Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Tupe connection mkuu
 
ila siasa ikikukubali unakula shumbwela sana..ndani ya miaka mitano pole pole katoka kuwa Dc bukoba,kaenda kuwa Dc Ubungo nadhani,, kaenda uenezi,,sasa ni mbunge na kesho atakua waziri..ni ndani ya miaka mitano haya yanatokea
 
Lakini kasoma kama Juliana Shonza aliweza kuwa naibu mwana FA uwaziri atauweza
Mwana Fa hawezi kupewa uwaziri kamili, akibahatika ni Naibu waziri, hana Cv yoyote ya uongozi zaidi ya kuwa msanii mzuri na msomi. Ubunge tu tayari ameanza kujitunisha akipewa uwaziri directly atatemea mate wenzie, acha apoozwe kwanza.
 
Mipasho inahamia upande kwenye mjumba
 
Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.
 
Anaweza kuendelea kuishikilia kwani umesahau Nape alikuwa katibu muenezi na bado alikuwa mbunge kipindi cha kikwete

Nape hakuwa mbunge kipindi cha Kikwete, rejea vizuri kumbukumbu zako
 
Mr slow slow wa sasa Hana impact yoyote katika taifa amekuwa mwongo hata aliyosimamia mwanzo anayakana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…