Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Siyo kweli na yeye alikuwa na mazuri yake mengi tu kumbuka alijulikana kama mzee ruksa aliwapa watu uhuru wa kufanya biashara baada ya kupokea taifa likiwa kwenye hali mbaya zaidi ya uchumi baada ya miaka michache nyuma kutoka kwenye vita na kuanza mapambano ya ulanguzi na uhujumu uchumiKwa mujibu wa sifa zilizotolewa katika kipindi hiki ni wazi kuwa Mkapa alipokea taifa toka kwa Mzee Mwinyi likiwa KOPO TUPU. Sasa sijui Mzee Mwinyi sifa zake zitakuwa zipi akifa.