Rais Magufuli atokwa na Chozi la huzuni: Mzee Mkapa alinilea kama mtoto wake, alikuwa ni shujaa wangu, alinionyesha upendo

Rais Magufuli atokwa na Chozi la huzuni: Mzee Mkapa alinilea kama mtoto wake, alikuwa ni shujaa wangu, alinionyesha upendo

Rais JPM kwa hisani ya Mzee Mkapa... So sad...!!
Nahisi na **** hana muda mrefu...!
 
Hilo lipo wazi
Apewe sifa anazostahili
Ila tusivuke mipaka
Tukajenga image that serikali iliyopita kabla yake haikufanya chochote.
Hata Magufuli aliwahi kuzikebehi serikali zilizopita ikafikia hatua mzee mkapa akasema, serikali ya sasa isijisifu sana kiasi cha kutaka kuonekana waliopita wote walikuwa useless.
Jamaa alimchana🤣🤣🤣
 
Walipanda kwa kutumia ungo mmoja...Leo kabakia mwenyewe.....lazima chozi litoke..

Mwinyi na Kikwete ni watu wa pwani hawa ; waungwana hawataki harufu damu kabisa!!

Kazi inaanzia hapo
Hivi Dr Slaa hakupata ulemavu wa mkono wakati wa Kikwete ?
 
Haya maneno alitakiwa ayaingee wakati Mkapa yuko hai. Maana mzee Mkapa angeona fahari kwamba kuna kuna fadhila ana rudishiwa.

Lakini kumsifu marehemu haileti faida zaidi ya kuongea.

Tulizowea kusikia Mh JPM akituambia watangulizi wake hawakufanya kitu. Na nchi imeliwa sana. Kumbe sio kweli? Leo ana tuambia Mzee Mkapa ndie royal model wake. Ndie mwanzilishi wa karibu vitu vyote anavyo endeleza. Tushike lipi? /RIP BABA Mkapa.

Magufuli amesha yasema hayo yote tena na mkapa akiwa hai na akiwepo fatilia na kun clip ilikuwa ina trend tena iliwekwa na msigwa instagram....fatilia kijana
 
Wakuu naomba niwaulize kitu.
Wakati nasikiliza hiki kipande machozi yamenitoka. Ni kila mmoja wetu yamemtokaaa au ni mimi tu na watu wachache. Nikimaanisha kweli kunaambae ataangalia hiki kipande asitokwe na machozi kabisa?

Je yule ambaye hayajatoka machozi kwamba yuko stronger than sisi tuliotokwa machozi??!!
Hem naombeni michango yenu ktk hili maana dah basi binadam tutakua tunatofautiana sana tena.
Teh teh[emoji28][emoji28] imebidi tu nicheke wallah
 
Hii nilisikitika sana. Na mpk leo nalaani hicho kitendo na waliokifanya lazima wasakwe wa letwe kwa justice.
Ila ktk hili la mheshimiwa the way alikua akielezea. Maraisi wastaaf walikua wako 3 kila meeting km tatu nne wamekua wote leo hii mkapa hatokuwepo nilijikuta machozi.

Ni declare interest mimi ni mwana mapadiliko. Nachukia chama kimoja kutawala milele. Lkn huwa sivutiwi sana na uongeaji wa watu km kina lipumba na hata Ndugu Lissu. The way hawa wanaongea iko km kijazba jazba flan. Hasa lipumba mfano.
Magu akitulia kuongea unapata hisia. Sio ktk hili tu hata mengine ya kitaifa. Ila bhana eeee aongee lipumba. Yaani iko kufoka zaidi. Lissu nae sio kiviiile labda kwa darasani anafaa sana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji86]

Sorry una umri gani mkuu?
 
Muuaji Anapofiwa Ulia Machozi Halisi si Bandia.. .

By Joh makin
 
Kwa mujibu wa sifa zilizotolewa katika kipindi hiki ni wazi kuwa Mkapa alipokea taifa toka kwa Mzee Mwinyi likiwa KOPO TUPU. Sasa sijui Mzee Mwinyi sifa zake zitakuwa zipi akifa.
Tanzania ndio nchii pekee wanayokutendea mema ukifa Ila ukiwepo ni vinginevyo
I hope kwa aliyofanya Magufuli hawatamsubiri afe ndio wampe hongera zake
 
Hivi bado tu jiwe ana imani kuwa atatoboa october? Kwa Shazi lile la airport lililoletwa na social media pekee SIDHANI! Hatoboi!
 
Aache unafiki na hilo chozi lake mbona kamtandika risasi 39 mtanzania mwenzake Tundu Lissu hakuona uchungu?
 
Aache unafiki na hilo chozi lake mbona kamtandika risasi 39 mtanzania mwenzake Tundu Lissu hakuona uchungu?
Hata we ukija kuwa raisi utakuja kuona jinsi ilivyokuwa ngumu kuongoza kila kashfa nzito kwenye nchi utahusishwa wewe...

Hata yeye aliwahi kunyeshwa sumu na hata akakaribia kukata tamaa ya uongozi..
 
Haya maneno alitakiwa ayaingee wakati Mkapa yuko hai. Maana mzee Mkapa angeona fahari kwamba kuna kuna fadhila ana rudishiwa.

Lakini kumsifu marehemu haileti faida zaidi ya kuongea.

Tulizowea kusikia Mh JPM akituambia watangulizi wake hawakufanya kitu. Na nchi imeliwa sana. Kumbe sio kweli? Leo ana tuambia Mzee Mkapa ndie royal model wake. Ndie mwanzilishi wa karibu vitu vyote anavyo endeleza. Tushike lipi? /RIP BABA Mkapa.
Rais Mkata alikuwa institutional leader. He created insitutions and systems. Na kwa bahati nzuri taasisi zake alizounda zote au 99% ni functional. Hivyo ukiona kiongozi mwingine anajidai ni uongo. Mkapa created institutions, sestems anad machineries.
 
Mimi naamini kuwa hawa viongozi wetu wote walitimiza wajibu wao katika muktadha tofauti, na nyakati tofauti, tuendelee kuwaenzi viongozi wetu wote! Mwinyi ataelezewa kwa mambo mengi ambayo watu tutayakubali sana, ila Mkapa amekuwa ni shork absorber wa transision ya uchumi mgumu sana, kwa anaefuatilia kwa makini maendeleo ya Nchi yetu hutawabeza marais wetu wote,
Nimalizie kwa kusema Mkapa was more special, he made Tanzania of ours
 
Rais Mkata alikuwa institutional leader. He created insitutions and systems. Na kwa bahati nzuri taasisi zake alizounda zote au 99% ni functional. Hivyo ukiona kiongozi mwingine anajidai ni uongo. Mkapa created institutions, sestems anad machineries.
Ukifikiri Mkapa kamaliza wapo ambao watakuja na akili na kufanya mengi zaidi ya hayo...
Suala ni kwamba amefanya ya muhimu lakini haimanishi haitawahi tokea Kama yeye...

Ila kumuenzi mtu sio kuupa uwanja wake Kama alifanya mazuri wananchi wenyewe watamuenzi
 
Ukifikiri Mkapa kamaliza wapo ambao watakuja na akili na kufanya mengi zaidi ya hayo...
Suala ni kwamba amefanya ya muhimu lakini haimanishi haitawahi tokea Kama yeye...

Ila kumuenzi mtu sio kuupa uwanja wake Kama alifanya mazuri wananchi wenyewe watamuenzi
Mkuu sijapinga watakuja wengine wa kufanya mambo mazuri zaidi. Ninachohuzunika ni pale kiongozi anayefuata anaona wa nyuma yake hawajafanya kitu. Kila mmoja anafanya alivyojaliwa hivyo wengine wanapokea kijiti kuendekeza na kuongeza vingine. Huo ndiyo uongozi na si kunanga waliopita.
 
Back
Top Bottom