Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Mkuu Badilisha heading yako unatukera wakatoliki,kwetu rais hawezi kuzindua kanisa maana sio ofisi ya serikali au chama.
Kristo mfufuka ndio mzinduzi na mmiliki wa kanisa.
Andika Rais ameshiriki ktk ibada ya kubariki jengo la kanisa.....
Hata Pope mwenyewe huwezi kuzindua kanisa,kanisa ilikuwepo na liliasisiwa na
Yesu mwenyewe.Jengo sio kanisa.
 
Kuna tofauti kati ya kuzindua na kuasisi bwashee!

Kusanyiko linaweza kuasisiwa na baadae kuzinduliwa!
 
Rais kashiriki kwenye uzinduzi au nayeye ni Msinyori? Au mpelekwa wa Papa?
 
Baadae itakuja tokea ugomvi mkubwa sana au kejeli kati ya dini na dini au dharau za dini na dini
 
Maiti haihojiwi. Kwa neeema na baraka za Munguu, alimponesha kaka yetu kipenzi chetu. Hivyo anatakiwa akaripoti na dereva wake iliwaisaidie polisi upelelezi. Kama hatofanya hivyo kwakwel
maiti haaiongei. Angekufa na ushaidi ungekosekanaa. Sasa kwa neeema za Mungu, alimpigania shuuujaaa wetu akaponaaa. Kinachotakiwa sasa yeye na dereva wake waendee kuisaidia polisi upeleleziiii . kushindwa kufanya hivyo kwa mtu mahili wa sheria nikuonesha kuwa kunakitu anaogopaaa. Au anakwepaaa. Aende mahakamani haraka saanaa. Aaache kulia lia.
 
Hivi huwa waenda kanisani kusali au kuhutubia?

Uniwie radhi, mana huwa sielewi kabisa!

Au watamani kuwa Padri kama ulivyotamani kuwa IGP?

Yaani wewe ni Rais; mwenye mamlaka ya kuteua IGP, afu unatamani kuwa IGP, haya basi na ujiteue kuwa IGP kisha mwambie Mcygwa akutangaze.
 
Rais kashiriki kwenye uzinduzi au nayeye ni Msinyori? Au mpelekwa wa Papa?
Hivi huwa waenda kanisani kusali au kuhutubia?

Uniwie radhi, mana huwa sielewi kabisa!

Au watamani kuwa Padri kama ulivyotamani kuwa IGP?

Yaani wewe ni Rais; mwenye mamlaka ya kuteua IGP, afu unatamani kuwa IGP, haya basi na ujiteue kuwa IGP kisha mwambie Mcygwa akutangaze.
 
Kafiri hana udugu katu na mwislamu. Mfano angalia nini anachokifanya Zanzibar. Majeshi ,mapolisi,watu wasiojulikana wamejaa kila mtaa
Wewe ndo kafiri mwenye chuki za kidini.binadamu wote ni ndugu na baba yetu ni Adam.
kama waisilamu wote ni ndugu nenda makah kahiji kisha ukimaliza waambie wale waarabu mimi ndugu yenu naomba niishi hapa.uone chamtemakuni.
 
Wewe ndo kafiri mwenye chuki za kidini.binadamu wote ni ndugu na baba yetu ni Adam.
kama waisilamu wote ni ndugu nenda makah kahiji kisha ukimaliza waambie wale waarabu mimi ndugu yenu naomba niishi hapa.uone chamtemakuni.


Kwani nyinyi mumemuomba nani mlipoivamia Zanzibar na kutuulia ndugu zetu na kuwanajisi dada zetu ??


VITABU VYENU HIVI VINAELEZA KILA KITU


 
Pokeeni hiyo swadaka tu haina shida maana nasikia hata BAKWATA ilianzishwa na wakristo.
Eti Upendo,
Kuna upendo kamakuwaweka mashekhe zaidi ya 100 Jela miaka 7 mfulizo bila ya kesi?
Kisha wanatulamba kisogo etiwanajenga Msikiti?

Hakuna Askofu aliyewekwa ndani tangia nchii hii iundwe.
Walikutwa na unga ,Kikwete akawastahi.
Wali fanya Maombezi Kule Arusha hivi karibuni wakafa watu kwa kukanyagana, Hakuna aliyechukuliwa hatia.
Walipigana mabomu kule arusha , wenyewe kwa wenyewe, hakuna aliyechukuliwa hatua,
lakini Muislamu akituhumiwa tuu, atakiona cha mtema kuni.
Hii nchi inaongozwa na Mfumo KRISTO.
Raisi kila wiki anazindua Makanisa,
Angelikuwa Muislamu anazindua Misikiti ngesikia Tuhuma na kelele za Udini.
Kuchangia misikiti Kanisani si sahihi kabisa.
Kama Bakwata wameomba ni stahiki yao maana Bakwata imeshajipambanua kuwa ni Taasisi ya Kanisa ili kuwadhibiti waislamu.
 
Ni lini wewe ukamjua Mungu sawasawa? Sadaka ni sadaka na Wala haiji kwako aisee
Hakuna kati yetu anayemjuwa Mungu kwa.sababu hakuna aliyemuona. Mimi.nimezungumza facts na kuambatanisha na ushahidi kutoka kwenye kitabu cha Waislamu. Kama hukubaliani na mimi basi mwambie kiongozi wetu siku moja aombe sadaka ya kujenga Kanisa kutoka kwenye kongamano la Waislamu!
 
Pongezi Sana Mh. Rais kwa kazi njema ya Mungu,

Usiache kupitia KKKT Kijitonyama washarika wa pale Wana hamu ya kukuona na kusali pamoja nawe fanya hivyo mkuu, pale ratiba yako itaporuhusu.
 
Ni kweli mkuu unachokisema, katika Dini zetu hizi kuna Ile kukubaliana Kwa kutokukubaliana, na katika kukubaliana Kwa kutokukubaliana imepelekea kuwepo Kwa ugomvi mkubwa Sana Kati ya dini hizi mbili!

Mimi nadhani kama upo uwezekano wa kuishi Kwa namna hii, itakuwa ni Jambo Bora Sana na Dunia itakuwa sehemu Bora Sana ya kuishi

Embu niambie leo, hizi Hali za kugawanyika Kwa Imani zetu na kukawepo uhasama mkubwa sana utadhani kuna Mungu wawili walioumba hii dunia, Nani anafaidika na hii migogoro ya kidini?

Mf. Ni dini gani ijitokeze Leo kusema, Wao ndio waliomba na Mungu akawasikia na hata Leo TANZANIA imesalimika ktk swala zima la Corona? Ni Nani ajitokeze, ikiwa dini zote hizi zilihisika kuomba Kwa pamoja?

Vinavyotutofautisha na hata kuwepo mfarakano na mauwaji ya kidini, anayefaidika sio dini, ni shetwani
 

Kila nikifikiria namna Corona ilivotoweka Tanzania siwezi pata picha!
 
Uwe na uelewa, kusali sio lazima uende madhabahuni. Unyenyekevu wako kwa Mungu huku ukiiishi imani yako pasi na shaka na matendo yakireflect unyenyekevu wako, hiyo inatosha.
Kwa hoja yako Yesu asingekuwa anaingia hekaluni kwahiyo, ni maoni yako ila sio uhalisia wa mambo ndugu
 
👍🏽

Mungu hapendi binadamu afanye yafuatayo;
1. kupiga au kuagiza wenzako wapigwe risasi
2. Kuteka na kupoteza wenzako
3. Visasi
4.Kubagua watu kwa sababu ya itikadi ya vyama

Haya ni makubwa kuliko ibada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…