Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

Kajikundi kiduchu cha jana pale Kisutu kimesambaratishwa na polisi watano!
Alafu ndiyo wathubutu kuandamana!parthetic
Masikini, hata hesabu hujui, ati polisi watano, elimu elimu elimu
 
ETI KUZIMUA,,,wee jamaa wee umenichekeshaaa..mungu anakuonaa aisee

Sasa mkuu, tuiteje pale kunapofanyika harakati za kuzindua kitu kilichopo tayari. Mimi naona huko tukuite kuzimua miradi.
 
  • Thanks
Reactions: exo
Hello,

Pengine anayeelewa zaidi maana ya neno Kuzindua anisaidie. Nimekuwa nikifuatitia kwa uakribu sana pale kunapotangazwa kwamba kuna kuzindua mradi. Ninachotaka kufahamu, ni nini maana ya kuzindua miradi ambayo tayari imekuwa ikifanya kazi miaka mingi.

Kwa vyoyote vile, lazima kutakuwa na sababu za maana za kufanya haya matukio kwenye miradi inayoendelea. Lakini ninaomba, wale watangazaji pengine wajaribu kutofautisha ili tufahamu ni wakati gani kuna kuzindua kitu kipya au kufanya fanya hizo shughuli kwa kitu kilichopo tayari.

Ili tuweze kutofautisha, ninashauri neno Kuzindua,litumikwe kwenye miradi mipya. Lakini kwenye miradi endelevu, watumie neno "KUZIMUA MIRADI".

Ni hilo tu.
Pombe ukinywa mara ya kwanza unaizindua.... Ukirudia kesho yake unazimua.. Hii muzuli sana..
Mkingona kwa mara ya kwanza mnazindua penzi.... Baada ya hapo ni kuzimua tu makinikia
 
Vitu vinapangwa kwa ustadi na weledi wa hali ya juu,huwezi amini,tarehe 22-26 kutakuwa na matukio makubwa tu ambayo yatawasahaulisha kabisa waandaa maandamano!!
Keep watching,,,,,,
,watu wazindue miradi ya kutuletea maendeleo,nyinyi maandamano si mumeyafanya mradi?!
 
Eti rais anatoa pesa elimu ni kitu cha msingi sana.

Mkuu msamehe bure huyo ni mwana kijani na si unawajua akili zao. Ok nami nimenunua ka techno F5 nahitaji uzinduzi mana mtoa pesa ni yeye nami nimepata kupitia mshahara
 
Itabidi tuache kufanya na kazi tujadili vipigo na vifo vya hiyo tareh 24 au sio??
 
Rais Magufuli naona yuko busy na uzinduzi Mara baada ya Da Mange kuhamasisha maandamano ya amani ya kupinga mambo ya ovyo yanayoendelea nchini chini ya utawala wa Magufuli

Baada ya kutishika na maandamano akaanza kufanya uzinduzi wa vitu ambavyo vilishazinduliwa ili mradi tu kuwahadaa watanzania kwamba serikali inafanya mambo mazuri hivyo msiandamane kuipinga

[emoji117]kazindua barabara ya zamani huko kahama
[emoji117] Akazindua SGR Dodoma

[emoji117] Akazindua tawi la bank Crdb Chato na Dom

[emoji117] Akazindua Rada na mapangaboi(Bombadia)

[emoji117] Akazindua mradi wa zamani wa Kinyerezi wa kufua umeme wa gesi

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka juice ka Sayona Mwanza

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka zamani ka Dawa

[emoji117] Na sasa anataka kuzindua kiukuta cha kuzunguka mererani

Ujue kuna vitu vingine vinatia aibu kuzindua vitu vidogo ambavyo waziri husika angeweza kwenda kuzindua mfano hii ya kuzindua ukuta

Lakini naona zindua zindua hii ni janja ya kuwapumbaza wajinga ili kupooza nguvu ya maandamano.

Ova.
Mbona tangu zaman anazindua ovyoovyo
Ni sababu anaproject nyingi sana
 
Rais Magufuli naona yuko busy na uzinduzi Mara baada ya Da Mange kuhamasisha maandamano ya amani ya kupinga mambo ya ovyo yanayoendelea nchini chini ya utawala wa Magufuli

Baada ya kutishika na maandamano akaanza kufanya uzinduzi wa vitu ambavyo vilishazinduliwa ili mradi tu kuwahadaa watanzania kwamba serikali inafanya mambo mazuri hivyo msiandamane kuipinga

[emoji117]kazindua barabara ya zamani huko kahama
[emoji117] Akazindua SGR Dodoma

[emoji117] Akazindua tawi la bank Crdb Chato na Dom

[emoji117] Akazindua Rada na mapangaboi(Bombadia)

[emoji117] Akazindua mradi wa zamani wa Kinyerezi wa kufua umeme wa gesi

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka juice ka Sayona Mwanza

[emoji117] Akazindua kakiwanda ka zamani ka Dawa

[emoji117] Na sasa anataka kuzindua kiukuta cha kuzunguka mererani

Ujue kuna vitu vingine vinatia aibu kuzindua vitu vidogo ambavyo waziri husika angeweza kwenda kuzindua mfano hii ya kuzindua ukuta

Lakini naona zindua zindua hii ni janja ya kuwapumbaza wajinga ili kupooza nguvu ya maandamano.

Ova.
Hebu tueleze kasi inapunguaje kukiwa na uzinduzi wa miradi ya maendeleo na kabla ya hapo maandamano yalikuwa na kasi ya kiasi gani. Acheni ubazoka na akiri za mtoto wa kunyonya kila wakati mnatafuta sifa za kutunga chadema utoto mtaacha lini chadema is nothing na haina lolote na hata hayo maandamano wewe mwenyewe hutathubutu kwenda mabingwa wa mitandaoni mmejaa ushuzi mtupu kamsalimie mbowe sasa hivi hana dili tena
 
Mwanaume unapokuwa na wivu ni aibu sana,kwani miradi kuzinduliwa wewe unawashwa makalio!!!Chadema naona hamna ajenda nzuri na nchi yetu!!!
 
Mimi kuandamana lazima ata sasa hivi niko kwa road hapa ubungo.
 
Yaani kugawanyika kuandikia maandamano kwa lugha tofauti tofauti. Mwanaume halisi hajifichi fichi kuongea. Sema unataka kuandamana full stop. Kwa ishara hii naonja hauko serious ni mshabiki kama Yanga na Simba. Endelea kupiga tarumbeta lakini mabao utafungwa na selo utaenda.
 
Acheni uchizi. Mnajitekenyeka na kucheka wenyewe.

Hivi huyo mlopokaji wa mitandaoni mnadhani ni mtu mkubwa sana kiasi kwamba anaweza tisha dola.

Subirini muone kama sisimizi au nzi atathubutu kuandamana.

Ninyi endeleeni kupiga yowe Rais atazindua kila kitu yeye si ndo anatoa pesa.
Raisi yeye ndo anatoa pesa?kweli ww jamaa noma kodi ya wananchi unasema pesa ya raisi.....hivi bado unakula kwa baba na mama?
 
Inaonekana ikulu hakuna kaz za kufanya.

Haiwezekan rais mzima unang'ang'ania kufanya kaz za mawaziti utafikiri wameomba msaada wake.

Huyu rais wenu hajitambui
 
MTU anapata wapi nafasi ya kuhamasisha vurugu na sio maandamano na hana nafasi yoyote uko serikalini afu yupo nje,hii ikoje ,si alogwe tu uko uko atumiwe jini,likamalize kazi au inchi haina kamati ya ufundi,mbona kuna kitengo za Tiba za jadi hapa inchini,wanalisaidiaje taifa hao wazee kwa kazi zao za jadi,mbona wanaweza kumrudisha mtu aliye potea siku nyingi au mwizi au kufungua kufuli hata kama limefungwa,du niwe mpole,
 
Back
Top Bottom