Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Raisi mchapakazi nzalendo wa kweli nakipenzi cha walio wengi asante kwa mega watts nyingine ila nitafurahi zaidi tukipata zile 2000 pale selou
Unajuwa hata bei ya unit moja ni bei gani kwa Tanesco vendors?

Hicho ndio kipimo cha akili kama kichwani una ubongo au wamejaa fungus tu.
 
What is a gas fired combined cycle power plant?
HOW A COMBINED-CYCLE POWER PLANT PRODUCES ELECTRICITY
This is how a combined-cycle plant works to produce electricity and captures waste heat from the gas turbine to increase efficiency and electrical output.
1. Gas turbine burns fuel.
The gas turbine compresses air and mixes it with fuel that is heated to a very high temperature. The hot air-fuel mixture moves through the gas turbine blades, making them spin.
The fast-spinning turbine drives a generator that converts a portion of the spinning energy into electricity.
2. Heat recovery system captures exhaust.
A Heat Recovery Steam Generator (HRSG) captures exhaust heat from the gas turbine that would otherwise escape through the exhaust stack.
The HRSG creates steam from the gas turbine exhaust heat and delivers it to the steam turbine.
3. Steam turbine delivers additional electricity.
The steam turbine sends its energy to the generator drive shaft, where it is converted into additional electricity.
In nutshell combined cycle power plant produces 50% more energy from given quantity of fuel. Good day unhappy people of Tanzania.
Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !
 
Tena mkopo ni from Japanese commercial banks it’s very expensive for those 180MW hizo 60MW from combine cycle hakuna maji hazipatikani leo wala kesho ni kupigwa tu na CCM kwani aliyefanikisha huo ufisadi ni Jakaya Mrisho Kikwete na alikwenda Tokyo ! Mshenga alikuwa Yusuf Manji! Mengine kawailize watu wasiojulikana! Bei ya mradi USD 344,000,000 it’s very expensive kwa hizo projected 240 MW by any standards sasa mwanasheria Kalemani asidanganye watu wa mjini akadanganye watu wa kuja! Serikali ililipa 15% contribution USD 52,000,000 hilo halina ubishi but it’s not Best Practice !


Halafu alipomaliza Kalemani akaja mzee mwenyewe Magufuli, akaanza kuongelea Kinyerezi 3, anadai fedha zipo hata sasa hivi wakimaliza kujenga anawalipa. Again, uongo mtupu, kama hela ipo lipa basi hii 85% uliyokopa Sumitomo Bank kwa Kinyerezi Two ili tusilipe riba tuanze kutafuta hela ya Kinyerezi bila madeni ya nyuma. Simple common sense!
 
Gesi imetoka mtwara kuja dar na kuchakatwa kuwa umeme kisha kurudisha mtwara tena
 
Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !


Haiwezekani hata kidogo ikawepo feasibility study iliyofanywa, I agree.

Kwanza Magufuli kasema hataki kusikia mradi unacheleweshwa kwa vile eti kibali cha mazingira kimekwama! Ina maana hataki mambo ya ma feasibility study. Huyo ni mtu ambae haoni kwamba raia wanaweza kufa kwa maamuzi yake.

Kasema leo mwenye uwezo wa ku invest kwenye nuclear energy aje afue umeme. Hapo hapo anakwambia hataki mradi uchelewe kwa kukosa kibali cha mazingira au cha Tanroads, kwamba wakipitisha Uranium barabarani sawa, wakichimba ovyo ikaingia kwenye mito sawa, kwenye hewa sawa! Hapo hamjafa na radioactive poisoning mikoa yenye Uranium production?
 
Acha uvivu hata hesabu za kuzidisha huwezi, ngoja nijifanye mjinga nikufanyie hesabu kidogo.

Mradi mzima ni USD 344,000,000 toa mchango wa serikali ni USD 52,000,000 mkopo ni USD 292,000,000 kwa exchange rate ya IUSD = TZS 2270 itakuwa ni TZS 662,840,000,000.( Bilioni 662.84) si pesa kidogo! Mradi ukiendeshwa kisiasa ni kiama ndio maana nasema washamba hawajui hesabu.

Serikali must assume huo mkopo wamepewa TANESCO kwa utaratibu wa on lending ili wawajibike kurudisha fedha badala ya kufanya iwe ni national Debt.

Jiwe angejua watu walivyopiga fedha asinyekanyaga Kinyerezi kuhalalisha huo wizi tatizo the Special Branch has stopped telling him the truth kwa sababu two and half years down the road in power he has not learned to listen! Na vivyo hivyo miradi yote tunapigwa left and right ndio tatizo la CCM !

Kwahiyo unasema mradi ni USD 344,000,000 na zimepigwa USD 100,000,000. Kwa maana hiyo mradi ni ulikuwa USD 244,000,000. Tunaomba justification ya huo mradi kuonyesha kuwa huo mradi ulikuwa USD 244,000,000 na siyo USD 344,000,000, angalau kwa quote mradi wa nchi nyingine unaofanana na huo ama kukaribiana na tuone wao walitumia shilling ngapi. Bila hivyo, sifkri kama kutaja namba tu bila facts zinaweza justify unachoongea.
 
Kwahiyo unasema mradi ni USD 344,000,000 na zimepigwa USD 100,000,000. Kwa maana hiyo mradi ni ulikuwa USD 244,000,000. Tunaomba justification ya huo mradi kuonyesha kuwa huo mradi ulikuwa USD 244,000,000 na siyo USD 344,000,000, angalau kwa quote mradi wa nchi nyingine unaofanana na huo ama kukaribiana na tuone wao walitumia shilling ngapi. Bila hivyo, sifkri kama kutaja namba tu bila facts zinaweza justify unachoongea.

Do your home work mmezoea spoon feeding na kudesa tangu chekechea those are the figures waachie wenye kujua wafanye logical arguments sasa kama wote ni Mazuzu kuanzia TANESCO hadi Wizara na Ikulu I can’t do anything more ni info and info is power dadavua au the best option ni kukenua meno na kucheza mdumange au siju Chakulaga anywhere it would do! Cheers !
 
Do your home work mmezoea spoon feeding na kudesa tangu chekechea those are the figures waachie wenye kujua wafanye logical arguments sasa kama wote ni Mazuzu kuanzia TANESCO hadi Wizara na Ikulu I can’t do anything more ni info and info is power dadavua au the best option ni kukenua meno na kucheza mdumange au siju Chakulaga anywhere it would do! Cheers !

You have got nothing to share, nothing less nothing more. Nimekuomba tu kitu basic kabisa u disclose, kwamba umejua je tumepigwa $100,100,100? in relation to what as per regard. Unakuja na matusi mengii.
 
tr
Mimi sio mhandisi ila kwa ninavyokumbuka huo mradu wa kinyerezi II MW ambazo zilikua zikitangazwaga zilikua hazizidi 150 MW labda ninachanganya na Kinyerezi I, ila kiuhalisia hazifiki 240 MW najua nitaonekana mpinzani ila mwenye kumbukumbu zaidi aje atuambie vizuri nahisi ni kati ya MW 94 na zingine MW 50
True
 
Simplemind! Wacha ngonjera huo mradi wa Kinyerezi 2 utatoa 50% more energy? Tuache kuchanganya watu bei ya Megawati Moja kwa Mitambo ya Kinyerezi 2 yenye uwezo wa kutoa Megawati 240 theoretically gharama yake ni USD 1,430,000 kwa Megawati moja ni hilo ndilo tatizo. Mradi imekuja kutekelezwa bila ushindani ina maana SUMITOMO walikuja na package kwa utaratibu wa EPC plus financing jambo liliopelekea kupigwa wakati kama kungekuwepo na competitive bidding bei ingeweza kuwa hadi USD 1,000,000 kwa Megawati moja. Hiyo Feasibility Study ya Kinyerezi 2 kama ipo I bet my neck na ninyongwe pale National Studium tarehe 1/5/2018. Hiyo ndio hoja kwanza hujaweka gharama ya kupata maji for the combined cycle which is more complex kwa wengi hapa Jamii Forum kuelewa . Base your argument on those lines za kupigwa na mafisadi from within CCM kuwatetea na 50% which is untrue for Kinyerezi 2. You cant cheat everybody kwa kuleta ngonjera !
Kuhusu maji for combined cycle zingatia steam turbines operate in closed cycle mode ,steam from turbine is condensed and fed back to the boiler ( heat recovery unit).Sea water can be used as cooling stream.
 
Anapenda uzinduzi huyu jamaa hivi hii ndio kilichompeleka ikulu jamani au ndio mambo ya kupenda kuuza sura

Huenda ni janja ya kuwafanya wananchi wasijadili kuhusu kuwekwa ndani hadi kula pasaka wakiwa ndani leo ndo ungekuwa mjadala mkubwa
Sasa badala ya kwenda Bandarini wameenda huko kinyelezi sijui wapi!
Halima Kumbe alikuwa anatoka hospital SA kutibiwa maskini!
 
Hongera sana!
Mwenye Enzi Mungu ni mwaminifu sana kwangu!
 
Huenda ni janja ya kuwafanya wananchi wasijadili kuhusu kuwekwa ndani hadi kula pasaka wakiwa ndani leo ndo ungekuwa mjadala mkubwa
Sasa badala ya kwenda Bandarini wameenda huko kinyelezi sijui wapi!
Halima Kumbe alikuwa anatoka hospital SA kutibiwa maskini!
Anasikitisha sana huyu mhutu
 
Rais Magufuli naona yuko busy na uzinduzi Mara baada ya Da Mange kuhamasisha maandamano ya amani ya kupinga mambo ya ovyo yanayoendelea nchini chini ya utawala wa Magufuli

Baada ya kutishika na maandamano akaanza kufanya uzinduzi wa vitu ambavyo vilishazinduliwa ili mradi tu kuwahadaa watanzania kwamba serikali inafanya mambo mazuri hivyo msiandamane kuipinga

[emoji117]kazindua barabara ya zamani huko kahama
[emoji117] Akazindua SGR Dodoma

[emoji117] Akazindua tawi la bank Crdb Chato na Dom

[emoji117] Akazindua Rada na mapangaboi(Bombadia)

[emoji117] Akazindua mradi wa zamani wa Kinyerezi wa kufua umeme wa gesi

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka juice ka Sayona Mwanza

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka zamani ka Dawa

[emoji117] Na sasa anataka kuzindua kiukuta cha kuzunguka mererani

Ujue kuna vitu vingine vinatia aibu kuzindua vitu vidogo ambavyo waziri husika angeweza kwenda kuzindua mfano hii ya kuzindua ukuta

Lakini naona zindua zindua hii ni janja ya kuwapumbaza wajinga ili kupooza nguvu ya maandamano.

Ova.
 
Mpka Ukuta du sijawahi Ona nasubiria kwa Trump nae ule ukuta wake ukishaisha kama ataenda kuzindua.
 
Vitu vinapangwa kwa ustadi na weledi wa hali ya juu,huwezi amini,tarehe 22-26 kutakuwa na matukio makubwa tu ambayo yatawasahaulisha kabisa waandaa maandamano!!
Keep watching,,,,,,
 
Hello,

Pengine anayeelewa zaidi maana ya neno Kuzindua anisaidie. Nimekuwa nikifuatitia kwa uakribu sana pale kunapotangazwa kwamba kuna kuzindua mradi. Ninachotaka kufahamu, ni nini maana ya kuzindua miradi ambayo tayari imekuwa ikifanya kazi miaka mingi.

Kwa vyoyote vile, lazima kutakuwa na sababu za maana za kufanya haya matukio kwenye miradi inayoendelea. Lakini ninaomba, wale watangazaji pengine wajaribu kutofautisha ili tufahamu ni wakati gani kuna kuzindua kitu kipya au kufanya fanya hizo shughuli kwa kitu kilichopo tayari.

Ili tuweze kutofautisha, ninashauri neno Kuzindua,litumikwe kwenye miradi mipya. Lakini kwenye miradi endelevu, watumie neno "KUZIMUA MIRADI".

Ni hilo tu.
 
Back
Top Bottom