Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Solution ya haya yote ni kuiondoa CCMShida ya TRA ni mindset hasi ya watendaji kwa wafanyabiashara, kufanya kazi kwa mazoea, kukimbizia malengo kwa hofu bila kueleza ukweli kuwa hayafikiki,kukosa ubunifu wa kupanua wigo wa kodi ili idadi kubwa ya wananchi washiriki kulipa kodi ya moja kwa moja direct tax na hususani kupunguza sekta isiyo rasmi. Mwisho kupenda Rushwa hususani vijana wasio na uzalendo. Kuna haja ya kuangalia upya sera,sheria na kanuni za kodi na tozo.
Lugha ngumu,, I hope umeelewa.Mkuu jitahidi matumizi ya R&L
Sawa mkuu
Unaiondoaje kwa mfano?Solution ya haya yote ni kuiondoa CCM
Mkaribishe Yesu kwenye maisha yako, utajikuta tu hamu zako za kuroga watu zimeisha.Kwanini msiwaroge.??
Watanzania acheni kulia lia.
Mtu akikudhurumu mpige picha kisiri au chukua majina Yake nenda hapo Pemba au tanga wilaya ya lushoto Kijiji flani hivi.
Lazima waisome namba kwa kufa au kuteseka kwa kula haki za watu.
Msiwe mnategemea serikali kwa kila kitu. Mambo mengine fanyeni kwa uwezo wenu ili kutia adabu. Mtu anakuomba rushwa na ni haki yako. Wewe mpe kiroho Safi halafu mfanyie unyama.
Maisha yenyewe mafupi haya. Mtie adabu haswa.
Yesu ndio niniMkaribishe Yesu kwenye maisha yako, utajikuta tu hamu zako za kuroga watu zimeisha.
ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.Mi naona ris hayuko serious na hili kwani TRA hawashtuki hata kidogo badala yake wameendelea kutesa wafanyabiashara bila kujali kauri zake.
Baada ya kile kikao cha rais na wafanyabiashara nikajua Tra watabadirika lakini hakuna kilichofanyika.
Wanakuja na mbinu ya kuvunja record ya makusanyo ili kumpoza, nayeye anapozeka ,mchezo unaendelea.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sina hakika kama ni yeye , lakini hata kama siye haiingii akilini kuwa anatoa maelekezo hayatekelezwi halafu anatoa tena - hayatekelezwi tena, lakini eti bado anatoa tena.ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.
Yeye ndio anasema watende haki! tatizo hapo ni la nani?yeye ndiyo ana watuma wavuke malengo
Kimantiki wao wanakusanya kodi. na wanatakiwa kukusanya kodi kwa watanzania wote wanaofanya kazi. Sasa inakuwaje focus yao ni watu wachache wenye biashara zinazoonekana?ukija kufahamu tatizo si TRA ni yeye Rais utasikitika sana, ni lini Rais wetu ataacha unafiki? Hizo target hao TRA hawajawekewa na mtu mwingine ila yeye anayetaka kukamilisha miradi aliyoianzisha.
Rais Magufuli ameitaka TRA kuacha kuwabambikia kodi wafanyabiashara na badala yake watoe makadirio ya haki.
Rais Magufuli amesema tabia ya kubambika kodi inawafanya wafanyabiashara washindwe kulipa na kutafuta njia za kukwepa kabisa kulipa.
Rais Magufuli amesema baadhi ya watumishi wa TRA wamekuwa na tabia ya kutoa makadirio makubwa na baadae kuomba wapewe rushwa ili wayapunguze.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!