Rais Magufuli atengua uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Dkt. Ave Maria Semakafu

Kwa hiyo hakuwa na idhini?...unachekesha sana
 
Kweli mwamba hyu mama anatumiwa na MABEBERU[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thanks kwa andiko lako hili zuri
 
Mbaya sana......ndio maana kazi za uteuzi ni za kibwege sana
 
Kwa kawaida alitakuwa kabla ya kuruka hewani aombe ridhaa ya kufanya hivyo, hata kama walijadiliana na kuazimia hivyo.

Huyu mama hana hofu anakwenda hewani huku anajua historia ya bos. Wenzake yaliwakuta halafu na yeye ameendelea kufanya yaleyale.

Halafu huyu mama alipaswa kufahamu wakati wa kusema nini na nini si cha kusema. Mtu ana msiba, yeye anadai deni ambalo lingeweza kulipwa muda mfupi tu baada ya kumaliza msiba. Ustaarabu tu.

Soma mchezo kabla ya kucheza.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Atampa cheo kizuri zaidi

ana agenda ya siri na Mama Katibu

he is a con man
 
Kuna uadilifu gani kwenye serikali ya magufuli? Kujenga uwanja wa ndege chato bila kufuata taratibu tena kwa kutumia kampuni ya ndugu yako Mayanga Construction ndo uadilifu?
 
Kuna uadilifu gani kwenye serikali ya magufuli??? Kujenga uwanja wa ndege chato bila kufuata taratibu tena kwa kutumia kampuni ya ndugu yako Mayanga Construction ndo uadilifu????
Ulitakajenge ubelgiji au amerika?
 
Check na wizara husika ujue mradi unakamilika lini. Usikurupuke
Nikurupuke nini wakati hayo yamesemwa na mgombea ubunge wa huko kwa ticket ya CCM Joyce Ndalichako kuwa tangu Uhuru watu wa huko wanakunywa Maji ya tope?????

Kwani yeye alishindwa kucheki na wizara wakati yeye bado ni waziri ????
 
Nikurupuke nini wakati hayo yamesemwa na mgombea ubunge wa huko kwa ticket ya CCM Joyce Ndalichako kuwa tangu Uhuru watu wa huko wanakunywa Maji ya tope?????

Kwani yeye alishindwa kucheki na wizara wakati yeye bado ni waziri ????
Tangu uhuru rais hakua Magufuli pekee, waliotangulia wanafanya na yeye anafanya kwa kasi zaidi
Haya nikuambie tuu kwa faida yako

Serikali ihamie dodoma, hospitali zijengwe mijini na vijijini, umeme usambazwe halafu maji yakosekane??? Haiwezekani
 
Kwa hiyo waziri Ndalichako alivyoongea mbele ya magufuli tena akiwa live hakuliona hili au hakuiona hii picha????

Kwani Tangu Uhuru ni serikali ya Chama gani imekuwa ikiongoza Tanzania???
 
Mtu mwenye PhD na uzoefu wa kufundisha chuo kikuu unamwita 'kimama'? Mwalimu wa madaktari wa tiba Chuo kikuu MUHAS Muhimbili unamwita "kimama"? Hata kama ni wivu huu sasa ni uzezeta.
Kosa lake katika hiyo sera ni nini? Hakuitunga hiyo sera, yeye ameikuta na kuitekeleza kama ilivyoelekeza, na barua yake inajieleza vizuri. Kosa li wapi? Acheni wivu.
 
Yaani hii ishu walimtegea kabisa huyo mama

Yaonekana ana kihehrehere sana sana Sasa wakaamua wamuekee mtego[emoji1787][emoji1787]

Magufuli kala kichwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jitu linakwambia, "we tangaza tu hamna shida", hamna shida vp aisee, wakati nikitumbuliwa huna uwezo wa kunirudisha kazini. Tangaza mwenyewe, wewe si mkubwa kuliko mimi, mbona hutangazi.
 
Avemaria ni mwanaccm damudamu kabisa. Ni wale ambao wako tayari kuacha kupitia familia wakikimbilia mambo ya chama. Ila ni mkorofi kupindukia. Kuna watu watakuwa wamefurahia sana.
Basi ok mtashangilia na kusifu pamoja nae huko lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…