Mchizi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 2,886
- 7,000
Great thinkers wameisha kabisa JamiiForums. Mmeambiwa kabisa kwamba atapangiwa kazi nyingine eti watu wanapoongeza ametumbuliwa. Maana yake alifanya kazi yake ipasavyo, ila tu mambo yamehalibika hivyo watampa kazi nyingine. Maslahi yake pale pale. Sisi mazuzu tunadhani ametumbuliwa