Kuna kipindi itafikia hatua ya kulala kanisani na haitatosha kuna muda utafika itabidi kitanda cha askofu kiwe karibu na chake mpaka pale atakapo tubu kwa kinywa chake kwamba yeye ndiye shetani aliyetuma wasiojulikana kumdhulu Lissu na baada ya hapo atasamehewa ndipo atakuwa huru.Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Kwani Ukatoliki umetajwa ?Hivi kuna mahali kwenye vitabuvya di i risasi zimesemwa? Maana sijui kama enzi hizo risasi zilikuwa zimeisha vumbuliwa.!
Huyo gwajima akale maboga ya kondoo wake ,ile video yake youtube inammalizaNa Gwajima alishasema akifanikiwa kuwa kiongozi atahakikisha madrasa zote anazibadili kuwa sunday school.
Haramu kubwaPesa zinazochangishwa kanisani kwa makafiri sio haramu?
Kweli Rais wetu Ana moyo sana, naona anawakumbuka na upande wa piliRais Magufuli amehudhuria misa takatifu ya uzinduzi wa Kanisa la parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino jijini Dodoma.
Misa hii inarushwa mubashara TBC na Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
=========
Baba askofu mkuu amewataka waumini kuzusha macho kuuona uzuri wa kanisa na kuwaasa uzuri wa kwanza ni roho hivyo waumini watamani roho zao zipendeze kama kanisa lao, Baba askofu mkuu amemkaribisha Rais Magufuli ili awamegee busara zake.
Rais Magufuli: Matokeo ya ujenzi wa kanisa hili umefanywa na wakristo wote, wakati wa ujenzi kila mmoja alitoa alichokuwa nacho. Nakumbuka katika siku hiyo mama mzee mmoja alitoa 5,000 yote aliyokuwa nayo katika ujenzi wa kanisa hili, ujenzi umefanywa na waumini wote wa kanisa hili.
Nawashukuru wananchi wengine mbalimbali siku hiyo tukitoa mchango hapa nilikuwa napigiwa simu na baadhi ya watu wengine waislamu nakumbuka nilipigiwa na mtu mmoja kutoka Dar es Salaam na akaja kukabidhi milioni 20 kwa ajili ya ujenzi wa kanisa hili, wadau ni wengi waliojitolea na mimi nawashukuru sana kwa niaba yenu.
Nawashukuru wasimamizi ambao fedha tulizozichanga hawakuzila na shetani alikimbia mbali kuhubiri roho zao kuzila fedha hizi, tunawashukuru wajenzi hawakupoteza muda chini ya uongozi wa mkuu wa JKT na vijana wake, walikuja na kushiriki katika ujenzi huu. Vijana walioshiriki ujenzi huu si wakristo tu, walikuwepo Waislamu wamejenga, Roman, Wasabato, KKKT, Anglingana na waliookoka wamejenga.
Kikosi cha JKT nilichokiomba tukawapa fedha zilizokuwa zimechangwa na ninyi na zimechangwa na wananchi wengi napenda kuwapongeza kwa niaba yenu kwa sababu wamefanya kazi nzuri sana na huu ndio umoja wa watanzania.
Mhasham baba Askofu mkuu ndio maana mimi nilisita sana kuambiwa mimi ndie mfadhili mkuu kwa sababu ninaamini waliofadhili kanisa hili na kushiriki kwa njia moja au nyingine kukamilisha. Nilisita kubeba heshima hiyo ambayo sistahili, mimi nilitoa mapendekezo nikachangia kidogo nilichokua nacho lakini kimechangiwa kingi na wale walioshiriki kwa hiyo pongezi ni kwetu sisi sote.
Nimefurahi kumuona father Kitima, huyu ni rafiki yangu wa siku nyingi. Alikuwa ndio vice chancellor wa St. Augustine, chuo kikuu cha kule Mwanza na baadae akateuliwa kuwa katibu mkuu wa baraza la maaskofu na leo nimefurahi kuja hapa. Yale mengine mengine maviporo viporo yanayobaki kule na kwa kuwa wewe ndie katibu mkuu wa maaskofu wote, hata hili la fence linaweza likakugusagusa kidogo. Ukaangalia angalia yale yanayobaki huko ili utusaidie sisi.
Parokia ya Chamwino ina raha yake, ina upendo mkubwa hata nyimbo mnaona zinavyogusa na uwepo wa Mungu upo, kwa ruhusa yako baba askofu ilikuwa niombe kitu kimoja. Kanisa hili wameshiriki watu wa madhehebu mbalimbali kulijenga na kiukweli mahali ambako ni makao makuu panatakiwa kuzungukwa na watu wanaomtukuza Mungu. Sio wa dhehebu moja bali yote kadri muda utavyokuwa unaenda, makao makuu lazima paende na uwepo wa Mungu.
Kama utaniruhusu, tutumie siku ya leo pia tuchange angalau tuanze kujenga msikiti wa ndugu zetu waislamu ambao msikiti wao ni mdogo nao wapo pale kwa ajili ya kumtukuza Mungu na baadhi ya wasaidizi wangu wengine ni waislamu na nataka niwatajie mmoja tu, kuna Alhaji, ameshaenda kuhiji mpaka Makka lakini ni msaidizi wangu. Ninapoingia humu inabidi lazima aingie humu kanisani lakini inapofika siku ya kwenda kumtukuza Mola wake, nimeambiwa ule msikiti bado haujawa mkubwa vizuri.
Baba Askofu, uniruhusu leo nichukue kikapu ili kama sitachukua muda wako mwingi niwaombe wakristo wenzangu tuanze kuchangie, tutamuomba baba Paroko akaziwasilishe kwa shekhe kwenye msikiti wetu na tutajipanga taratibu namna tutakavyoweza kuukarabati.
Tukimaliza hivyo tutaendelea tena katika kanisa jingine kama ni Anglikana, KKKT, Wasabato ili utukufu wa Chamwino katika kumtukuza Mungu ukasimame.
======
Rais Magufuli amechukua kikapu na mtu wa kwanza kuchangia ni baba Askofu ambae ametoa laki mbili na msaidizi wake ambae ni Alhaji atachangia lakini tatu.
Katibu mkuu wa baraza la maaskofu nae kachangia laki moja na ameeleza amemfahamu Rais tangu mwaka 2001 na alikuwa karibu sana na maaskofu na amemfahamu kupitia kwao hata leo anachokifanya inaonyesha namna gani anawapenda watanzania na amefanya vingi vinavyofanya nchi iende mbele kama rushwa iliyokuwa inaelekea kutushida,a anasema ukipita kila mahali wanasema tupeni sisi Rais Magufuli.
Jumla ya fedha zilizochangwa ni 48,021,000/= Mifuko ya simenti 48 na lori tano za mchanga.
Alie mpiga huyoo jaamaa yenuuu, muuulizeni mwenyewe na dereva wake wanawajua. Maana haiwezekani mtu apigwe risasi kwenye gari aumie mguu wa kuria huku dereva wake akitoka bila mchubuko wowote, huku mkijua magari yote mengi ya Tanzania tunaendeshea mkono wa kushoto, hivyo anae kaa mbe le kama abiria anakua mkono wa kuria wa derevaaaa. Sasa inakuaje apigwe mguu wa kuria? Au siku hiyo yeye ndo alikua dereva?Mtu yeyote ukitaka kumuua halafu Bahati mbaya ukamkosakosa kila ukimuona lazima uweweseke.
Siyo mbaya kwa wenzetu Wakristo kutuchangia, lakini kwa uwelewa wangu finyu nadhani hii haiko sawa. Hawa tunaowaita makafiri watajengaje nyumba yetu ya ibada?
Mh.Rais Magufuli amechangisha fedha za kujenga msikiti huko chamwino Dodoma akiwa katika ibada ya Jumapili leo tarehe 23/8/2020.
"Punguza sauti kidogo "Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Alie mpiga huyoo jaamaa yenuuu, muuulizeni mwenyewe na dereva wake wanawajua. Maana haiwezekani mtu apigwe risasi kwenye gari aumie mguu wa kuria huku dereva wake akitoka bila mchubuko wowote, huku mkijua magari yote mengi ya Tanzania tunaendeshea mkono wa kushoto, hivyo anae kaa mbe le kama abiria anakua mkono wa kuria wa derevaaaa. Sasa inakuaje apigwe mguu wa kuria? Au siku hiyo yeye ndo alikua dereva?
Halafu baada ya tukio hill jamaa akawa amekidhi kugombea uraisi, yaaniiii kupigwaa kwake yeye iwe ni dhabihu ya kuwa raisi. Hiii haikubariki kabisa. Watanzania sio wajingaaa.
Huu ni mwanzo tu itafikia utakuja kutuambia ulisimama upande upi wa wakati wa kushuti na bashite pekee alikupa mafao ya tsh ngapi na kisha kamongo wa burigi akakupa ngapi muuaji mkubwa weyeAlie mpiga huyoo jaamaa yenuuu, muuulizeni mwenyewe na dereva wake wanawajua. Maana haiwezekani mtu apigwe risasi kwenye gari aumie mguu wa kuria huku dereva wake akitoka bila mchubuko wowote, huku mkijua magari yote mengi ya Tanzania tunaendeshea mkono wa kushoto, hivyo anae kaa mbe le kama abiria anakua mkono wa kuria wa derevaaaa. Sasa inakuaje apigwe mguu wa kuria? Au siku hiyo yeye ndo alikua dereva?
Halafu baada ya tukio hill jamaa akawa amekidhi kugombea uraisi, yaaniiii kupigwaa kwake yeye iwe ni dhabihu ya kuwa raisi. Hiii haikubariki kabisa. Watanzania sio wajingaaa.
Wewe ni afisa upelelezi wa serikali au unaongea kwa sababu una mahaba na ccm?Alie mpiga huyoo jaamaa yenuuu, muuulizeni mwenyewe na dereva wake wanawajua. Maana haiwezekani mtu apigwe risasi kwenye gari aumie mguu wa kuria huku dereva wake akitoka bila mchubuko wowote, huku mkijua magari yote mengi ya Tanzania tunaendeshea mkono wa kushoto, hivyo anae kaa mbe le kama abiria anakua mkono wa kuria wa derevaaaa. Sasa inakuaje apigwe mguu wa kuria? Au siku hiyo yeye ndo alikua dereva?
Halafu baada ya tukio hill jamaa akawa amekidhi kugombea uraisi, yaaniiii kupigwaa kwake yeye iwe ni dhabihu ya kuwa raisi. Hiii haikubariki kabisa. Watanzania sio wajingaaa.
Kweli kabisaKuna kipindi itafikia hatua ya kulala kanisani na haitatosha kuna muda utafika itabidi kitanda cha askofu kiwe karibu na chake mpaka pale atakapo tubu kwa kinywa chake kwamba yeye ndiye shetani aliyetuma wasiojulikana kumdhulu Lissu na baada ya hapo atasamehewa ndipo atakuwa huru.
Ni undugu wa damu umeonyeshwa na kanisa.wakristo na waisilamu wote ni ndugu.Adam ndo baba yetu.huu msikiti ni wa kanisa, pesa imetolewa kanisani.
Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa na misikiti. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Nahisi siku akikutanishwa na Lissu anaweza akatimua mbio aisee! Maana hataamini kama ni Lissu yule yule aliyeshambuliwa kule Dodoma mchana kweupe wakati ule, au ni mzimu.
Anatafuta kiki kupitia nyumba za ibada
Usiposali unamkomoa nani ? Unasali kwa faida ya nani ? Pole sana kwa kutokupambanua dini na siasa.Morali yangu ya kusali katoliki imeshuka sn, kiss unafiki wao.