Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Jamani najua hana mke, mwenye namba yake anipe, wife material Nipo hapa
 
Bwashee hebu mstue mwenyekit amteue pia mr.P mana njaa ishapanda mpk.kichwan
Natoa tu ushauri kutokana na heshima kubwa ambayo komredi Polepole amekijengea chama basi ni vema siku atakayoapishwa na Spika tukio hilo lifanyike ukumbi wa Pius Msekwa.

Hongera komredi Polepole kwa kuteuliwa kuwa mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hahaaaa!!!unafik bongo unalipa
 
Huyo riziki lulida,nani anamjua,atupe maelezo yake?
 
Magufuli anatengeneza team bungeni ya kubadili katiba ili kuondoa ukomo. Pole pole anayajua sana kujenga hoja. Tuweke uongo pembeni.
Alikuwa anajua kujenga hoja zamani, sasa hivi anachofanya ni uzandiki tu. Ukishakuwa biased huwezi kujenga hoja, maana utakuwa hutumii logic. Akitolewa kwenye ulaji ataweza kujenga hoja. Huwezi kujenga hoja huku chama chako 50%+ imetangazwa washindi kwa hila.
 
Ukweli lazima usemwe, Mh. Polepole ailipga kazi bwana...najua hakuwa peke yake ila kuanzia majukwaa ya kampeni, burudani, mikwara kwa yule dogo wa Bavicha aliyetaka kulipua transifoma Arusha, nk
Mungu akupe maisha marefu Mh. Polepole.
 
Safi sana, ndo wadau wa maendeleo waone demokrasia yetu ilibyopevuka. Yaani katibu mwenezi anakuwa mbunge wa kuteuliwa nafasi maalum za Rais zinazohtaji wataalamu.
kwani unazani polepole hajasoma we jamaa vp
 
Sasa anajenga hoja kutetea huu upande alipo. Majority wanamkubali.
 
Polepole nakuhitaji pm unionyeshe njia uliyoitumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…