Jamaa muoga sn...... Badala ya kutekeleza hoja za msingi za waislamu km alivoziainisha sheikh ponda yy anafanya mambo ya hovyo kabisaHivi JPM si angeenda huko msikitini kukusanya hiyo harambee.
Sifa za kijinga hizi.
Yaani unavyoandika ni kana kwamba wasio waislam ndio wanauendesha uislam hapa Tanzania kumbe uhalisia ni tofauti.Kumbe wale maustaadhi wanaoombaga michango mbalimbali wanakosea kuomba kwa wakristo?!
Mfano tuwapo safarini kwenye mabasi, pale mkata Handeni kuna jamaa anaombaga mchango ya ujenzi wa msikiti sijui madrasa n.k
Leo umesaidia wengi aisee hawatakua wanachangia maswala yahusuyo dini ya kiislam.
Anya Islamic related contributions,
Nazani na michango ya vituo vya watoto yatima wenye mlengo wa dini ya kiislam itabidi kuacha kuchangia maana kumbe mnakwazika!
Aisee hii siyo nongwa kweli jamani ?!
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi!
Na hapo ndo rais wetu anaposhindwa kujua tofauti ya dini na siasa. Amekuwa akijionesha kuipenda sana dini lakini pia aelewe theology siyo kitu cha kurukia kama yeye alivyorukia siasa. Nimekuwa nikiuliza; kama kweli ni mwema hivyo, kwa nini hachangishi wana CCM ili wawasaidie TLP, DP, nk?Hela ya kitimoto imeenda kujenga msikiti,safi sanaa
N kweli Tena ndio kamzi kanakokwamisha naendelea ya nch hii kwa kutupitishia vbaka wa kuiba pesa zetu kila uchaguzTena hata uwachokonoe na sindano hawashtuki ng'o
Swali fikirish sanaa mkuu,mazingira ya kulitumia kanisa kuchangia ujenz wa msikiti amepotoka mnoo,n vzur ingekuwa muktadha tofaut ine sense,kutaka kujifanya we n mtu unaetaka kubalance masuala ya kidin kwa kufanya michango inafanya kumuaribia zaid cz hata waliochanga hawakuwa na moyo w kuchangia sema kwa vile rais kasemaNa hapo ndo rais wetu anaposhindwa kujua tofauti ya dini na siasa. Amekuwa akijionesha kuipenda sana dini lakini pia aelewe theology siyo kitu cha kurukia kama yeye alivyorukia siasa. Nimekuwa nikiuliza; kama kweli ni mwema hivyo, kwa nini hachangishi wana CCM ili wawasaidie TLP, DP, nk?
Tukianza kuzilist hapa mkuu wangu tutakesha.Ili kuli-adress inabidi hizo issues ambazo zinaonesha chuki ziwe outlined.
Sasa hizo issues zinazoonesha chuki ni zipi?
Yaani unavyoandika ni kana kwamba wasio waislam ndio wanauendesha uislam hapa Tanzania kumbe uhalisia ni tofauti.
Eti kuvuja kwa pakacha.
Kwa shilingi Mia mbili yako uliyotoa (kama hata ulitoa) maana kwa chuki uliyonayo si ajabu pia ulisema huyu mvua kipedo nae vipi???
Nliwahi kumnukuu Pascal Mayalla humu akionyesha chuki zake dhidi ya uislam na waislam.
Hii nchi imeoza
Mbona kuna kipindi fulani niliwahi kupitia maeneo yale nikakuta unatumika!? Au waendao kuswali kwenye msikiti huo si waisalaamu! Sijapita siku nyingi! Yawezekana umefungwa siku hizi.Kuna Ule Msikiti Pale Morogoro Uliojengwa Na IGP Mstaafu Omary Mahita, Uligomewa Kutumiwa Na Waislam Kisa Haufuata Taratibu Zozote
Yaani Alijenga Kwa Fedha Zake Waislam Waligoma.
Majengo ya chuo cha kiislam morogoro ni Mali ya Tanesco. Tanesco ya watanzania wote... acha uzuzu weweMissile of the Nation,
Mbona mmechangiwa vitu vingi na wakristo kikiwemo chuo kikuu cha Waislamu pale Morogoro!
Ni Baada Ya Mazungumzo Marefu, Ila Ulipojengwa TuMbona kuna kipindi fulani niliwahi kupitia maeneo yale nikakuta unatumika!? Au waendao kuswali kwenye msikiti huo si waisalaamu! Sijapita siku nyingi! Yawezekana umefungwa siku hizi.
Majengo ya chuo cha kiislam morogoro ni Mali ya Tanesco. Tanesco ya watanzania wote... acha uzuzu wewe
Hujaelewa kinachojadiliwa wewe.kaa pembeni nna kadegree kako ka kudesa huko mwalimu nyerereSasa wakristo wangekuwa wakorofi si wangekuja juu nao au wangedai na wangesems nao wapewe chao?!
Wakristo 'tungekiwasha' na huenda hata huko Ikulu Kwake aliko angepaona ni pachungu. Wakristo siyo Watu wa 'Kupelekeshwa' kama 'Majuha' tu.
Siku mkikikataa chuo kikuu cha MUM ndio ntaelewa.Ndugu rais, wewe ni Rais siyo sheikh, wewe ni Mkiristu siyo Muislamu, mambo ya Waislamu waachie Waislamu wenyewe!
Una haki ya kuchangisha fedha kwa ajili ya matendo ya imani yako lakini huna haki ya kusimama ndani ya nyumba ya imani yako kudictate kipi kifanywe kwa niaba ya watu wa imani nyingine.
Waislamu wana taratibu zao za kujenga nyumba za Ibada zao, wanachangia wao wenyewe au wanatafuta mfadhili wa imani yao wao wenyewe, au wanafanya kwa kufuata taratibu za dini yao, kisha wanajenga msikiti wao!
Umewahi kusikia wapi Waislamu nchini wameendesha harambee makanisani kwa ajili ya kupata pesa kwa ajili ya kujenga misikiti yao? Au unafikiri Waislamu hawana marafiki Wakiristo wakiwemo maaskofu na mapadre ambao wangeweza kuwaomba wawafanyie harambee wajenge hizo nyumba?
Au lini umewahi kusikia maaskofu na mapadre wameomba michango kupitia misikitini ili Waislamu wachangie ujenzi wa makanisa?
Kuna mambo ni boundary ya kuheshimiana kiimani, nayo ni kutokuingiliana katika namna kila imani inavyoendesha mambo yake!
Najua pengine kibinadamu uliona aibu kutokana na mihela mirefu unayoimwaga makanisani siku hizi kwa jina la sadaka, ukahisi labda umma wa Waislamu utakuona kama mtu anayetumia mafungu yale ya urais yasiyokaguliwa na yeyote kwa ajili ya sadaka hizo, mimi nasema usihofu, maadamu wewe ni Mkatoliki na Mkiristu basi usiuonee haya Ukiristo wako wewe toa tu, Waislamu wanajiweza, wanaweza kujenga misikiti yao wao wenyewe na infact misikiti nchi hii ni mingi kwelikweli na imejengwa na Waislamu wao wenyewe!
Kuhusu misikiti iliyojengwa na Wafalme na marais, hiyo Waislamu tunajua huwa wanatafuta hao wafadhili wao wenyewe, ila sasa kwa kuwa Kiprotokali jambo linalofanywa na mfalme au rais wa Taifa moja katika jingine lazima mfalme au rais wa taifa husika awe na taarifa ndiyo maana taasisi za dini zinaweza kukujulisha ili usaidie kunyoosha mambo! Hii ni tofauti na kwenda kanisani ukaanzisha harambee ya kujenga misikiti! Ndugu Rais ulitumwa au kuombwa na Muislamu gani kutaka kujenga msikiti kupitia fedha za kanisani?
Wakati mwingine naangalia haya mambo na kuona kuwa yamekaa kisiasa. Hata hivyo mambo ya dini ni sensitive sana si vizuri kuchanganya dini na siasa! Mwalimu alionya sana kuhusu mambo haya!
Ipo namna mtu asiye muislamu anavyoweza kuguswa na kuamua kujenga msikiti, kwa mfano, Mwalimu aliguswa moyoni mwake baada ya kustaafu uraisi akaamua kutafuta fedha za kujenga Msikiti Butiama, Mwalimu alikuwa na connection za Vatican, Makanisa makubwa makubwa lakini hakwenda kutafuta fedha makanisani ili ajenge msikiti, Mwalimu alikwenda kwa Ghadafi ndiye aliyempa pesa za kujenga Msikiti huko Butiama!
Nimkumbushe tu ndugu Magufuli kuwa, dini ya Kiislamu pia imeweka misingi ya aina gani ya misikiti inafaa kuswaliwa ndani yake, Quran inasema ile misikiti iliyojengwa kwa dhamira safi ndiyo misikiti ya Mungu na ndiyo inayofaa kuswaliwa bali ile iliyojengwa kwa dhamira isiyo njema, yenye malengomalengo fulani hivi hiyo haina baraka za Mungu na haifai kuswaliwa ndani yake!
Nashauri Ndugu Rais awe makini sana na haya mambo ya dini, haya ni mazito sana, akiyakosea yataiweka heshima nzima ya taasisi ya urais rehani halafu kuja kurekebisha taswira hiyo inaweza kutumia gharama kubwa.
MAMBO YA WAISLAMU WAACHIWE WAISLAMU WENYEWE. NDUGU RAIS FANYA YALE YA IMANI YAKO AU YALE UTAKAYOOMBWA UFANYE KAMA UKIPENDA!
Tunamuombea afanikiweKatika mambo yanayorudisha nyuma afrika na Tanzania yetu ni ubaguzi wa kidini...... magufuli ana nia njema ya kuondoa ubaguzi wa kidini nchini ili tusonge mbele kitaifa....