Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Kuna kipindi itafikia hatua ya kulala kanisani na haitatosha kuna muda utafika itabidi kitanda cha askofu kiwe karibu na chake mpaka pale atakapo tubu kwa kinywa chake kwamba yeye ndiye shetani aliyetuma wasiojulikana kumdhulu Lissu na baada ya hapo atasamehewa ndipo atakuwa huru.
 
Kweli Rais wetu Ana moyo sana, naona anawakumbuka na upande wa pili

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mtu yeyote ukitaka kumuua halafu Bahati mbaya ukamkosakosa kila ukimuona lazima uweweseke.
Alie mpiga huyoo jaamaa yenuuu, muuulizeni mwenyewe na dereva wake wanawajua. Maana haiwezekani mtu apigwe risasi kwenye gari aumie mguu wa kuria huku dereva wake akitoka bila mchubuko wowote, huku mkijua magari yote mengi ya Tanzania tunaendeshea mkono wa kushoto, hivyo anae kaa mbe le kama abiria anakua mkono wa kuria wa derevaaaa. Sasa inakuaje apigwe mguu wa kuria? Au siku hiyo yeye ndo alikua dereva?
Halafu baada ya tukio hill jamaa akawa amekidhi kugombea uraisi, yaaniiii kupigwaa kwake yeye iwe ni dhabihu ya kuwa raisi. Hiii haikubariki kabisa. Watanzania sio wajingaaa.
 

Huku mtaani mbona tunachangishwa sana, kuna maeneo kila ijumaa ukipita utakutana na sheikh amebeba daftari na kapu lake anaomba mchango wa kujenga msikiti.
 
Huu wema wa ku act ni fake kwa kadiri ya ufahamu wangu huyu ni chui alevaa ngozi ya kondoo tutampiga kipigo cha mbwa koko kwenye sanduku la kura, asijifanye mwema na akati ni muumiani anaenyonya damu za watz kila uchao amediriki hadi kufuga kundi la wauaji dhidi ya watz wasio na hatia na anawalipa kodi zetu huku akiwabatiza kwa jina la wasiojulikana.
 

Rekebisha kidogo mkuu kwenye hiyo Kuria iwe kulia, pia “abiria anakua mkono wa kuria wa dereva”
 
Huu ni mwanzo tu itafikia utakuja kutuambia ulisimama upande upi wa wakati wa kushuti na bashite pekee alikupa mafao ya tsh ngapi na kisha kamongo wa burigi akakupa ngapi muuaji mkubwa weye
 
Nhisi raisi hajui taratibuza waislamu.
Labda bakwata wamempa muongozo wa aina ya uislamu wao .
lakini nijuavyo mimi Misikiti hujengwa na Waislamu Tuu kwa nia ya Kuamuabudu ALlah, kitu ambacho ni ibada kuujenga kwake.
Qur-an suratu ya 9- Tawba

aya ya :-
17. Haiwi kuwa makafiri ndio waamirishe misikiti ya Mwenyezi Mungu, hali wanajishuhudishia wenyewe ukafiri. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika, na katika Moto watadumu.

18. Hakika wanao amirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao muamini Mwenyezi Mungu, na Siku ya Mwisho, na wakashika Sala, na wakatoa Zaka, na wala hawamchi(hawaabudu) ila Mwenyezi Mungu (pekeyake asiye na mtoto wala mshirika). Basi huenda hao wakawa katika waongofu.

29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu(wakiristo na mayahudi), mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii


Kwa aya izo hapo juu inaonesha wazi kuwa Muislamu hatakiwi kuchukua msaada wowote kutoka kwa wasiokuwa waislamu ili kujenga nyumba za Mungu, Msikiti huoo utakuwa Ghirara- (nyumba ya ibada ya wanafiki).

Kama Magu angelikuwa anawpenda waislamu angeliwatowa Mashekh Jela.
 
Huyu bwana ndio maana hata corona haina haja nae kabisa
 
Wewe ni afisa upelelezi wa serikali au unaongea kwa sababu una mahaba na ccm?
 
Kweli kabisa
 
Hasa kitendo cha kutaka kumua kitamtesa sana. Ndio maana anaomba aombewe kila siku. Kuna dhambi ambazo zinatesa sana.
Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa na misikiti. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
 
Bila shaka hatakuwa na ujasiri wa kumpa mkono.
Nahisi siku akikutanishwa na Lissu anaweza akatimua mbio aisee! Maana hataamini kama ni Lissu yule yule aliyeshambuliwa kule Dodoma mchana kweupe wakati ule, au ni mzimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…