Rais Magufuli azungumza na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam

Kwa nini huyu mzee kila mahali anawadhalilisha wafanyakazi wa serikali? Kila mahali ni kuwashushia hadhi tu. Ukiona kiongozi kazi yake ni kuwashushua na kuwadhalilisha wenzake tu ujue hana kitu kipya kichwani.
 
Kumbe nia ni kunyima watu kugombea Umeya wa Dar?
 
..ndio ccm hiyo.

..hukumuona Kangi Lugola akinengua na mwanamuziki wa bendi ya polisi.

..nadhani tupunguze au tukomeshe burudani ktk shughuli za kiserikali.
Mimi nisingeweza kutaza ukatikaji wa namna hiyo maana sidhani kama ni maadili
 
Mimi nisingeweza kutaza ukatikaji wa namna hiyo maana sidhani kama ni maadili
..ukiangalia shughuli za kiserikali ktk nchi za wenzetu hakuna mambo ya burudani na kupoteza muda kama hapa Tz. mimi natamani mambo hayo yakomeshwe kabisa, mengi hayana mvuto na mengine yanakiuka maadili yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…