Wengi sana hao , asipo wakumbuka wataitikisa CCM, wapo ambao atawachinja lakini wengi atawapa nafasi za kutafuta riski.Picha ndio kwanza linaaanza. Yani hii ni vita ya ndani kwa ndani kwanza kabla ya kwenda kushindana na upinzani. Mungu awasaidie wote na wakishindwa wasirudishwe na wasipewe vyeo tena hawana nidhamu kukiuka amri ya mheshimiwa Rais.
Naibu si yupo?
UbungoProf. Kitila Mkumbo kaenda wapi wajameni................au na yeye katangaza nia???????????????
Niseme kwa dhati kabisa hii ndio comment au reply bora kabisa kwenye Uzi huu, wengine wanarukaruka tu kama maharagwe yanayochemka ,big upKwa mimi sioni cha ajabu hapo na hakuna utumbuaji wowote uliofanyika ni taratibu na kanuni zinafuatwa. Ukishatia nia kuutaka uongozi kwenye mhimili mwingine tofauti na uliokuwepo automatically unakuwa umeuacha uongozi ulionao kwenye mhimili wa kwanza hasa kwenye serikali. Hivyo lazima Rais ateue mwingine ili shughuli za serikali ziendelee kama kawaida kwa kuwa zenyewe huwa hazisimami.
Lakini pia ni kwa faida ya wagombea wengine ili kuwe na usawa wa kuzitafuta kura, isijetokea mtu akatumia madaraka ya ukuu wa mkoa, wilaya, ukurugenzi na vyeo vingine kujinufaisha kisiasa na kuwaamulia wananchi.
Ieleweke tu kwamba hakuna utumbuaji unaoendelea.
Ndio najua lakini yeye si anakuwa hajatangaza nia?Kwani Naibu pia si mbunge! Naishia hapa bwashee.
Ni elfu nane sorry nimerekebisha Elfu sita ndio wafanyakazi wa serikaliKwa uongo uko vizuri,watu elfu themanini unawajua wewe lkn?
Kama ni hivyo kuna haja gani sasa ya kuchagua Raisi mpya kama kila kitu ni lazima kibakie kama kilivyo alivyokikuta? Raisi wa JMTZ Katiba inamruhusu kufanya anavyofanya, shida iko wapi?
Magufuli Alikuwa akifundisha shule ya private sio ya serikali hamia private na wewe uwe free ondoka serikaliniYeye alipokua mwalimu mbona hakuridhika na cheo chake akaenda kugombea ubunge?Ni tamaa au?
Hapa hapajakaa vizuri, kofia mbili katika wizara moja!!!Kijazi wa TANAPA ameteuliwa kua Naibu katibu Mkuu Wizara ya Mali asili huku akiendelea pia na u-boss wake pale TANAPA.
Hao ndio wenye nchi sasa,wanyonge walie na umaskini wao tu.
Katika uongozi wa juu lazima usafishe nyumba mara tuu baada ya kuingia. Hao matechnocrats ilibidi waondoke tuu hasa wa level ya juu kabisa.Ndio maana kipindi cha kikwete alikuwa anajaribu sana kuchagua watu ambao siyo wanasiasa moja kwa moja, na hata mwanasiasa akichaguliwa wananchi tulikuwa tunaliga kelele.
Ila huyu bwana yeye ameona kuwachagua waccm wenzake ndio kutuonesha yeye haogopi chochote kile wananchi, sasa muache ya mkute ya kumkuta.
Kila taratibu alizokuta anataka kuzibunja.
Naam mkuu,hapo check&balance sijui inafanyikaje?Hapa hapajakaa vizuri, kofia mbili katika wizara moja!!!
Halafu anatoa povu hataki watu wawe na title mbiliKijazi wa TANAPA ameteuliwa kua Naibu katibu Mkuu Wizara ya Mali asili huku akiendelea pia na u-boss wake pale TANAPA.
Hao ndio wenye nchi sasa,wanyonge walie na umaskini wao tu.
Je ni wafanyakazi wote 6000 wanaondolewa kazini au wateule wa Raisi?Ni elfu nane sorry nimerekebisha Elfu sita ndio wafanyakazi wa serikali
Yeye alipokua mwalimu mbona hakuridhika na cheo chake akaenda kugombea ubunge?Ni tamaa au?
Mna propaganda uchwara na za kiboya sana ,Sengerema Sec School ni Private school tangu lini?Magufuli Alikuwa akifundisha shule ya private sio ya serikali hamia private na wewe uwe free ondoka serikalini
Usipotoshe, Sengerema High School ni shule ya umma , na ilijengwa 1964. Rais ana wanafunzi wake ndani ya Baraza la Mawaziri pia idadi ya kutosha ya Wabunge ambao ni wanafunzi wake..Magufuli Alikuwa akifundisha shule ya private sio ya serikali hamia private na wewe uwe free ondoka serikalini
Yeye alipokua mwalimu mbona hakuridhika na cheo chake akaenda kugombea ubunge?Ni tamaa au?