Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
OkMimi huwa nasikiliza kile ambacho mtu anasema, huwa siangalii mtu kwanza halafu ndiyo niamue kumsikiliza au kutomsikiliza. Huwa nasikiliza kwanza bila kujali kimetoka kwa nani. Hata wewe pia naweza kukusikiliza. Hekima iko midomoni mwa watu, na si kwenye umardidadi wa maumbile yao
Nikubaliane nawewe, ila naona hata wewe huujui uislamKwa sababu huna ujualo mkuu kuhusu uislam.
Sorry to say
Mchango ufanywa kanisaniWe mtoa post umekosea sana na udini unakusumbua,nataka tu kukukumbusha kwamba Rais ni kiongozi wa nchi na nchi haina dini
Kujenga sio hoja mkuu wangu.Hoja yangu hunaielewa, hoja yangu ni kuwa Mola wako unayemwabudu aliabudiwa katika sinagogi lilojengwa na wakristu. Ima kama wewe waabudu tofauti unijulishe niache kuchangia
Waislam wanazarauliwa sana 5sizoni, yaani eti hawana elimu hawateuliwi, eti hawana fedha wanatembezewa bakuli makanisani, gwajembe akipita tutaanzia kwake kuigeuza misikiti kuwa sh/jumapili. Maana hawajitambui. Labda Ponda asipoufyata awaamshe huu uchanganyaji dini na siasaBasi wazikatae hizo pesa tujue
Ni sehemu gani hiyo?? Niwekee verse numberKuna sehemu kwenye Quoran inasema " Rafiki wa muislam ni mkristo" Urafiki katika shida na raha ikiwepo kuchangiana kama ilivyo kwenye Sherehe za harusi.
Kuchangisha hela ya kujenga misikiti makanisani,mliona wapi hii kali ya mwaka.
Ukisikia kuzeeka na kupotelewa na akili ndio huku ,CCM imeshapoteza akili ni hatari kuipa kura ya ndio ili iweze kutawala zaidi,WaTz amkeni si shwari tena.
Unapozeeka sana ,midomo haiweki maneno sawa mikono inatetemeka na ni hatari kwa Taifa,CCM imetosha tunakupa hongera kwa kutuwezesha kutupatia uhuru hadi leo imetosha.
Nia ya Rais ni kufanya Chamwino iwe na nyumba za ibada nzuri. Ila kwa wenzetu wengine kila kitu ni makosa. Rais waache maana sidhani kama kuujenga msikiti kwa harambee ni dhambi mnayoisimulia. Iweje kujenga kwa kodi za umma sio tatizo?
Basi wazikatae hizo pesa tujue
OkNikubaliane nawewe, ila naona hata wewe huujui uislam
Hata ungefanyika sokoni kuna ubaya gani????????????????
Masimango yataisha waislam wakionesha mfano kwa kujenga vyuo vikuu, ila kwasasa tupokee tu. Labda vyuo vijengwe na hicho mnachosimangiawa kirejeshwe kwa serikaliWewe umeona chuo tu cha morogoro ambacho kilijengwa kwa kodi za wote lakini kimekuwa ni kichaka cha kuwasimanga waislamu pindi wakidai usawa na haki nchini kuwa mbona serikali iliwapa chuo cha umma
Hiyo ni 'sunna' siyo 'faradha', Mkuu. Allah ndiye atakaye muhukumu kwa tendo hili. Ila nina imani. Allah amefurahishwa kwa namna 'watu wa kitabu' wanavyomthamini.Ndugu rais, wewe ni Rais siyo sheikh, wewe ni Mkiristu siyo Muislamu, mambo ya Waislamu waachie Waislamu wenyewe!
Udini unawasumbua hamna lolote,upunguze kuwa sensitive hivyoAngekwenda kuendeshea harambee hiyo msikitini sio kanisani
Kuna majengo (misikiti) iliharamishwa kuswaliwa bali ilijengwa na waislam (wanafiki) seuze mshirikina? Tupunguzieni maajabu awamu hii wandugu! Mnaona fahari kuvunja recod hata za kutia madoa? Acheni acheni acheni.Kujenga sio hoja mkuu wangu.
Na pia hili linatoka nje ya mada iliyopo mezani.
Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake akiwa na miaka sita tu aligoma kuingia kwenye nyumba iliyokuwa na sanamu. Leo Luna mdau ananiambia tumuachie alhadi ndio atusemee sisi maamuma tukae tumsikilize tu.
Labda hivyo ndivyo nyinyi wenzetu msio waislam mnavyofundishwa
Sahihi Mfumo Kristo,Magufuli analeta dhana za Church Supremacy nchini, ana portray kuwa waislamu hawawezi kufanya mambo yao wenyewe mpaka huruma ya kanisa!
Ile kitu waislamu wanaita Mfumo Kristo baadhi ya dalili za kukomaa kwake ndiyo hizi!