Mimi aliniacha hoi tu pale nilipomsikia akisema hajui ni kwa nini viongozi wa kisiasa hawaguswi na kikotozi eti hadi akaisome sheria inasemaje ndio anaweza kujibu hilo swali.... Mkurugenzi mzima....Huyu dada alikuwa anajichanganya sana alivyokuwa anatetea asilimia 25 as if yeye hatastaafu.
Uko sawa mkuu
yeye atarudi?Aliekua mkurugenzi wa Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa mifuko ya hifadhi ya jamii ametenguliwa cheo chake baada ya sakata la Pension.
Ushauri:Rais tusaidie wabunge wote wa CCM ambao hawakuwatetea wananchi kuhusu mafao wasirudi bungeni tena 2020. Maana kila ujinga wao ni kusupport
Ndiyo ujuwe ni usanii mtupu baada ya kuanzisha tatizo makusudi na kujifanya tena wanalitatuaMh. J.Mhagama amewekwa kipolo?
Naunga mkono hoja,Kwa cheo chake angeweza kuzuia hili lakini kwa sabab wanafanya kazi kwa uoga ndio imempelekea kufika pale...na yeye ni dhaifu maana ameshindwa kujenga hoja
Nieleweshe kosa la Irene Kisaka ni lipi?
Kweli kabisa mkuu yaani hawa maccm wanataka kutufanya wajinga yaani wanatengeneza tatizo makusudi alafu wanajifanya kuja kulitatuaNyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?
Kikokotoo hutengenezwa na Waziri mwenye dhamana, mkurugenzi wa SSRA hausiki!
Sasa irene alipaswa kujenga hoja na kuzuia hili hata kama angeshindwa ila at least angejaribu...hatutaki watu wa kufuata kila wanachoambiwa bila kutumia akili zao.. pale sio jeshiniNyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?
Kikokotoo hutengenezwa na Waziri mwenye dhamana, mkurugenzi wa SSRA hausiki!
Kama unapata shida kuona kosa lake ngoja nikupe mfano huu: Umempa mkandarasi mkataba wa kujenga nyumba. Baadae ukakabidhiwa nyumba yako na kuichukua. Baada ya siku mbili nyumba ikapasuka ufa! Je mkandarasi hatawajibika kwa sababu tu wewe ulikubali kuipokea ile nyumba?Kwenye hili kosa lake ni nini? Halafu acheni upuuzi wa kushangilia na kutetea maamuzi ya hao watu wenu!
comment yenye uelekeo huu nilijia haitakosa,Wacha kudanganya watu wenye akili zao wewe,yaani mnatengeneza tatizo makusudi alafu mnakuja kujifanya mnalitatua?kawadanganyeni maccm wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app