Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Unajuwa hata bei ya unit moja ni bei gani kwa Tanesco vendors?Raisi mchapakazi nzalendo wa kweli nakipenzi cha walio wengi asante kwa mega watts nyingine ila nitafurahi zaidi tukipata zile 2000 pale selou
Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !What is a gas fired combined cycle power plant?
HOW A COMBINED-CYCLE POWER PLANT PRODUCES ELECTRICITY
This is how a combined-cycle plant works to produce electricity and captures waste heat from the gas turbine to increase efficiency and electrical output.
1. Gas turbine burns fuel.
The gas turbine compresses air and mixes it with fuel that is heated to a very high temperature. The hot air-fuel mixture moves through the gas turbine blades, making them spin.
The fast-spinning turbine drives a generator that converts a portion of the spinning energy into electricity.
2. Heat recovery system captures exhaust.
A Heat Recovery Steam Generator (HRSG) captures exhaust heat from the gas turbine that would otherwise escape through the exhaust stack.
The HRSG creates steam from the gas turbine exhaust heat and delivers it to the steam turbine.
3. Steam turbine delivers additional electricity.
The steam turbine sends its energy to the generator drive shaft, where it is converted into additional electricity.
In nutshell combined cycle power plant produces 50% more energy from given quantity of fuel. Good day unhappy people of Tanzania.
Tena mkopo ni from Japanese commercial banks it’s very expensive for those 180MW hizo 60MW from combine cycle hakuna maji hazipatikani leo wala kesho ni kupigwa tu na CCM kwani aliyefanikisha huo ufisadi ni Jakaya Mrisho Kikwete na alikwenda Tokyo ! Mshenga alikuwa Yusuf Manji! Mengine kawailize watu wasiojulikana! Bei ya mradi USD 344,000,000 it’s very expensive kwa hizo projected 240 MW by any standards sasa mwanasheria Kalemani asidanganye watu wa mjini akadanganye watu wa kuja! Serikali ililipa 15% contribution USD 52,000,000 hilo halina ubishi but it’s not Best Practice !
Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !
Hili ndo la msingiGood, hili ni jambo zuri, tunahitaji umeme mwingi na wa uhakika ili gharama za uzalishaji viwandani na pia gharama za umeme wa matumizi majumbani ziweze kupungua!
Acha uvivu hata hesabu za kuzidisha huwezi, ngoja nijifanye mjinga nikufanyie hesabu kidogo.
Mradi mzima ni USD 344,000,000 toa mchango wa serikali ni USD 52,000,000 mkopo ni USD 292,000,000 kwa exchange rate ya IUSD = TZS 2270 itakuwa ni TZS 662,840,000,000.( Bilioni 662.84) si pesa kidogo! Mradi ukiendeshwa kisiasa ni kiama ndio maana nasema washamba hawajui hesabu.
Serikali must assume huo mkopo wamepewa TANESCO kwa utaratibu wa on lending ili wawajibike kurudisha fedha badala ya kufanya iwe ni national Debt.
Jiwe angejua watu walivyopiga fedha asinyekanyaga Kinyerezi kuhalalisha huo wizi tatizo the Special Branch has stopped telling him the truth kwa sababu two and half years down the road in power he has not learned to listen! Na vivyo hivyo miradi yote tunapigwa left and right ndio tatizo la CCM !
Kwahiyo unasema mradi ni USD 344,000,000 na zimepigwa USD 100,000,000. Kwa maana hiyo mradi ni ulikuwa USD 244,000,000. Tunaomba justification ya huo mradi kuonyesha kuwa huo mradi ulikuwa USD 244,000,000 na siyo USD 344,000,000, angalau kwa quote mradi wa nchi nyingine unaofanana na huo ama kukaribiana na tuone wao walitumia shilling ngapi. Bila hivyo, sifkri kama kutaja namba tu bila facts zinaweza justify unachoongea.
Do your home work mmezoea spoon feeding na kudesa tangu chekechea those are the figures waachie wenye kujua wafanye logical arguments sasa kama wote ni Mazuzu kuanzia TANESCO hadi Wizara na Ikulu I can’t do anything more ni info and info is power dadavua au the best option ni kukenua meno na kucheza mdumange au siju Chakulaga anywhere it would do! Cheers !
TrueMimi sio mhandisi ila kwa ninavyokumbuka huo mradu wa kinyerezi II MW ambazo zilikua zikitangazwaga zilikua hazizidi 150 MW labda ninachanganya na Kinyerezi I, ila kiuhalisia hazifiki 240 MW najua nitaonekana mpinzani ila mwenye kumbukumbu zaidi aje atuambie vizuri nahisi ni kati ya MW 94 na zingine MW 50
Kuhusu maji for combined cycle zingatia steam turbines operate in closed cycle mode ,steam from turbine is condensed and fed back to the boiler ( heat recovery unit).Sea water can be used as cooling stream.Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !
Anapenda uzinduzi huyu jamaa hivi hii ndio kilichompeleka ikulu jamani au ndio mambo ya kupenda kuuza sura
Anasikitisha sana huyu mhutuHuenda ni janja ya kuwafanya wananchi wasijadili kuhusu kuwekwa ndani hadi kula pasaka wakiwa ndani leo ndo ungekuwa mjadala mkubwa
Sasa badala ya kwenda Bandarini wameenda huko kinyelezi sijui wapi!
Halima Kumbe alikuwa anatoka hospital SA kutibiwa maskini!