Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Toa ushahid, ucongee tu kwa matamanio ni sura gani na aya ya ngap imeruhusu hilo?
Unaonekana so muislam umedandia tu hoja ili kukidhi kiu yako ya kisiasa
Uislam inaruhusu kujengewa msikiti na asie muislam au hata kupewa pesa za kujengewa msikiti
Msikiti wameombewa waislam,wewe kinakuuma Nini?
 
 
Hizo michango angechangisha Tundu Lisu hii mada ingekua vise versa
 
Asante kwa ufafanuzi mzuri asipoelewa hapa sidhani kama kuna mahali ataweza kuelewa. Hilo hela alizochangisha bora akazichukue an kizipelela mahali pengine. Nimehisi kifedheheshwa sana na hili tukio.
 
JPM kawashika pabaya hadi siku ya uchaguzi mtakonda tu!
 
Hivi Rais Magufuli anajua kuwa kwa Waislam, mathalani muislam akawa ameoa mke ambaye siyo muislam, ikifika wakati wa mfungo, mwanaume yule hawezi kufuturu chakula kilichoandaliwa na yule mke ambaye siyo muislam?


Hichi kitu umepata wapi???
 
Hakuna ubaya kuchangishana kujenga nyumba za ibada,,ili wakazi wa maeneo hayo nao wapate pa kuabudia
Shule na uhuru halisi wa kuabudu ni muhimu zaidi kuliko nyumba za ibada.
Nyumba nyingi za ibada zina migogoro kuliko utumishi maana wengi si ucha Mungu unaowaongoza bali uchatumbo na uchavyeo...
 
Mbona hajawahi kwenda msikitini kuomba waislamu watoe sadaka ya kuchangia ujenzi wa kanisa?
 
Aisee, umeongea kitu kikubwa sana na cha mantiki kubwa! Wakristo wanaamini Mungu wa Kiislam ni wa kweli? Je, waislam wanaamini Mumgu wa Kikristo ni wa kweli? Dah point kubwa sana! Sijui wangapi wameona hii madini!
 
Mahusiano mazuri ya nchi yetu na nchi nyingine awamu zilizopita ziliwafanya waislam wapate misaada mikubwa sana toka kwenye nchi zenye Waumini wa Kiislamu na kujenga misikiti nchi nzima.

Awamu hii nafikiri misaada toka kwa nchi marafiki wa imani ya kiislam imepungua sana na ujenzi wa misikiti haukufanyika kwa kiwango cha awamu zilizopita.
Kwa hiyo ni sawa kwa mkuu kuwaliwaza wahanga wa awamu yake kama anavyofanya kila anapopita kumwaga pesa kwa watu bila kufanya kazi.
Yani kama jackpot bingo.
Hapa pesa tu.
 
Huo msikiti akaswali mwenyewe waislamu hatuutaki.
 
Unaonekana so muislam umedandia tu hoja ili kukidhi kiu yako ya kisiasa
Uislam inaruhusu kujengewa msikiti na asie muislam au hata kupewa pesa za kujengewa msikiti
Msikiti wameombewa waislam,wewe kinakuuma Nini?
Waambie hao muft kabombey hawana walijualo
 
Ni kweli mkuu,
Mbona huku mitaani watoto wa madrasa wanatupitishia sana madaftari ya michango tunachangia fresh tu. Kwa nini wasichangishane dini moja tu.

Mambo mengine ni kuvunga tu.
Na jana nimechanga Mkatoliki mie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…