Rais Magufuli awataka TRA kuacha kubambikia wafanyabiashara kodi, asema wanakadiria kodi kubwa ili wapewe rushwa!

Solution ya haya yote ni kuiondoa CCM
 
Serikali hii shida tu,wao ndio wanawapangia TRA malengo kwa kuwambia wakusanye kiasi kikubwa cha Kodi alafu leo eti wasikadilie Kodi kubwa,mfumo wa Kodi nchini no mbovu sana
 
Mkaribishe Yesu kwenye maisha yako, utajikuta tu hamu zako za kuroga watu zimeisha.
 
ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.
 
ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.
Sina hakika kama ni yeye , lakini hata kama siye haiingii akilini kuwa anatoa maelekezo hayatekelezwi halafu anatoa tena - hayatekelezwi tena, lakini eti bado anatoa tena.

Hapo ndipo huingia kwenye kudhaniwa kuwa ndiye mpanga kodi hizi kubwa zisizolipika.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.
Kimantiki wao wanakusanya kodi. na wanatakiwa kukusanya kodi kwa watanzania wote wanaofanya kazi. Sasa inakuwaje focus yao ni watu wachache wenye biashara zinazoonekana?
 

Hii kweli kabisa. Kuna mmoja yupo TRA tegeta jengo la Kibo complex ni mpuuzi sana anakadiria kodi hisiyolipika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…