Karambe viatu ndiyo unacho wezaUnajisifia kumpiga teke chura?Subiri yajayo sijui utaandika nn
Naona ndiyo umeingia na Nyahunge kutokea NyamadookeSafi sana Mungu anatuma mapigo kupitia mtumishi wake Magufuli
Debe tupu ni wewe na ukoo wenu woteSiku zote chadema ni debe tupu mkuu
Hawa majamaa ni sawa na mashetani tu
KatumbuliwaKwani kafanyaje? Kaafukuzwa kazi au?
Adhabu ya Mungu ni kubwa kuliko umasikini mkuuJizi limetumbuliwa ila halitokufa njaa maana limejijenga sana!!
Hiyo haiondoi udebe tupu wenuDebe tupu ni wewe na ukoo wenu wote
Unateseka ukiwa wapi?Naona ndiyo umeingia na Nyahunge kutokea Nyamadooke
Nikweli kuwa hamuwezi kusafishika milele maana ni mashetani wakubwaHiyo haiondoi udebe tupu wenu
Unadhani kila mtu yupo koromitje kama wewe?Unateseka ukiwa wapi?
Kwahiyo katumbuliwa au hakutumbuliwa?Coco Beach ndio umemtoa sio kilio Cha chadema
[emoji4][emoji4][emoji4]Umeshafika kwenye mkutano wa askofu wakoNikweli kuwa hamuwezi kusafishika milele maana ni mashetani wakubwa
AminaMbaya kuliko yote, ndiye aliyesababisha kifo cha binti asiye na hatia. Damu ya binti yule iwe juu yake na uzao wake. Amelaanika mtu huyu na uzao wake.
Endelea kuramba miguu ya chakubanga upate mlo ili ujipatie mkate wako wa kila siku.[emoji4][emoji4][emoji4]Umeshafika kwenye mkutano wa askofu wako
Si ulinoambia jana huwa unazunguka na dj kufuta meaza zake konyagi zikimagika?Unadhani kila mtu yupo koromitje kama wewe?
Onesha na picha ya ukifuta meza kwa djEndelea kuramba miguu ya chakubanga upate mlo ili ujipatie mkate wako wa kila siku. View attachment 1704232
Mbona hakuna uhusiano wa chadema na kutumbuliwa kwake. Kwani chadema bado ipo?Binadamu inabidi kuamini kuwa Mungu yupo na ndiye Alpha na Omega...
Mkuu aliwasahaulisha kidogo wakaanza kufanya fyongo, sasa kalianzisha tenaTumbua tumbua imeanza tena tulikuwa tumeshasahau!