Rais Magufuli awakabidhi waislamu mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti, Shekhe wa Wilaya amshukuru

Rais Magufuli awakabidhi waislamu mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti, Shekhe wa Wilaya amshukuru

Nani kakwambia Waislam wanashindwa kujenga msikiti? Siasa zitawaua na hiyo michango ya kitimoto mliyotoa lazima wapwa waipige ubwabwa tu na ghahwa kiroho safi.
 
Hili la Kanisa Katoliki Kujenga Msikiti Paroko wangu niandalie maelezo nakuja huko. Mmetufundisha misingi ya Kanisa na kanuni zake lakini hili hamjawahi kutueleza.

Kila Jumapili unatuhubiri ukuu wa Yesu Kristo na kutuhimiza kumfuata. Kesho nitakuwa hapo niandalie majibu.
Sasa paroko akupe majibu gani? Nenda kwa huyo mpenda sifa aliyechaangisha hizo pesa.
Paroko utakuwa unamuonea tu.
 
Waislamu wanajidharirisha sana yaani kanisa limepewa kazi ya kujenga mskiti hivi wanajielewa kweli hawa watu? Je Yale mafundisho was mtume s.a.w wanayaelewa kweli au ndio lugha ya kiarabu imewafanya kukariri tu bila kureason

NAUSIKITIKIA UMMA WA KIISLAMU kama viongozi hawata paza sauti juu ya hili IPO siku nguruwe atauzwa msikitini na waislamu watamuogopa huyu mungu mtu
Mfumo Kristo

Jr[emoji769]
 
Hili la Kanisa Katoliki Kujenga Msikiti Paroko wangu niandalie maelezo nakuja huko. Mmetufundisha misingi ya Kanisa na kanuni zake lakini hili hamjawahi kutueleza.

Kila Jumapili unatuhubiri ukuu wa Yesu Kristo na kutuhimiza kumfuata. Kesho nitakuwa hapo niandalie majibu.
Sawa!
 
Jambo hili nikama kueka usawa kwani waislamu ndio waliaanza saidia kujenga kanisa halafu wamefata wao sio ubaya kwa kawaida labda viongozi wa dini walieke sawa hilo
 
Ukisikia kubugi ndio huko, hata hizo hela zikipokelewa na kujenga msikiti, watakao swali labda wawe wao wagalatia.Muislamu mwenye imani thabiti sidhani kama atafanya huo ujinga.
 
Waislamu wanajidharirisha sana yaani kanisa limepewa kazi ya kujenga mskiti hivi wanajielewa kweli hawa watu? Je Yale mafundisho was mtume s.a.w wanayaelewa kweli au ndio lugha ya kiarabu imewafanya kukariri tu bila kureason

NAUSIKITIKIA UMMA WA KIISLAMU kama viongozi hawata paza sauti juu ya hili IPO siku nguruwe atauzwa msikitini na waislamu watamuogopa huyu mungu mtu

Ni kiongozi gani wa kiislamu aliyewapa kanisa kazi ya kujenga msikiti?
 
Hili la Kanisa Katoliki Kujenga Msikiti Paroko wangu niandalie maelezo nakuja huko. Mmetufundisha misingi ya Kanisa na kanuni zake lakini hili hamjawahi kutueleza.

Kila Jumapili unatuhubiri ukuu wa Yesu Kristo na kutuhimiza kumfuata. Kesho nitakuwa hapo niandalie majibu.
Usimlaumu yeyote hapo, kumbuka woga umetamalaki kwa sasa na kila mtu anatetea nafsi yake. Jiulize Baba Paroko wako aliombwa akamkabidhi Shehe husika mchango uliopatikana, kwanini aliyekabidhi leo si Baba Paroko ?
 
Rais Magufuli leo amekabidhi mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti zilizochangishwa jana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Immakulata.

Fedha hizo zimekabidhiwa kwa Shekhe wa Wilaya Suleiman Matitu na Katibu wa Rais ndugu Ngusa.

Chanzo: East Africa Radio
Hiyo imetokeaje, wakati alimpa askofu ili awakabidhi hao wenye msikiti wao? Hii sasa ni kampeni!!!
 
Zipo nchi zaidi ya kumi duniani ambazo hazijaguswa na korona.

Tz mambukizi 509 vifo 21.Je hapo
Ni wepi ambao mungu aliwasikiliza
zaidi?
 
Ukisikia kubugi ndio huko, hata hizo hela zikipokelewa na kujenga msikiti, watakao swali labda wawe wao wagalatia.Muislamu mwenye imani thabiti sidhani kama atafanya huo ujinga.
Ndio hivyo tena, Sheikh wa wilaya keshapokea!!
 
Hahaha ahakikishe wanajengea msikiti fedha hizo, wasije sema zimepotea.

Wakipungukiwa wampigie simu paroko, tutachanga tena.

Kanisa lineamua kujenga msikiti kila kata, waswali mpaka wachoke.
 
Back
Top Bottom