cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,762
Me nadhani serikali na tra wangeanza kufanya tafiti na majaribio ya kulipa kwa mtandao/digital transfer via bank a/c au mitandao ya simu. kwakuanzia malipo ya manunuzi yeyote yanayozidi 20k yalipwe kwa tiGO,M/pesa,benk lips au kwa mtandao wowote,ili mradi sio hard cash
Napendekeza wangeanza na miji kadhaa mikubwa tz eg dsm,mwanza na majiji yote
Napendekeza wangeanza na miji kadhaa mikubwa tz eg dsm,mwanza na majiji yote