Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Immediately after mazishi ya BWM already we are back to politics and business as usual. I think siku ya saba ya maombolezo ni leo. Tungepumzika kidogo na kujipa muda wa kutafakari juu ya mzee wetu BWM kwa kututoka like ghafla hivi!!
 
Huyo ndio mpandikiza chuki ndani ya nchi hii. Anataka kila mtu achague hao wala rushwa wenzake wa ccm? Anaamini anapendwa sana, na kodi ya wananchi inastahili kwenda kwenye majimbo waliochaguliwa watoa rushwa, akiamini hizo kodi za wananchi ni mali yake.
 
Mara ooh maendeleo hayana chama.mara mxinichagulie ambae xio wa ccm kwel nimeamin mtu muongo hana kumbukumbu.
 
Huko anakokunanga hakuna TRA? Na kama wapo na wanakusanya mapato toka kwa hao anaowananga basi hafai kuwa Rais wa hii nchi.
 
Huko anakokunanga hakuna TRA? Na kama wapo na wanakusanya mapato toka kwa hao anaowananga basi hafai kuwa Rais wa hii nchi.

Jamaa hakustahili kuwa rais na hatakaa awe rais. Huu mgawanyiko uliko hapa nchini, yeye ndio chanzo. Na hapo alipo amejiandaa kunajisi uchaguzi atakavyo ili watoa rushwa wenzake ndio watangazwe washindi kwa shuruti.
 
Itoshe tu kumpongeza aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kwa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mkoa wa Iringa pale Igumbilo.

Kama mchungaji Msigwa angezembea kama Bwege wa Kilwa pengine stendi ingekuwa bado ni ile ya zamani pale mjini makorongoni.

Najua mchango mkubwa wa RC Happi na DC Kasesela lakini pia naheshimu ushirikiano wa mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
 
ILANI ya ccm inatekelezwa na wana CCM,,, ukimchagua mbunge wa chama cha Jahazi Asilia au Tadea basi atatekeleza ILANI ya chama chake
Ndiyo maana ata hao TADEA,CHADEMA, CUF wote awalipi kodi kabisa....
Mtu mweusi ni nyni tu
 
ILANI ya ccm inatekelezwa na wana CCM,,, ukimchagua mbunge wa chama cha Jahazi Asilia au Tadea basi atatekeleza ILANI ya chama chake
Ndiyo maana ata hao TADEA,CHADEMA, CUF wote awalipi kodi kabisa....
Mtu mweusi ni nyni tu
 
Hv kweli haiwezekani kumshtaki huyu rais kwa maneno yake ya kibaguzi namna hii? Kama hataki wapinzani wachaguliwe na hawapelekei wananchi maendeleo sababu wamechagua wapinzani basi na kodi asikusanye maeneo ambayo yana wapinzani. Awaache wakusanye kodi wenyewe na wajiletee maendeleo wenyewe. Siyo anakusanya kodi ya korosho Kilwa anaenda kujenga uwanja wa mpira Chato
 
Itoshe tu kumpongeza aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kwa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mkoa wa Iringa pale Igumbilo.

Kama mchungaji Msigwa angezembea kama Bwege wa Kilwa pengine stendi ingekuwa bado ni ile ya zamani pale mjini makorongoni.

Najua mchango mkubwa wa RC Happi na DC Kasesela lakini pia naheshimu ushirikiano wa mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna haja ya kujua matumizi sahihi ya kodi zetu tunazotoa
 
JPM ana-behave zaidi kama Mwenyekiti wa CCM badala ya Rais na hili sio sawa. Sasa tutasikia tukiambiwa tumemwelewa vibaya, amenukuliwa vibaya nk.

Ana hasira za kusema na JK jana??
 
Amesema wachaguliwe watu ambao anaweza kuwawajibisha wakifanya ndivyo sivyo hata kuwafukuza kwenye Chama
Kashindwa kumfukuza lugola toka ile kesi ya rushwa kwenye kamati ya bunge,bdae kampa uwaziri napo akaharibu....jamaa alitakiwa kua mirembe kitambo
 
Du kwahiyo ili tupate maendeleo ni lazima tuchague wabunge wa CCM.
Pesa za maendeleo ni pesa za walipa kodi si Hisani za CCM iweje CCM watake kuchaguliwa ndipo wapeleke maendeleo? huo ni wizi wa pesa za eneo husika hawawezi kulipa kodi kisha pesa zao zikatumike sehemu ingine kisa waliyemchagua siyo wa CCM hii ni dharau kubwa
 
JPM ana-behave zaidi kama Mwenyekiti wa CCM badala ya Rais na hili sio sawa. Sasa tutasikia tukiambiwa tumemwelewa vibaya, amenukuliwa vibaya nk.

Ana hasira za kusema na JK jana??
Hii kauli imewaudhi wananchi sana ndiyo maana walikaa kimya hawakushangilia
 
ILANI ya ccm inatekelezwa na wana CCM,,, ukimchagua mbunge wa chama cha Jahazi Asilia au Tadea basi atatekeleza ILANI ya chama chake

Bull....!! Na mnapokuwa mnasema CCM ndio imeshikilia dola na serikali inatekeleza ilani ya CCM huwa mna maana gani??

Tuonesheni maendeleo ya majimbo ya CCM ili tuamini alichosema mwenyekiti wenu. Amesahau hata “maendeleo hayana chama” ni msemo wake. Ameanza kampeni kabla hata ya kipenda.
 
Back
Top Bottom