaji kwa maslahi binafsi (kikokotoo kipya cha 25%)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi yake binafsi kwenye jambo hili ni yapi!?Kutetea unyanyasaji kwa maslahi binafsi (kikokotoo kipya cha 25%)
Khaaaaa!!!!!hizi kauli sio halisia,yaani uende kinyume na agizo toka juu?hebu tupe mifano waliofanya maamuzi kama hayo.Watanzania tuwe wakweli jamani,viongozi watulaghai hadi akili😡😡😡😡😡Sasa irene alipaswa kujenga hoja na kuzuia hili hata kama angeshindwa ila at least angejaribu...hatutaki watu wa kufuata kila wanachoambiwa bila kutumia akili zao.. pale sio jeshini
Maslahi yake binafsi kwenye jambo hili ni yapi!?
Kwa nini hao waliomwagiza ndiyo wasiitwe majambazi!! Unajuaje yeye alikuwa anatekeleza tu maelekezo ya majambazi waliokuwa wamemteka?Kutetea hujuma kwa wafanyakazi ili asipoteze kazi. Katii maagizo bila kujali madhara ya maagizo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini hao waliomwagiza ndiyo wasiitwe majambazi!! Unajuaje yeye alikuwa anatekeleza tu maelekezo ya majambazi waliokuwa wamemteka?
Kazi ya SSRA siyo kutetea wafanyakazi. Hiyo ni kazi ya vyama vya wafanyakazi kama CWT.Yeye kama kiongozi anayetetea wafanyakazi ameona maagizo sio mazuri angejihudhuru mapema kwa heshima sio kusubiri kutumbuliwa kwa fedheha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya SSRA siyo kutetea wafanyakazi. Hiyo ni kazi ya vyama vya wafanyakazi kama CWT.
Sasa ina maana wastaafu wa PPF wataendelea kulipwa mkupuo wa 25%Wewe hunaelimu na mamabo haya toka enzi ya Nyerere mfuko wa PPF ulikuwa unalipa 25℅ hela ya mkupuo, ndio mfuko uliokuwa kandamizi kuzidi mifuko yote ambayo ilikuwa inalipa zaidi ya 25%
malalamiko ya wanachama wamfuko huo kuwa unalipa kiwango cha chini mno na kandamizi yaliibua wazo la mifuko yote iunganishwe ili iboreke ilipe kiwango sawa kizuri,
Upuuzi ni kuwa baada ya kuunganisha mifuko yeye kama mkurugenzi na mtaalamu alioaminiwa kwa ushauri wake kaja tena na tatizo lilelile ya 25%
Sasa kwa akili yako ulitaka Magu amfanye nini amsifie ?
Halafu upuuzi aliofanya kutoshirikisha wadau vyama vya wafanyakazi ktk maamuzi, angekuwa na akili walipo lalamika wadau angejua kakosea, angewaita kafanyanao mazungumzo hatayangechukuwa mwezi angepata muaafaka nao, wala Magu asinge mfagia, wakosa yake ndio yamempa Magu kick,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio anajichanganya uyo alikuwa anashinikizwa na wanasiasa sasa nafsi ilikuwa inafanya kitu anajua si sawa. Hapo katolewa kafara tu mmeacha kimjadili aliesaini sheria na kuipitisha tena mnampongeza kabisa
Waziri Jenister hana ubongo wa kutengeneza kanuni! Ni hao hao kina Irene wali-draft na kumpelekea kwa ajili ya kuweka sahihi!
Hilo swali la kwa nini serikali haichukui hatua kuwafikisha wote mahakamani waliofanya maamuzi mabaya(matumizi mabaya ya madaraka) hadi kufikia mifuko ikafilisika inabidi wote tujiulize ukizingatia serikali iliyopo madarakani inajinasibu kupambana na ufisadi adi kuwa na mahakama ya mafisadi.Haya maswali uliyouliza Kiongozi yote ni muhimu. Sasa tusogee ngazi moja mbele, Serikali yetu imechukua hatua kwa mshauri ambaye mpango wake (no matter how evil it may sound) ulilenga kuwasaidia watumishi kupata japo kwa udogo wake (mafao) wayapate kwa muda mrefu.
This is lesser evil ukiniuliza Mimi comparing it na other evils mentioned in your article. Swali kuwa ni kama haya yote uliyoyaainisha, ushauri mbaya wa wataalamu, juu ya ufanisi wa miradi, na uwekezaji wa zaidi ya asilimia 85 ya michango ya wachangiaji wa mifuko, ambao najua serikali inaouwezo wa kupata taarifa na kujenga kesi ambayo, basically ndio msingi wa kutatua hili tatizo.
Kwa nn serikali haifanyi hayo, yaliyo ndani ya uwezo wake... Unless yenyewe ndiomkopaji mkubwa zaidi. Na mfilisi wa mifuko?! Just thinking out loudly!!
So kipi kilikua ni Sahihi zaidi?Raisi yupo kwenye Haki.
Huwezi kutengua maamuzi ya 25% ambayo Dr. Irene kayapigania yapitishwe, alafu amuache aendeler kuwa Mkurugenzi wa SSRA. MH. RAISI ametumia hekima kubwa sana. Maana Dr. Irene asingeweza kuwa na ujasiri wa kufanya au kuendelea na kazi yake kiufanisi.
Pia hatujui yote anayoyajua Mheshimiwa Raisi. All I can say is that, JOB WELL DONE AND BRAVO MR. PRESIDENT J. P. M.