fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Bwashee malizia hizo..........Hahahaaaa........!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee malizia hizo..........Hahahaaaa........!
Hiyo Michungwa huenda ina uwendawazimu wa aina fulani. Wendawazimu wamepewa nafasi ya kuwaongoza wenye akili timamu.Rais Magufuli anazungumza na watanzania kupitia mkutano wake na wananchi wa Dar es salaam.
Tukio liko mubashara katika runinga zote
Updates;
Waziri Bashungwa: Nimesimama hapa mheshimiwa Rais kukushukuru sana kabla ya mkutano huu wa hadhara umetupa heshima ya kuzindua Magic FM Radio pamoja na Uhuru FM pamoja na TV ya channel 10, Mheshimiwa Rais tunakushukuru sana kwa heshima hiyo ya kutuzindulia vyombo hivi vya habari
Nitumie nafasi hii kuwashukuru sana chama changu cha mapinduzi kwa uwekezaji huu mzuri ambao utatoa ajira, utawahabarisha watanzania, tunawapongeza sana.
Vyama vingine hapa nchini tumeona vikiwekeza kwenye kuwa vibaraka wa nchi fulani, kwenye majungu, kejeli na matusi lakini chama cha mapinduzi kinawekeza katika maendeleo ya watu na kutengeneza ajira, hongereni sana chama cha mapinduzi.
Kisha wanafunzi wa Yohane Mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?” Yesu akawajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja nao? La, hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.Wizara ya afya leo si imekataza mikusanyiko?
dah..! hya bhnamaendeleo ya watu na kutengeneza ajira
chezea mswahili wewe, na hivi tena Jiwe ni mpenda sifa...so hapo wamekutana CHUPA na KIZIBO!.Jafo unasifu mmno mpaka unayemsifu anakwazika!!!!
Wizara ya afya leo si imekataza mikusanyiko?
Huyu waziri wa michezo na habari. Bashungwa anafanya nini kwenye Mambo haya ambayo hayamuhusu kwa namna yeyote ile!? Jana kwenye uzinduzi wa darala la kizaji alikuwepo..kwenye uzinduzi wa stand ya magufuli alikuwepo..haya yanauhusiano vipi na michezo ..ama anaenda Kama waziri wa habari!?
Huyu mzee amepotesa kabisa mvutoHana jipya mr misifa
Mkuu vitu vidogo hivi usicomplicate..what matters the contents...we hizi hbr ulikuwa unazijua?Unaniangusha Ndugu hasa hapo ulipoandika neno hilo la mwisho la Kiingereza kwani huwa haliandikwi kwa Kuachanishwa hivyo. Lirekebishe upesi tafadhali.
Masaki sio jiji Ila la Mboto ni jiji.Nimemsikia akisema "Mungu libariki jiji jipya la Dar es salaam Ilala" kumbe ni Dar es Salaam Ilala