johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Nimekuelewa bwashee!Huko ni kumwonea DED,
Barabara za Halmashauri zipo chini ya TARURA, madiwani ambao ndio wasimamizi wa mkurugenzi hawanajui hata budget ya TARURA na nadhani hata hawapaswi wajue....
Atakuwa ameongeza maeneo ya utawala,sasa kinondoni inapakana na Kisarawe.Kafanya nini tena?
Nyie watu nyie. Hawa watu wote wako kiupigaji. Haya ndiyo madhara ya kuwatumia kufanya hujuma za uchaguzi na kukandamiza upinzani. Ukishamtumia mtu kufanya maovu na yeye anakudharau na kujiamua kujitengenezea future yake.Ewe Mh Raisi wetu, tunakuomba pΓa umuangazie na huyu DED wa Temeke,, miundombinu ya barabara hasa route zinazotumiwa na public transport ni mbovu sana miaka kenda na kenda
Atapangiwa kazi nyingineBinadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.
Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.
Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.
Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.View attachment 1704042
Hiyo sawa lkn ile nafasi yake aliyo kuwa akihidumu kipindi kile cha uchaguzi na ikapelekea vurugu ametolewa tena kwa kutumbuliwa.Atapangiwa kazi nyingine
Malipo ni hapahapaRais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, ndugu Aron Titus Kagurumjuli...
Mungu ni mkubwa sanaWasipoangalia huyu mwamba atapotea Kwa changamoto ya upumuaj wakae nae karbu
Nipeni Maaayaaalaaa!Sijui huyu Mwamba atakumbukwa safari hii? π€
Pascal Mayalla
Maana haikuwa kazi nyepesi kumpigia kampeni mtu kama gwajiboy.
Mbona kama ana vina 7 na marehemu mtikilaBinadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega.
Viongozi wa cdm walihukumiwa na kuziacha familia zao zikilia kwa simanzi pamoja na wapenzi na wanachama na wapenda mageuzi.
Kisa na chanzo kilicho pelekea hayo yote ni huyo bwana hapo chini kufanya ukiritimba wa kutoa barua kwa mawakala wa uchaguzi.
Jamii ililia sana kwa yaliyo tokea na sasa Mungu wetu ambaye ndiye shahidi wa kweli na muaminifu amefanya yake.View attachment 1704042
Hahahaaaa....... Chadema bhana!Malipo ni hapahapa
Fyatua!!Mkurugenzi amegeuka toilet paper baada kuwapa ushindi
Unafananisha huo upara?
Mbinguni Inakwenda Hesabu!Malipo ni hapahapa